EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Iraq yote Askari wa marekani hawafiki 10,000 Kama hufahamu,
Middle East yote hawafiki 100,000
Hakuna kitu wanadai na wmeshaambiwa waondoke ama wataondelewa,Sasa we Vita subira utakuja niambia Hapa.Trump threatens Iraq with ‘very big sanctions’ unless it pays back BILLIONS for an airbase if US troops are forced to withdraw
Iraq should brace for sanctions that will make the ones placed on Iran look weak in comparison if it kicks out the US troops without first covering the costs for an airbase, US President Donald Trump said.www.rt.com
Check hilo biti halafu unambie wanaondokaje hapo Iraq wanauwezo wa kulipa???
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu wanadai na wmeshaambiwa waondoke ama wataondelewa,Sasa we Vita subira utakuja niambia Hapa.
Soma link ya mwanzo ndo utajua barua aliyoandika mkuu wa kituo cha Iraq ilikataliwa jamaa wakasema wabaki na askari 3,000 wapo njiani kwenda kuongeza nguvu
Hakuna kitu wanadai na wmeshaambiwa waondoke ama wataondelewa,Sasa we Vita subira utakuja niambia Hapa.
We jamaa bana unaongea Kama msemaji wa Iran vituko tupu. Yani US Mwenye vyombo lukuki vya uchunguzi ndo unabishana nao hapa na hayo maoni yako![emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji54]Since Day One IRAN Wanasema Kama Wanamitambo Yanyuklia Kwaajili Yamatumizi Ya Kiraia Kama Umeme Dawa N.k
Lini IRAN Walisema Wana Atomic Bomb Ama Wanataka Kua Nayo Kila Leo IRAN Wanasema Hawana Nia Na Silaha Za Maangamizi Sababu Ni Kinyume Na Matakwa Ya Sera Zataifa Lao
Trump Anakwamia Wapi [emoji1][emoji2][emoji23]
Halaf Hv JCPOA US Alijiunga Yanini Kabla Yakujitoa [emoji4][emoji23]
Kwasasa Donald Awaache Watu Wadili Na Mambo Ya Maana Kumstiri Gen Soleiman Yeye Kaisha Ambiwa Kama Damu Ya Soleiman Haitapita Hv Hv So Chamsingi Anatakiwa Psychological Wakae Sawa Tuuh
Kukesha Twitani Hakutamsaidia
IRAN Walitangaza Wanatangaza Na Wataendelea Kutangaza Hawana Nahawakuwahi Kua na Mipango Ya ATOMIC BOMB Ila Kujibu Kuuwawa Kwa Soleiman Lazma Wajibu Yaani Lazma Kama KUFA
Sent using Jamii Forums mobile app
Damu aliowaua huyu Suleiman ndo ilienda bure eti?Kweli Kabisa Lakini Unahisi IRAN Kuzidiwa Na US Kazidiwa Jana Naleo ?!
IRAN Toka Mwaka 1979 Alizidiwa Na US Tena Kuanzia Miaka Hio Ndio Alizidiwa Mbali Mnoo Ukilinganisha Nasasa
Ngojeeni Kisasi Wakuu Acheni Porojo Damu Ya Soleiman Haitapita BURE...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan kwenye mkataba wao kuna kulipana utajengaje nyumba kwenye kiwanja ambacho sio cha kwako.Trump threatens Iraq with ‘very big sanctions’ unless it pays back BILLIONS for an airbase if US troops are forced to withdraw
Iraq should brace for sanctions that will make the ones placed on Iran look weak in comparison if it kicks out the US troops without first covering the costs for an airbase, US President Donald Trump said.www.rt.com
Check hilo biti halafu unambie wanaondokaje hapo Iraq wanauwezo wa kulipa???
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanamchanganya PM wa Iraq makusudi,hiyo screen short Hapo juu inaeleza wazi waziri kapokea barua mkononi then anashangaa wanaruka kupitia media kuwa hiyo barua imevuja kimakosaSoma link ya mwanzo ndo utajua barua aliyoandika mkuu wa kituo cha Iraq ilikataliwa jamaa wakasema wabaki na askari 3,000 wapo njiani kwenda kuongeza nguvu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan Wakat DRONE Ya US Ikiripuliwa Ikiwa Katika Anga Zakimataifa Na IRAN Ikakiri US Ilichukua Hatua Gani [emoji2][emoji23][emoji12][emoji12][emoji14]Hahahaha unataka Iran apewe sababu gani sasa ya kuingia vitani , watu wamemuua general kabisa mwenye ushawishi mkubwa tena bila sababu ya msingi, wamevunja sheria za kimataifa na kuwagusa pabaya na tena wakajitangaza na kujitapa kuwa wao ndio wamemuua sasa unataka nini tena ili uingie vitani kama anajiweza apige hata us base moja wapo happy middle East tuone mtanange wa mtu anavyochakazwa [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Wangekaa 2 asee ila hata wahamie MBINGUNI Kisasi Lazma Kilipwe Yaani Kisasi Lazma Kama Kufa..Press release ilikuwa halisi,Seema wamarekani wanajaribu kuwaconfuse Iraq,,hata hivyo command centre ya coalition force inayoongozwa na marekani nchini irag imehamishiw Kuwait kwa mda
Mda Haujawahi Kudanganya MkuuSo watalipa kisasi kidiplomasia zaidi, au wataenda Israel [emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
US military has no plans to leave Iraq: US defence chiefUS kuondoa majeshi Iraq
View attachment 1314377
Kale kanjiwa kao kalipo 2nguliwa walipeleka wanajeshi zaidi ya BUKU Mpaka Sasa KimyaaaKama unajisahaulisha hawajahama wapo palepale, mkuu wa brigade alitaka kuhama Order ikatoka hakuna kuhama. So wapo na saivi B52 4 nne zimeenda kuongeza nguvu Mi.east
Sent using Jamii Forums mobile app
US kuondoa majeshi Iraq
View attachment 1314377
Hizo kambi za marekani unazo zionesha vita ikianza zitageuka vifusi ndani ya muda mfupi Sana.