Trump hatashinda japo na Kamala Harris hatauweza urais wa Marekani kipindi ambapo taifa hilo linadidimia

Trump hatashinda japo na Kamala Harris hatauweza urais wa Marekani kipindi ambapo taifa hilo linadidimia

Ach

Acha ubishi na uvivu , ww mwenyewe kajifunze wikipedia kuhusu ni kura gani zilimpa urais Donald trump.
Najuwa vizuri we nenda kajifunze utaelewa. Rais wa Marekani haamuliwi na watu wachache. Ukielewa electoral votes ni nini na zifanyaje kazi basi hautabishana hapa
 
Wewe sasa ndio huenda ukawa huelewi maana ya demokrasia labda au huelewi majambo yanavyoenda hapo marekani

Mshindi anachaguliwa kwa vigezo gani kama vigezo vya wingi kama mnavyodai tunaomba matokeo ya kura za trump na klinton utwambie yupi alipata kura nyingi kuliko mwenzake na nani akaishia kua rahisi wa hapo

Marekani uwingi wakura wala sio kigezo kama munavyodai nandio maana trump akawa rahisi

Electrol wanathibitishaje kura wanathibitisha kura kama nani wakati wananchi walimchagua Hillary kwa wingi wa kura ila ikulu akaingia DT

Huenda ikawa hujui matokeo ya DT yaliopita akiwa anachuana na hillary kama yapo yalete tafadhali halaf tuone nani anadanganya

Mwisho kura za wananchi marekani sii chochote sii lolote!!!!!
Naelewa kwamba Kwa kura za jumla Clinton alipata idadi kubwa ya kura kuliko Trump, lakini kitu unachopaswa kuelewa ni kwamba ushindi wa Urais Marekani haupatikani Kwa hesabu hizo. Nikupe simple calculation tu ni kwamba. Mfano Jimbo la California kama Lina point tatu, mgombea anayemzidi mwenzake Kwa kura za jumla yeye ndo anachukua hizo point tatu (Electoral votes), same applies to other states. So suala la Clinton lilitokea hivi: kuna majimbo alikuwa anapata kura nyingi kulingana na idadi ya watu wa pale ila kama hilo au hayo majimbo yana point tatu, tano kinachokuwa considered ni hizo points siyo idadi ya watu waliompigia kura. But ukija kutafuta idadi ya waalipiga kura unaweza kupata zaidi lakini akazidiwa kwenye electoral votes depending na majimbo ambayo Trump alishinda. Kupata mshindi Huwa zinajumlishwa electoral votes (points) siyo idadi ya kura zilizopigwa.
 
Naelewa kwamba Kwa kura za jumla Clinton alipata idadi kubwa ya kura kuliko Trump, lakini kitu unachopaswa kuelewa ni kwamba ushindi wa Urais Marekani haupatikani Kwa hesabu hizo. Nikupe simple calculation tu ni kwamba. Mfano Jimbo la California kama Lina point tatu, mgombea anayemzidi mwenzake Kwa kura za jumla yeye ndo anachukua hizo point tatu (Electoral votes), same applies to other states. So suala la Clinton lilitokea hivi: kuna majimbo alikuwa anapata kura nyingi kulingana na idadi ya watu wa pale ila kama hilo au hayo majimbo yana point tatu, tano kinachokuwa considered ni hizo points siyo idadi ya watu waliompigia kura. But ukija kutafuta idadi ya waalipiga kura unaweza kupata zaidi lakini akazidiwa kwenye electoral votes depending na majimbo ambayo Trump alishinda. Kupata mshindi Huwa zinajumlishwa electoral votes (points) siyo idadi ya kura zilizopigwa.
Naomba kujuzwa, kwa nini jimbo moja lipewe point 3 na lingine liwe na point 5, kwa nini yote yasiwe na usawa wa hao wajumbe/point
 
Naomba kujuzwa, kwa nini jimbo moja lipewe point 3 na lingine liwe na point 5, kwa nini yote yasiwe na usawa wa hao wajumbe/point
Hiyo ni kwa sababu ya idadi ya watu waliopo kwenye majimbo.

Majimbo yenye watu/wakazi wengi, electoral college votes zake nazo ni nyingi.

Electoral college votes zinatolewa kulingana na idadi ya wabunge waliopo kwenye chemba mbili za bunge la Marekani: senate na House of Representatives.

Kila jimbo lina maseneta wawili. Hiyo ni bila kujalisha idadi ya watu waliopo kwenye majimbo.

Marekani kuna majimbo 50, hivyo ina maseneta 100.

Kwenye House of Representatives ndo idadi ya wawakilishi hutokana na idadi ya watu/ wakazi waliopo kwenye majimbo wanayoyawakilisha.

Kwa mfano, jimbo la Florida lina wawakilishi 28 kwenye House of Representatives.

Kwa hiyo, kwenye electoral college votes, linazo 30.

Hiyo 30 inatokana na hao wawakilishi 28 ukijumlisha na maseneta wake wawili [2].

Mfano mwingine:

Jimbo la Georgia lina wawakilishi 14 kwenye House of Representatives.

Kwa hiyo kwenye electoral college votes, Georgia inazo 16.

14 kutokana na hao wawakilishi 14 ukijumlisha na maseneta wake wawili [2].

Ili mgombea urais aweze kuzipata electoral college votes za jimbo, ni lazima ashinde popular votes za jimbo.

Iko hivyo kwenye majimbo 48. Majimbo ya Nebraska na Maine, yenyewe huzigawa votes zake kutokana na congressional districts.

Marekani uchaguzi huendeshwa na majimbo. Kila jimbo lina sheria zake za uchaguzi.

Kwa hiyo, Marekani hakuna uchaguzi wa kitaifa.

Chaguzi zilizopo ni za kimajimbo.

Na ndo moja ya sababu kwa nini national popular votes haziamui mshindi wa urais.

Lakini huwezi kushinda electoral college votes bila ya kushinda state popular votes.

Cha msingi ukitaka kuelewa vizuri, ielewe tofauti ya state popular vote [ambayo ndo inatoa electoral college votes] na national popular vote ambayo haitumiki kuamua mshindi.
 
Najuwa vizuri we nenda kajifunze utaelewa. Rais wa Marekani haamuliwi na watu wachache. Ukielewa electoral votes ni nini na zifanyaje kazi basi hautabishana hapa
Unajua trump alishinda uraisi kwa kura gani?

Zitaje?
 
Naelewa kwamba Kwa kura za jumla Clinton alipata idadi kubwa ya kura kuliko Trump, lakini kitu unachopaswa kuelewa ni kwamba ushindi wa Urais Marekani haupatikani Kwa hesabu hizo. Nikupe simple calculation tu ni kwamba. Mfano Jimbo la California kama Lina point tatu, mgombea anayemzidi mwenzake Kwa kura za jumla yeye ndo anachukua hizo point tatu (Electoral votes), same applies to other states. So suala la Clinton lilitokea hivi: kuna majimbo alikuwa anapata kura nyingi kulingana na idadi ya watu wa pale ila kama hilo au hayo majimbo yana point tatu, tano kinachokuwa considered ni hizo points siyo idadi ya watu waliompigia kura. But ukija kutafuta idadi ya waalipiga kura unaweza kupata zaidi lakini akazidiwa kwenye electoral votes depending na majimbo ambayo Trump alishinda. Kupata mshindi Huwa zinajumlishwa electoral votes (points) siyo idadi ya kura zilizopigwa.
Unajitekenya na kucheka mwenyewe.
 
Hiyo ni kwa sababu ya idadi ya watu waliopo kwenye majimbo.

Majimbo yenye watu/wakazi wengi, electoral college votes zake nazo ni nyingi.

Electoral college votes zinatolewa kulingana na idadi ya wabunge waliopo kwenye chemba mbili za bunge la Marekani: senate na House of Representatives.

Kila jimbo lina maseneta wawili. Hiyo ni bila kujalisha idadi ya watu waliopo kwenye majimbo.

Marekani kuna majimbo 50, hivyo ina maseneta 100.

Kwenye House of Representatives ndo idadi ya wawakilishi hutokana na idadi ya watu/ wakazi waliopo kwenye majimbo wanayoyawakilisha.

Kwa mfano, jimbo la Florida lina wawakilishi 28 kwenye House of Representatives.

Kwa hiyo, kwenye electoral college votes, linazo 30.

Hiyo 30 inatokana na hao wawakilishi 28 ukijumlisha na maseneta wake wawili [2].

Mfano mwingine:

Jimbo la Georgia lina wawakilishi 14 kwenye House of Representatives.

Kwa hiyo kwenye electoral college votes, Georgia inazo 16.

14 kutokana na hao wawakilishi 14 ukijumlisha na maseneta wake wawili [2].

Ili mgombea urais aweze kuzipata electoral college votes za jimbo, ni lazima ashinde popular votes za jimbo.

Iko hivyo kwenye majimbo 48. Majimbo ya Nebraska na Maine, yenyewe huzigawa votes zake kutokana na congressional districts.

Marekani uchaguzi huendeshwa na majimbo. Kila jimbo lina sheria zake za uchaguzi.

Kwa hiyo, Marekani hakuna uchaguzi wa kitaifa.

Chaguzi zilizopo ni za kimajimbo.

Na ndo moja ya sababu kwa nini national popular votes haziamui mshindi wa urais.

Lakini huwezi kushinda electoral college votes bila ya kushinda state popular votes.

Cha msingi ukitaka kuelewa vizuri, ielewe tofauti ya state popular vote [ambayo ndo inatoa electoral college votes] na national popular vote ambayo haitumiki kuamua mshindi.
Unajitekenya na kucheka mwenyewe.
 
Asante sana kwa majibu yako mazuri kabisa, umenijibu swali ambalo lilikuwa kichwani kwangu kwa muda sana tangu nianze kuona ukichangia hii mijadala hususani ya Geo-politics 👏

Nje na hilo, unahisi ulimwengu unatakiwa kufanya nini ili kukwepa hicho kikombe cha USA hususani kwenye zile conspiracy theory zao za kuteketeza ULIMWENGU under NEW WORLD ORDER (Refer kitabu cha Ralph Epperson) na kuuweka chini ya utawala wao kwa kutumia (DEPOPULATION strategy)?

Maana imefika hatua ni kama Dunia bado ipo kwenye mikono yao japo hao wakubwa Russia na China wamejitahidi na wanaendelea kupambana naye kuhakikisha wanajitoa kwenye mabawa yake. Moja ya strategy zao ni kujitoa kwenye financial systems na institutions zake kwa sababu who controls finance & financial institutions & systems is the one who controls the world! Na hapo ndipo wakaja na hiyo BRICS.

Hili ni nje na swali la kwanza mkuu, Lile nimekuelewa vizuri kabisa. Hapa nataka kupata maoni yako tu.

Heshima full Tank 🫡
Huenda leo ikawa mara ya mwisho asee kabla sijapotea kwa muda ntajitahidi kukujibu kabla sijapotea kwa muda

Kuikwepa Americant na system yao waloieka sio rahisi ingawaje watu wanapambania hilo

Nasababu kubwa nikwamba system inayotawala kwasasa duniani ambayo kiongozi mkubwa ni Americant ila inabeba wahusika wakubwa kama uk ger nk

Huo mfumo kuupita pia inahitaji mikakati mizito na kuja kutimia sio jambo la mara moja

Nikikwambia wafanye nini ntakua nakudanganya sababu inaweza ikawezekana ila isiwe rahisi mfumo ulioanza kujengwa miaka zaidi ya 70 sasa kuondolew ghafla

Napia china na russia au brics wanapambania hilo suala ila wao kama wao hawaelewani

Mfano india na china ila kama kungekua na mfumo thabiti baina ya china na india tu basi system nzima ya huo mfumo ungebadilika

China na india ndio mataifa pekee duniani kama yatakua na ajenda moja duniani wanaweza wakaifanya na ikafanikiwa ndani ya muda mfupi sana ila sharti wawe na maelewano mazuri kwa 100%✓ ila mpaka sasa hilo hawana

Haya mambo ya Geo politics pia sio yakuyaamini sanaa ndio maana licha yakua naongea mengi ila hua nna yangu kichwani hao marekani china russia nk sio wakuwaamini sana kwenye haya majambo

Unaweza ukakuta huku nje wanaugomvi mkubwa haswa ila huko nyuma wana ajenda moja ila wanaijua wenyewe

Dunia inaendeshwa na siri sana mzee tunayoyaona nje ni machache sana kati ya mengi yaliopo
 
Baada ya kufuatilia kwa makini mkutano mkuu wa Democratic na kampeni za Donald Trump nimegundua kwamba Trump hatoweza tena kamwe kuupata uraisi wa Marekani anaoutamani.
Historia ya maisha yake ya kihuni na kupenda ubaguzi pamoja na uadui kwa waislamu hautamuwezesha Donald Trump kurudia kwenye kiti cha uraisi.Wamarekani wanaompinga wakiwemo wa rangi mbali mbali na wahamiajia hawatampigia kura kabisa.
Trump atabaki na kundi la wabaguzi wa rangi ambao hawatotosha kumpatia kura za uraisi.
Kwa maana hiyo Kamalla Harris ndiye atakayekuwa mshindi wa kiti hicho,kwanza kwa vile ni mwanamke na enzi hizi wanawake ni wengi sana kwenye chaguzi za mataifa mengi na ni rahisi kushawishika na vitu ambavyo si rahisi kuwapata wanaume.
Vile vile Kamalla ni Mmarekani mwenye asili ya nje ambapo katika Marekani idadi ya watu hao ni wengi sana.Waliotokea Afrika,America kusini,China na bara hindi.Wote hao ni wapiga kura wake.
Wapiga kura waislamu japo sio wengi lakini wote pamoja na matatizo ya viongozi wa Democratic akiwemo raisi wa sasa Biden kujipendekeza kwa mayahudi,pamoja na hivyo Trump anaonekana ni hatari zaidi kwao kuliko Kamalla.
Tukija upande wa Kamalla ambaye ana asilimia kubwa za kushinda.Jee atauweza uraisi huo wakati taifa hilo liko kwenye hali mbaya za kiuchumi na liko mbioni kuzama .Uadui na mataifa makubwa kama Urusi na China pamoja na vita vya Gaza ni majukumu ambayo huwa ni mazito kwa raisi mwanamke.
Kwa namna yoyote ile kinachoendelea kwa Marekani kwa sasa ni tope ambalo hatimaye litaizamisha na kuwa nafuu kwa dunia nzima baada ya taifa hilo kufanya jeuri na kufuru kwa muda mrefu duniani.
Ukilala ukiamka unawaza uislamu na nagaidi yake,wasted sperm🚮
 
Naelewa kwamba Kwa kura za jumla Clinton alipata idadi kubwa ya kura kuliko Trump, lakini kitu unachopaswa kuelewa ni kwamba ushindi wa Urais Marekani haupatikani Kwa hesabu hizo. Nikupe simple calculation tu ni kwamba. Mfano Jimbo la California kama Lina point tatu, mgombea anayemzidi mwenzake Kwa kura za jumla yeye ndo anachukua hizo point tatu (Electoral votes), same applies to other states. So suala la Clinton lilitokea hivi: kuna majimbo alikuwa anapata kura nyingi kulingana na idadi ya watu wa pale ila kama hilo au hayo majimbo yana point tatu, tano kinachokuwa considered ni hizo points siyo idadi ya watu waliompigia kura. But ukija kutafuta idadi ya waalipiga kura unaweza kupata zaidi lakini akazidiwa kwenye electoral votes depending na majimbo ambayo Trump alishinda. Kupata mshindi Huwa zinajumlishwa electoral votes (points) siyo idadi ya kura zilizopigwa.
Hizi systems nazielewa MKUU ingawaje sio sana ila naelewa kama kuna hayo masuala ya points na majimbo fulani yana points kubwa kuliko mengine

Nandio hapo nnapokua na hoja na yaqini kwamba marekani hakuna demokrasia

Sasa kama kura za watu zinakuja kuamuliwa Kwa points hizo za huko kwenye majimbo hapa unaweza ukanambia maoni mawazo namachaguo ya watu wapi yameheshimiwa?

Si tunakubaliana kwamba wananchi ndio waamuzi wa rais ama madiwani ama wabunge kwenye kupiga kura ama hatukubaliani?

Sasa kwanini kama ipo hivyo maamuzi yamwisho yasiwe tu yawananchi kwakua wao ndio wanamtaka raisi

Inamaana uchina nao wana demokrasi safi maana wao wameamua kutowapa shida raia wao kama wanavyopewa raia huko marekani na system yao wanaambiwa wakapige kura ila mwisho electrol ndio wanamaamuzi ya mwisho

Nnachotaka mimi hapa kubishiwa nikunambia tu kama sio kweli kura za wananchi ndio zinazomueka rais madarakani ila ukishakubali kama kuna electrol nawao wanafanya yao huko utakua unaungana nami

Yaani mfano kenya wawe na system yao wananchi wanachagua rais wao halaf mwisho kuwe na baraza fulani tuseme la mahakama ndio wanaamua nani awe rais huu utakua uhuni mkubwa

Marekani hakuna na hakujawahi kua na demokrasia kama ipo inatakiwa kura za wananchi ziwe ndio maamuzi ya mwisho sababu wao ni wengi kuliko hao wengine wajanja 400

Wananchi pekee hawatoshi kua waamuzi wanani awe rahisi hapo marekani nahuu ndio ukweli
 
Hiyo ni kwa sababu ya idadi ya watu waliopo kwenye majimbo.

Majimbo yenye watu/wakazi wengi, electoral college votes zake nazo ni nyingi.

Electoral college votes zinatolewa kulingana na idadi ya wabunge waliopo kwenye chemba mbili za bunge la Marekani: senate na House of Representatives.

Kila jimbo lina maseneta wawili. Hiyo ni bila kujalisha idadi ya watu waliopo kwenye majimbo.

Marekani kuna majimbo 50, hivyo ina maseneta 100.

Kwenye House of Representatives ndo idadi ya wawakilishi hutokana na idadi ya watu/ wakazi waliopo kwenye majimbo wanayoyawakilisha.

Kwa mfano, jimbo la Florida lina wawakilishi 28 kwenye House of Representatives.

Kwa hiyo, kwenye electoral college votes, linazo 30.

Hiyo 30 inatokana na hao wawakilishi 28 ukijumlisha na maseneta wake wawili [2].

Mfano mwingine:

Jimbo la Georgia lina wawakilishi 14 kwenye House of Representatives.

Kwa hiyo kwenye electoral college votes, Georgia inazo 16.

14 kutokana na hao wawakilishi 14 ukijumlisha na maseneta wake wawili [2].

Ili mgombea urais aweze kuzipata electoral college votes za jimbo, ni lazima ashinde popular votes za jimbo.

Iko hivyo kwenye majimbo 48. Majimbo ya Nebraska na Maine, yenyewe huzigawa votes zake kutokana na congressional districts.

Marekani uchaguzi huendeshwa na majimbo. Kila jimbo lina sheria zake za uchaguzi.

Kwa hiyo, Marekani hakuna uchaguzi wa kitaifa.

Chaguzi zilizopo ni za kimajimbo.

Na ndo moja ya sababu kwa nini national popular votes haziamui mshindi wa urais.

Lakini huwezi kushinda electoral college votes bila ya kushinda state popular votes.

Cha msingi ukitaka kuelewa vizuri, ielewe tofauti ya state popular vote [ambayo ndo inatoa electoral college votes] na national popular vote ambayo haitumiki kuamua mshindi.
Hii inazidi kujazia nyama kwamba marekani hakuna demokrasia kuna janja janja

Kwanini zisiheshimiwe kura za wananchi walopiga kura zao kama wana demokrasia

Marekani sawa wanafanya uchaguzi kwa majimbo ila wapiga kura si wananchi

Wangekua na demokrasia kweli wangeshindwa kuchukua kura za kila jimbo wakazichanganya wakampata mshindi alochaguliwa na raia akaingia ikulu

Tunajua mnajaribu kuuficha ukweli ila ndio ukweli kwamba marekani maoni ya raia kupitia boksi la kura hayaheshimiki hata kidogo na yanapuuzwa
 
Hizi systems nazielewa MKUU ingawaje sio sana ila naelewa kama kuna hayo masuala ya points na majimbo fulani yana points kubwa kuliko mengine

Nandio hapo nnapokua na hoja na yaqini kwamba marekani hakuna demokrasia

Sasa kama kura za watu zinakuja kuamuliwa Kwa points hizo za huko kwenye majimbo hapa unaweza ukanambia maoni mawazo namachaguo ya watu wapi yameheshimiwa?

Si tunakubaliana kwamba wananchi ndio waamuzi wa rais ama madiwani ama wabunge kwenye kupiga kura ama hatukubaliani?

Sasa kwanini kama ipo hivyo maamuzi yamwisho yasiwe tu yawananchi kwakua wao ndio wanamtaka raisi

Inamaana uchina nao wana demokrasi safi maana wao wameamua kutowapa shida raia wao kama wanavyopewa raia huko marekani na system yao wanaambiwa wakapige kura ila mwisho electrol ndio wanamaamuzi ya mwisho

Nnachotaka mimi hapa kubishiwa nikunambia tu kama sio kweli kura za wananchi ndio zinazomueka rais madarakani ila ukishakubali kama kuna electrol nawao wanafanya yao huko utakua unaungana nami

Yaani mfano kenya wawe na system yao wananchi wanachagua rais wao halaf mwisho kuwe na baraza fulani tuseme la mahakama ndio wanaamua nani awe rais huu utakua uhuni mkubwa

Marekani hakuna na hakujawahi kua na demokrasia kama ipo inatakiwa kura za wananchi ziwe ndio maamuzi ya mwisho sababu wao ni wengi kuliko hao wengine wajanja 400

Wananchi pekee hawatoshi kua waamuzi wanani awe rahisi hapo marekani nahuu ndio ukweli
Sawa mkuu nimekuelewa ila unasemaje kwamba wananchi hawana maamzi wakati ili uchukue hizi points( electoral votes) lazima uwe umechaguliwa na wananchi wengi katika Jimbo husika). Please note that electoral votes zinazungumziwa siyo watu maalumu wanaopiga kura siku ya tarehe 05 Nov nimeamua kujaribu kuzifafanua kama points ambazo zimekuwa asigned Kwa kila Jimbo based on various criterias.
 
Sawa mkuu nimekuelewa ila unasemaje kwamba wananchi hawana maamzi wakati ili uchukue hizi points( electoral votes) lazima uwe umechaguliwa na wananchi wengi katika Jimbo husika). Please note that electoral votes zinazungumziwa siyo watu maalumu wanaopiga kura siku ya tarehe 05 Nov nimeamua kujaribu kuzifafanua kama points ambazo zimekuwa asigned Kwa kila Jimbo based on various criterias.
Nimekuelewa sana pia

Sasa kwanini matokeo ya mwisho tu kwamba Hillary alimshinda DT kwa kura nyingi yasiwe final say kwamba Hillary aingie ikulu

Kama kweli kura zawananchi pekee zatosha kua mwamuzi
 
Sijui nianze kukujibu wapi kuelekea wapi kijana ila acha nianze juu kwenda chini

Huenda wewe ndio ukawa huelewi kitu chochote wao wanathibitisha kama nani?

Kwamba watu 400+ ndio wanaweza ama wana haki ya kuthibitisha maamuzi ya watu zaidi ya 300M+ wao kama nani kuwazidi hao wengine Million walopiga kura?

Hilo linaonesha wazi kama kura za marekani sio zakidemokrasia kama watu 400+ wanaweza kuthibitisha urais wa mtu maana yake wanaangalia vigezo vyao ila sio wingi wa watu kama wanavyohubiri kua demokrasia ni nguvu ya umma nandio maana Hillary alishinda kura za wananchi kidemokrasia ila akashindwa kuwa rahisi kutokana na kura za kupanga za watu 400+

Mie mbona hakuna sehemu nimeongelea kuhusiana na marekani na kua super power mzee au umechanganya mambo nisome tena vyema hemu kufa kwa nchi sio lazima isiwe super power ila inaweza ikaporomoka kwenye angle nyingi kisiasa kiuchumi kijeshi kimoja wapo ila ikiporomoka kwa vyote ndio inakua imekufa

Kama uingereza ile ndio imekufa kabisa kila angle Americant haijafika huko ila itafika nanatamani iwe chini ya kamala kama atashinda kura zao zamchongoma

Nilichomwambia mleta koment nikwamba alete takwimu za uchumi wa russia na marekani tuone upi unaofanya vyema au msaidie wewe kuleta takwimu tuone maana yeye kachemka sababu aliuongelea uchumi wa russia kana kwamba unaporomoka

Mwisho Americant hakuna demokrasia hata kama mtataka muwatetee kwakiasi gani
Nimerejea tena hapa kukuelewesha kuhusu electoral votes.
Kwa kuwa umetumia mfano wa Hillary Clinton kushindwa na Trump kwenye uchaguzi wa mwaka 2016, basi ngoja nianzie hapo hapo.

Mara baada ya kura za jumla za wamerekani kupigwa (kabla ya kura za wajumbe kupigwa), na Hilary kuongoza kwa zaidi ya kura milioni mbili, alitangaza kushindwa na dunia nzima ikajua tayari Hilary ameshindwa. Kwanini atangaze kushindwa na kila mtu ajue Hilary ameshindwa wakati kura za wajumbe (electoral votes) zilikuwa bado hazijapigwa (zilikuja kupigwa wiki kadhaa baadaye)?
Jibu ni moja tu, kura za wajumbe ni kivuli cha taswira ya maamuzi ya mamilioni ya wamerekani waliyoyafanya kwenye sanduku la kura hapo kabla.

Kwa kumalizia tu, uchaguzi ule uliompa Trump ushindi ulitokana na ushindi wa Trump kupata kura nyingi zaidi kwenye majimbo muhimu yenye nguvu ya kuchangia ushindi wa kiti cha urais. Upigaji wa kura USA upo kimajimbo, na kila jimbo lina mchango wake tofauti na jimbo lingine. Ukielewa hili hauwezi kuja kubisha tena.
 
Nimerejea tena hapa kukuelewesha kuhusu electoral votes.
Kwa kuwa umetumia mfano wa Hillary Clinton kushindwa na Trump kwenye uchaguzi wa mwaka 2016, basi ngoja nianzie hapo hapo.

Mara baada ya kura za jumla za wamerekani kupigwa (kabla ya kura za wajumbe kupigwa), na Hilary kuongoza kwa zaidi ya kura milioni mbili, alitangaza kushindwa na dunia nzima ikajua tayari Hilary ameshindwa. Kwanini atangaze kushindwa na kila mtu ajue Hilary ameshindwa wakati kura za wajumbe (electoral votes) zilikuwa bado hazijapigwa (zilikuja kupigwa wiki kadhaa baadaye)?
Jibu ni moja tu, kura za wajumbe ni kivuli cha taswira ya maamuzi ya mamilioni ya wamerekani waliyoyafanya kwenye sanduku la kura hapo kabla.

Kwa kumalizia tu, uchaguzi ule uliompa Trump ushindi ulitokana na ushindi wa Trump kupata kura nyingi zaidi kwenye majimbo muhimu yenye nguvu ya kuchangia ushindi wa kiti cha urais. Upigaji wa kura USA upo kimajimbo, na kila jimbo lina mchango wake tofauti na jimbo lingine. Ukielewa hili hauwezi kuja kubisha tena.
Wewe sasa ndio unaweza ukawa hunielewi nasidhanii kama hii hoja unanielewa

Kinachoendelea marekani ndio kama kinachoendelea uk wanadanganya watu malkia sijui mfalme sio mwanasiasa wakati huo huo ili uwe PM lazima ipite idhini yake

Moja ya points kubwa inayopewa jimbo fulani kua na nguvu ni uwingi wawatu

Kwanini wapiga kura wasitoshe kua waamuzi wamwisho

Mwisho umerudi pale pale kwenye points yaani mtu anazidi kwakura 2M bado anatangaza kushindwa

Kura zawananchi haziheshimiwi na Hillary alikiri sababu system ishaekwa walivyoamua kuieka lazima ifuatwe Hillary lazima angekiri

Ila ukweli hauondoki wala kubadilika kama maamuzi ya raia zaidi ya 2M hayajaheshimiwa

Huu ukweli hata muupake rangi vipi hauwezi kubadilika wazeee
 
Back
Top Bottom