Trump hatashinda japo na Kamala Harris hatauweza urais wa Marekani kipindi ambapo taifa hilo linadidimia

Trump hatashinda japo na Kamala Harris hatauweza urais wa Marekani kipindi ambapo taifa hilo linadidimia

Kamala huenda historia ikaja kumuandika kama ndie rahisi alofiwa na Americant mikononimwe

Ila usilolijua ama umelisahau nikwamba kura za marekani hazichaguliwi na raia wamarekani kama ulivyoandika hapo

Wamarekani zaidi ya 200M+ sijui 300M+ wanachaguliwa ama wanateuliwa rais wao na kakikundi chawatu tu hawazidi hata mia nne(400) sijui mia tano (500)

Moja ya nchi inayotakiwa kufunzwa kuhisiana na demokrasia basi marekani inatakiwa iende ikajifunze demokrasia hata kwa Zimbabwe au Venezuela
Kuna uwezekano hujui mfumo wa uchaguzi wa USA. Jifunze uelewe kuliko Kukulupuka. Mfumo wao ni Bora Sana Ukielewa. Tena Bora Sana
 
Baada ya kufuatilia kwa makini mkutano mkuu wa Democratic na kampeni za Donald Trump nimegundua kwamba Trump hatoweza tena kamwe kuupata uraisi wa Marekani anaoutamani.
Historia ya maisha yake ya kihuni na kupenda ubaguzi pamoja na uadui kwa waislamu hautamuwezesha Donald Trump kurudia kwenye kiti cha uraisi.Wamarekani wanaompinga wakiwemo wa rangi mbali mbali na wahamiajia hawatampigia kura kabisa.
Trump atabaki na kundi la wabaguzi wa rangi ambao hawatotosha kumpatia kura za uraisi.
Kwa maana hiyo Kamalla Harris ndiye atakayekuwa mshindi wa kiti hicho,kwanza kwa vile ni mwanamke na enzi hizi wanawake ni wengi sana kwenye chaguzi za mataifa mengi na ni rahisi kushawishika na vitu ambavyo si rahisi kuwapata wanaume.
Vile vile Kamalla ni Mmarekani mwenye asili ya nje ambapo katika Marekani idadi ya watu hao ni wengi sana.Waliotokea Afrika,America kusini,China na bara hindi.Wote hao ni wapiga kura wake.
Wapiga kura waislamu japo sio wengi lakini wote pamoja na matatizo ya viongozi wa Democratic akiwemo raisi wa sasa Biden kujipendekeza kwa mayahudi,pamoja na hivyo Trump anaonekana ni hatari zaidi kwao kuliko Kamalla.
Tukija upande wa Kamalla ambaye ana asilimia kubwa za kushinda.Jee atauweza uraisi huo wakati taifa hilo liko kwenye hali mbaya za kiuchumi na liko mbioni kuzama .Uadui na mataifa makubwa kama Urusi na China pamoja na vita vya Gaza ni majukumu ambayo huwa ni mazito kwa raisi mwanamke.
Kwa namna yoyote ile kinachoendelea kwa Marekani kwa sasa ni tope ambalo hatimaye litaizamisha na kuwa nafuu kwa dunia nzima baada ya taifa hilo kufanya jeuri na kufuru kwa muda mrefu duniani.
Na akishinda itakuwaje?
 
Baada ya kufuatilia kwa makini mkutano mkuu wa Democratic na kampeni za Donald Trump nimegundua kwamba Trump hatoweza tena kamwe kuupata uraisi wa Marekani anaoutamani.
Historia ya maisha yake ya kihuni na kupenda ubaguzi pamoja na uadui kwa waislamu hautamuwezesha Donald Trump kurudia kwenye kiti cha uraisi.Wamarekani wanaompinga wakiwemo wa rangi mbali mbali na wahamiajia hawatampigia kura kabisa.
Trump atabaki na kundi la wabaguzi wa rangi ambao hawatotosha kumpatia kura za uraisi.
Kwa maana hiyo Kamalla Harris ndiye atakayekuwa mshindi wa kiti hicho,kwanza kwa vile ni mwanamke na enzi hizi wanawake ni wengi sana kwenye chaguzi za mataifa mengi na ni rahisi kushawishika na vitu ambavyo si rahisi kuwapata wanaume.
Vile vile Kamalla ni Mmarekani mwenye asili ya nje ambapo katika Marekani idadi ya watu hao ni wengi sana.Waliotokea Afrika,America kusini,China na bara hindi.Wote hao ni wapiga kura wake.
Wapiga kura waislamu japo sio wengi lakini wote pamoja na matatizo ya viongozi wa Democratic akiwemo raisi wa sasa Biden kujipendekeza kwa mayahudi,pamoja na hivyo Trump anaonekana ni hatari zaidi kwao kuliko Kamalla.
Tukija upande wa Kamalla ambaye ana asilimia kubwa za kushinda.Jee atauweza uraisi huo wakati taifa hilo liko kwenye hali mbaya za kiuchumi na liko mbioni kuzama .Uadui na mataifa makubwa kama Urusi na China pamoja na vita vya Gaza ni majukumu ambayo huwa ni mazito kwa raisi mwanamke.
Kwa namna yoyote ile kinachoendelea kwa Marekani kwa sasa ni tope ambalo hatimaye litaizamisha na kuwa nafuu kwa dunia nzima baada ya taifa hilo kufanya jeuri na kufuru kwa muda mrefu duniani.
Hata upige albadili, qurujuwan, hata allah ashuke kamwe Kamala hashindi😅😆🤣😂, na waislam si lolote wala chochote kwenye kuamua nani ashinde urais US.
 
Mtoa mada kaa ukijua kuwa USA wananchi pekee hawatoshi kumpigia kura mgombea wa uraisi na akashinda.

Kuna kura zingine special ndo zinaamua nani awe raisi.
 
Mtoa mada kaa ukijua kuwa USA wananchi pekee hawatoshi kumpigia kura mgombea wa uraisi na akashinda.

Kuna kura zingine special ndo zinaamua nani awe raisi.
Nyie watu ni wajinga kweli!

Na hata hamuelewi electoral college ni kitu gani na electors wanapatikanaje.

Kwa ufupi, ingawa sidhani kama una uwezo wa kiakili wa kuelewa, ni kwamba, mgombea anayeshinda popular vote ya jimbo, hao electors wa jimbo wanakuwa wa kwake pia.

Mfumo uko hivyo nchi nzima ukiacha baadhi ya congressional districts katika majimbo ya Nebraska na Maine.

Mgombea hawezi kupata hao electors bila ya kushinda popular vote ya jimbo.

Na hao electors wakikutana ni lazima waakisi matokeo ya kura ya majimbo wanayoyawakilisha.

Najua hii ni rocket science kwa wengi wenu. Hivyo sitarajii uelewe hiki nilichokiandika.

Nevertheless, it’s worth a try.
 
Nyie watu ni wajinga kweli!

Na hata hamuelewi electoral college ni kitu gani na electors wanapatikanaje.

Kwa ufupi, ingawa sidhani kama una uwezo wa kiakili wa kuelewa, ni kwamba, mgombea anayeshinda popular vote ya jimbo, hao electors wa jimbo wanakuwa wa kwake pia.

Mfumo uko hivyo nchi nzima ukiacha baadhi ya congressional districts katika majimbo ya Nebraska na Maine.

Mgombea hawezi kupata hao electors bila ya kushinda popular vote ya jimbo.

Na hao electors wakikutana ni lazima waakisi matokeo ya kura ya majimbo wanayoyawakilisha.

Najua hii ni rocket science kwa wengi wenu. Hivyo sitarajii uelewe hiki nilichokiandika.

Nevertheless, it’s worth a try.
Tuambie
Maana humu wanatudanganya mno🤣
 
Hujapenda maelezo yake?
Maelezo yake Yana uongo mwingi sana. Eti uchumi wa marekani unajua kwa Kasi....mwambie atoe takwimu.

Pia mwambie alinganishe na China aone jinsi anavyompumulia marekani kisogoni.

Eti uchumi wa Urusi unashuka....angalie katika nchi 20 tajiri(G20) ni uchumi upi umekuwa kwa Kasi zaidi mwaka Jana.

Uongo ni mwingi mno
 
Hata upige albadili, qurujuwan, hata allah ashuke kamwe Kamala hashindi😅😆🤣😂, na waislam si lolote wala chochote kwenye kuamua nani ashinde urais US.
🤣🤣Alla ashuke
 
Umeanza na uislamu wakati mimi katika mambo yatakayomuweka Kamalla kwenye kiti cha uraisi nimeutaja mwisho kabisa.Pamoja na hivyo kura za waislamu nazo katika hesabu kila mgombea atazihitaji na kuzipuuza ndio kushindwa katika mbinu za kupata ushindi.
Kura ni za watu hakuna kura za udini kwa sababu hatafutwi mufti mkuu ila anatafutwa rais ambaye ataongoza kwa mujibu wa katiba na hatafuata maandiko ya msaafu wowote.

Remember United States is a secular state just like Tanzania therefore the voting pattern is not based on the people's religious inclinations but party's policies.
 
Huko marekani kura haziamuliwi na waislamu hivyo mkuu usitulishe matango pori hapa.

Hizi mada kuna mahali pake huko nadhani kwenye madrasa zinafaa zaidi.
 
Back
Top Bottom