Najuwa vizuri we nenda kajifunze utaelewa. Rais wa Marekani haamuliwi na watu wachache. Ukielewa electoral votes ni nini na zifanyaje kazi basi hautabishana hapaAch
Acha ubishi na uvivu , ww mwenyewe kajifunze wikipedia kuhusu ni kura gani zilimpa urais Donald trump.
Naelewa kwamba Kwa kura za jumla Clinton alipata idadi kubwa ya kura kuliko Trump, lakini kitu unachopaswa kuelewa ni kwamba ushindi wa Urais Marekani haupatikani Kwa hesabu hizo. Nikupe simple calculation tu ni kwamba. Mfano Jimbo la California kama Lina point tatu, mgombea anayemzidi mwenzake Kwa kura za jumla yeye ndo anachukua hizo point tatu (Electoral votes), same applies to other states. So suala la Clinton lilitokea hivi: kuna majimbo alikuwa anapata kura nyingi kulingana na idadi ya watu wa pale ila kama hilo au hayo majimbo yana point tatu, tano kinachokuwa considered ni hizo points siyo idadi ya watu waliompigia kura. But ukija kutafuta idadi ya waalipiga kura unaweza kupata zaidi lakini akazidiwa kwenye electoral votes depending na majimbo ambayo Trump alishinda. Kupata mshindi Huwa zinajumlishwa electoral votes (points) siyo idadi ya kura zilizopigwa.Wewe sasa ndio huenda ukawa huelewi maana ya demokrasia labda au huelewi majambo yanavyoenda hapo marekani
Mshindi anachaguliwa kwa vigezo gani kama vigezo vya wingi kama mnavyodai tunaomba matokeo ya kura za trump na klinton utwambie yupi alipata kura nyingi kuliko mwenzake na nani akaishia kua rahisi wa hapo
Marekani uwingi wakura wala sio kigezo kama munavyodai nandio maana trump akawa rahisi
Electrol wanathibitishaje kura wanathibitisha kura kama nani wakati wananchi walimchagua Hillary kwa wingi wa kura ila ikulu akaingia DT
Huenda ikawa hujui matokeo ya DT yaliopita akiwa anachuana na hillary kama yapo yalete tafadhali halaf tuone nani anadanganya
Mwisho kura za wananchi marekani sii chochote sii lolote!!!!!
Naomba kujuzwa, kwa nini jimbo moja lipewe point 3 na lingine liwe na point 5, kwa nini yote yasiwe na usawa wa hao wajumbe/pointNaelewa kwamba Kwa kura za jumla Clinton alipata idadi kubwa ya kura kuliko Trump, lakini kitu unachopaswa kuelewa ni kwamba ushindi wa Urais Marekani haupatikani Kwa hesabu hizo. Nikupe simple calculation tu ni kwamba. Mfano Jimbo la California kama Lina point tatu, mgombea anayemzidi mwenzake Kwa kura za jumla yeye ndo anachukua hizo point tatu (Electoral votes), same applies to other states. So suala la Clinton lilitokea hivi: kuna majimbo alikuwa anapata kura nyingi kulingana na idadi ya watu wa pale ila kama hilo au hayo majimbo yana point tatu, tano kinachokuwa considered ni hizo points siyo idadi ya watu waliompigia kura. But ukija kutafuta idadi ya waalipiga kura unaweza kupata zaidi lakini akazidiwa kwenye electoral votes depending na majimbo ambayo Trump alishinda. Kupata mshindi Huwa zinajumlishwa electoral votes (points) siyo idadi ya kura zilizopigwa.
Hiyo ni kwa sababu ya idadi ya watu waliopo kwenye majimbo.Naomba kujuzwa, kwa nini jimbo moja lipewe point 3 na lingine liwe na point 5, kwa nini yote yasiwe na usawa wa hao wajumbe/point
Unajua trump alishinda uraisi kwa kura gani?Najuwa vizuri we nenda kajifunze utaelewa. Rais wa Marekani haamuliwi na watu wachache. Ukielewa electoral votes ni nini na zifanyaje kazi basi hautabishana hapa
Unajitekenya na kucheka mwenyewe.Naelewa kwamba Kwa kura za jumla Clinton alipata idadi kubwa ya kura kuliko Trump, lakini kitu unachopaswa kuelewa ni kwamba ushindi wa Urais Marekani haupatikani Kwa hesabu hizo. Nikupe simple calculation tu ni kwamba. Mfano Jimbo la California kama Lina point tatu, mgombea anayemzidi mwenzake Kwa kura za jumla yeye ndo anachukua hizo point tatu (Electoral votes), same applies to other states. So suala la Clinton lilitokea hivi: kuna majimbo alikuwa anapata kura nyingi kulingana na idadi ya watu wa pale ila kama hilo au hayo majimbo yana point tatu, tano kinachokuwa considered ni hizo points siyo idadi ya watu waliompigia kura. But ukija kutafuta idadi ya waalipiga kura unaweza kupata zaidi lakini akazidiwa kwenye electoral votes depending na majimbo ambayo Trump alishinda. Kupata mshindi Huwa zinajumlishwa electoral votes (points) siyo idadi ya kura zilizopigwa.
Unajitekenya na kucheka mwenyewe.Hiyo ni kwa sababu ya idadi ya watu waliopo kwenye majimbo.
Majimbo yenye watu/wakazi wengi, electoral college votes zake nazo ni nyingi.
Electoral college votes zinatolewa kulingana na idadi ya wabunge waliopo kwenye chemba mbili za bunge la Marekani: senate na House of Representatives.
Kila jimbo lina maseneta wawili. Hiyo ni bila kujalisha idadi ya watu waliopo kwenye majimbo.
Marekani kuna majimbo 50, hivyo ina maseneta 100.
Kwenye House of Representatives ndo idadi ya wawakilishi hutokana na idadi ya watu/ wakazi waliopo kwenye majimbo wanayoyawakilisha.
Kwa mfano, jimbo la Florida lina wawakilishi 28 kwenye House of Representatives.
Kwa hiyo, kwenye electoral college votes, linazo 30.
Hiyo 30 inatokana na hao wawakilishi 28 ukijumlisha na maseneta wake wawili [2].
Mfano mwingine:
Jimbo la Georgia lina wawakilishi 14 kwenye House of Representatives.
Kwa hiyo kwenye electoral college votes, Georgia inazo 16.
14 kutokana na hao wawakilishi 14 ukijumlisha na maseneta wake wawili [2].
Ili mgombea urais aweze kuzipata electoral college votes za jimbo, ni lazima ashinde popular votes za jimbo.
Iko hivyo kwenye majimbo 48. Majimbo ya Nebraska na Maine, yenyewe huzigawa votes zake kutokana na congressional districts.
Marekani uchaguzi huendeshwa na majimbo. Kila jimbo lina sheria zake za uchaguzi.
Kwa hiyo, Marekani hakuna uchaguzi wa kitaifa.
Chaguzi zilizopo ni za kimajimbo.
Na ndo moja ya sababu kwa nini national popular votes haziamui mshindi wa urais.
Lakini huwezi kushinda electoral college votes bila ya kushinda state popular votes.
Cha msingi ukitaka kuelewa vizuri, ielewe tofauti ya state popular vote [ambayo ndo inatoa electoral college votes] na national popular vote ambayo haitumiki kuamua mshindi.
Umeishiwa hoja umeanza viroja!Unajitekenya na kucheka mwenyewe.
Huenda leo ikawa mara ya mwisho asee kabla sijapotea kwa muda ntajitahidi kukujibu kabla sijapotea kwa mudaAsante sana kwa majibu yako mazuri kabisa, umenijibu swali ambalo lilikuwa kichwani kwangu kwa muda sana tangu nianze kuona ukichangia hii mijadala hususani ya Geo-politics 👏
Nje na hilo, unahisi ulimwengu unatakiwa kufanya nini ili kukwepa hicho kikombe cha USA hususani kwenye zile conspiracy theory zao za kuteketeza ULIMWENGU under NEW WORLD ORDER (Refer kitabu cha Ralph Epperson) na kuuweka chini ya utawala wao kwa kutumia (DEPOPULATION strategy)?
Maana imefika hatua ni kama Dunia bado ipo kwenye mikono yao japo hao wakubwa Russia na China wamejitahidi na wanaendelea kupambana naye kuhakikisha wanajitoa kwenye mabawa yake. Moja ya strategy zao ni kujitoa kwenye financial systems na institutions zake kwa sababu who controls finance & financial institutions & systems is the one who controls the world! Na hapo ndipo wakaja na hiyo BRICS.
Hili ni nje na swali la kwanza mkuu, Lile nimekuelewa vizuri kabisa. Hapa nataka kupata maoni yako tu.
Heshima full Tank 🫡
Sijui kama nimekuelewa vyema ila unapiga kuna vyama vingi marekani ila dem na rep ndio giantHivi nauliza kama sio democratic wala Republic huwez piga kura
Nandio ukweli popula alishinda Hillary natakwimu zipoSitaki kujua alizipataje ila najua kuwa alishinda kwa electoral votes na sio popular votes.
Ukilala ukiamka unawaza uislamu na nagaidi yake,wasted sperm🚮Baada ya kufuatilia kwa makini mkutano mkuu wa Democratic na kampeni za Donald Trump nimegundua kwamba Trump hatoweza tena kamwe kuupata uraisi wa Marekani anaoutamani.
Historia ya maisha yake ya kihuni na kupenda ubaguzi pamoja na uadui kwa waislamu hautamuwezesha Donald Trump kurudia kwenye kiti cha uraisi.Wamarekani wanaompinga wakiwemo wa rangi mbali mbali na wahamiajia hawatampigia kura kabisa.
Trump atabaki na kundi la wabaguzi wa rangi ambao hawatotosha kumpatia kura za uraisi.
Kwa maana hiyo Kamalla Harris ndiye atakayekuwa mshindi wa kiti hicho,kwanza kwa vile ni mwanamke na enzi hizi wanawake ni wengi sana kwenye chaguzi za mataifa mengi na ni rahisi kushawishika na vitu ambavyo si rahisi kuwapata wanaume.
Vile vile Kamalla ni Mmarekani mwenye asili ya nje ambapo katika Marekani idadi ya watu hao ni wengi sana.Waliotokea Afrika,America kusini,China na bara hindi.Wote hao ni wapiga kura wake.
Wapiga kura waislamu japo sio wengi lakini wote pamoja na matatizo ya viongozi wa Democratic akiwemo raisi wa sasa Biden kujipendekeza kwa mayahudi,pamoja na hivyo Trump anaonekana ni hatari zaidi kwao kuliko Kamalla.
Tukija upande wa Kamalla ambaye ana asilimia kubwa za kushinda.Jee atauweza uraisi huo wakati taifa hilo liko kwenye hali mbaya za kiuchumi na liko mbioni kuzama .Uadui na mataifa makubwa kama Urusi na China pamoja na vita vya Gaza ni majukumu ambayo huwa ni mazito kwa raisi mwanamke.
Kwa namna yoyote ile kinachoendelea kwa Marekani kwa sasa ni tope ambalo hatimaye litaizamisha na kuwa nafuu kwa dunia nzima baada ya taifa hilo kufanya jeuri na kufuru kwa muda mrefu duniani.
Hizi systems nazielewa MKUU ingawaje sio sana ila naelewa kama kuna hayo masuala ya points na majimbo fulani yana points kubwa kuliko mengineNaelewa kwamba Kwa kura za jumla Clinton alipata idadi kubwa ya kura kuliko Trump, lakini kitu unachopaswa kuelewa ni kwamba ushindi wa Urais Marekani haupatikani Kwa hesabu hizo. Nikupe simple calculation tu ni kwamba. Mfano Jimbo la California kama Lina point tatu, mgombea anayemzidi mwenzake Kwa kura za jumla yeye ndo anachukua hizo point tatu (Electoral votes), same applies to other states. So suala la Clinton lilitokea hivi: kuna majimbo alikuwa anapata kura nyingi kulingana na idadi ya watu wa pale ila kama hilo au hayo majimbo yana point tatu, tano kinachokuwa considered ni hizo points siyo idadi ya watu waliompigia kura. But ukija kutafuta idadi ya waalipiga kura unaweza kupata zaidi lakini akazidiwa kwenye electoral votes depending na majimbo ambayo Trump alishinda. Kupata mshindi Huwa zinajumlishwa electoral votes (points) siyo idadi ya kura zilizopigwa.
Nandio hapa tunaposema marekani hakuna demokrasia kuna uhuni uhuni tu na ujanja ujanjaNaomba kujuzwa, kwa nini jimbo moja lipewe point 3 na lingine liwe na point 5, kwa nini yote yasiwe na usawa wa hao wajumbe/point
Hii inazidi kujazia nyama kwamba marekani hakuna demokrasia kuna janja janjaHiyo ni kwa sababu ya idadi ya watu waliopo kwenye majimbo.
Majimbo yenye watu/wakazi wengi, electoral college votes zake nazo ni nyingi.
Electoral college votes zinatolewa kulingana na idadi ya wabunge waliopo kwenye chemba mbili za bunge la Marekani: senate na House of Representatives.
Kila jimbo lina maseneta wawili. Hiyo ni bila kujalisha idadi ya watu waliopo kwenye majimbo.
Marekani kuna majimbo 50, hivyo ina maseneta 100.
Kwenye House of Representatives ndo idadi ya wawakilishi hutokana na idadi ya watu/ wakazi waliopo kwenye majimbo wanayoyawakilisha.
Kwa mfano, jimbo la Florida lina wawakilishi 28 kwenye House of Representatives.
Kwa hiyo, kwenye electoral college votes, linazo 30.
Hiyo 30 inatokana na hao wawakilishi 28 ukijumlisha na maseneta wake wawili [2].
Mfano mwingine:
Jimbo la Georgia lina wawakilishi 14 kwenye House of Representatives.
Kwa hiyo kwenye electoral college votes, Georgia inazo 16.
14 kutokana na hao wawakilishi 14 ukijumlisha na maseneta wake wawili [2].
Ili mgombea urais aweze kuzipata electoral college votes za jimbo, ni lazima ashinde popular votes za jimbo.
Iko hivyo kwenye majimbo 48. Majimbo ya Nebraska na Maine, yenyewe huzigawa votes zake kutokana na congressional districts.
Marekani uchaguzi huendeshwa na majimbo. Kila jimbo lina sheria zake za uchaguzi.
Kwa hiyo, Marekani hakuna uchaguzi wa kitaifa.
Chaguzi zilizopo ni za kimajimbo.
Na ndo moja ya sababu kwa nini national popular votes haziamui mshindi wa urais.
Lakini huwezi kushinda electoral college votes bila ya kushinda state popular votes.
Cha msingi ukitaka kuelewa vizuri, ielewe tofauti ya state popular vote [ambayo ndo inatoa electoral college votes] na national popular vote ambayo haitumiki kuamua mshindi.
Sawa mkuu nimekuelewa ila unasemaje kwamba wananchi hawana maamzi wakati ili uchukue hizi points( electoral votes) lazima uwe umechaguliwa na wananchi wengi katika Jimbo husika). Please note that electoral votes zinazungumziwa siyo watu maalumu wanaopiga kura siku ya tarehe 05 Nov nimeamua kujaribu kuzifafanua kama points ambazo zimekuwa asigned Kwa kila Jimbo based on various criterias.Hizi systems nazielewa MKUU ingawaje sio sana ila naelewa kama kuna hayo masuala ya points na majimbo fulani yana points kubwa kuliko mengine
Nandio hapo nnapokua na hoja na yaqini kwamba marekani hakuna demokrasia
Sasa kama kura za watu zinakuja kuamuliwa Kwa points hizo za huko kwenye majimbo hapa unaweza ukanambia maoni mawazo namachaguo ya watu wapi yameheshimiwa?
Si tunakubaliana kwamba wananchi ndio waamuzi wa rais ama madiwani ama wabunge kwenye kupiga kura ama hatukubaliani?
Sasa kwanini kama ipo hivyo maamuzi yamwisho yasiwe tu yawananchi kwakua wao ndio wanamtaka raisi
Inamaana uchina nao wana demokrasi safi maana wao wameamua kutowapa shida raia wao kama wanavyopewa raia huko marekani na system yao wanaambiwa wakapige kura ila mwisho electrol ndio wanamaamuzi ya mwisho
Nnachotaka mimi hapa kubishiwa nikunambia tu kama sio kweli kura za wananchi ndio zinazomueka rais madarakani ila ukishakubali kama kuna electrol nawao wanafanya yao huko utakua unaungana nami
Yaani mfano kenya wawe na system yao wananchi wanachagua rais wao halaf mwisho kuwe na baraza fulani tuseme la mahakama ndio wanaamua nani awe rais huu utakua uhuni mkubwa
Marekani hakuna na hakujawahi kua na demokrasia kama ipo inatakiwa kura za wananchi ziwe ndio maamuzi ya mwisho sababu wao ni wengi kuliko hao wengine wajanja 400
Wananchi pekee hawatoshi kua waamuzi wanani awe rahisi hapo marekani nahuu ndio ukweli
Soma hapo juu Nyani Ngabu ameelezea vizuri. Itakuasaidia sana kuelewa Trump alishindaje uchaguziUnajua trump alishinda uraisi kwa kura gani?
Zitaje?
Nimekuelewa sana piaSawa mkuu nimekuelewa ila unasemaje kwamba wananchi hawana maamzi wakati ili uchukue hizi points( electoral votes) lazima uwe umechaguliwa na wananchi wengi katika Jimbo husika). Please note that electoral votes zinazungumziwa siyo watu maalumu wanaopiga kura siku ya tarehe 05 Nov nimeamua kujaribu kuzifafanua kama points ambazo zimekuwa asigned Kwa kila Jimbo based on various criterias.
Nimerejea tena hapa kukuelewesha kuhusu electoral votes.Sijui nianze kukujibu wapi kuelekea wapi kijana ila acha nianze juu kwenda chini
Huenda wewe ndio ukawa huelewi kitu chochote wao wanathibitisha kama nani?
Kwamba watu 400+ ndio wanaweza ama wana haki ya kuthibitisha maamuzi ya watu zaidi ya 300M+ wao kama nani kuwazidi hao wengine Million walopiga kura?
Hilo linaonesha wazi kama kura za marekani sio zakidemokrasia kama watu 400+ wanaweza kuthibitisha urais wa mtu maana yake wanaangalia vigezo vyao ila sio wingi wa watu kama wanavyohubiri kua demokrasia ni nguvu ya umma nandio maana Hillary alishinda kura za wananchi kidemokrasia ila akashindwa kuwa rahisi kutokana na kura za kupanga za watu 400+
Mie mbona hakuna sehemu nimeongelea kuhusiana na marekani na kua super power mzee au umechanganya mambo nisome tena vyema hemu kufa kwa nchi sio lazima isiwe super power ila inaweza ikaporomoka kwenye angle nyingi kisiasa kiuchumi kijeshi kimoja wapo ila ikiporomoka kwa vyote ndio inakua imekufa
Kama uingereza ile ndio imekufa kabisa kila angle Americant haijafika huko ila itafika nanatamani iwe chini ya kamala kama atashinda kura zao zamchongoma
Nilichomwambia mleta koment nikwamba alete takwimu za uchumi wa russia na marekani tuone upi unaofanya vyema au msaidie wewe kuleta takwimu tuone maana yeye kachemka sababu aliuongelea uchumi wa russia kana kwamba unaporomoka
Mwisho Americant hakuna demokrasia hata kama mtataka muwatetee kwakiasi gani
Wewe sasa ndio unaweza ukawa hunielewi nasidhanii kama hii hoja unanielewaNimerejea tena hapa kukuelewesha kuhusu electoral votes.
Kwa kuwa umetumia mfano wa Hillary Clinton kushindwa na Trump kwenye uchaguzi wa mwaka 2016, basi ngoja nianzie hapo hapo.
Mara baada ya kura za jumla za wamerekani kupigwa (kabla ya kura za wajumbe kupigwa), na Hilary kuongoza kwa zaidi ya kura milioni mbili, alitangaza kushindwa na dunia nzima ikajua tayari Hilary ameshindwa. Kwanini atangaze kushindwa na kila mtu ajue Hilary ameshindwa wakati kura za wajumbe (electoral votes) zilikuwa bado hazijapigwa (zilikuja kupigwa wiki kadhaa baadaye)?
Jibu ni moja tu, kura za wajumbe ni kivuli cha taswira ya maamuzi ya mamilioni ya wamerekani waliyoyafanya kwenye sanduku la kura hapo kabla.
Kwa kumalizia tu, uchaguzi ule uliompa Trump ushindi ulitokana na ushindi wa Trump kupata kura nyingi zaidi kwenye majimbo muhimu yenye nguvu ya kuchangia ushindi wa kiti cha urais. Upigaji wa kura USA upo kimajimbo, na kila jimbo lina mchango wake tofauti na jimbo lingine. Ukielewa hili hauwezi kuja kubisha tena.