Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Six B-52 Bombers Ordered To Indian Ocean Base To Be "Available" Against Iran
CNN's Starr reports the B-52s will be "available for operations against Iran if ordered"...www.zerohedge.com
[emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312]
Sent using Jamii Forums mobile app
B52 sita zishaamsha kwenda mashariki ya kati
Hao walomuua general wamekufa mpaka watu waombolezeWe jamaa bana unaongea Kama msemaji wa Iran vituko tupu. Yani US Mwenye vyombo lukuki vya uchunguzi ndo unabishana nao hapa na hayo maoni yako!
Huyo Generali watu aliowaua wao ndo hawakuomboleza eti?
Kwanini maombolezo ya kifo chake yawe ishu kuliko maombolezo ya watu aliohusika na vifo vyao mpaka Sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Drone Ilipo Angushwa Walileta Majeshi Ila Wakasepa Bure Bure [emoji2][emoji2][emoji2][emoji12][emoji14][emoji12]
Ndugu yangu bwana utamu nategemea kisasi cha maana kitakachotikisa kama kifo cha jenerali kilivyotikisa sio mnaenda kuwapa Hezbollah viroketi wakarushe israeli mmeseme mmelipa kisasi, au mratibu vimaandamo uchwara huko ubalozi wa US hapo iraq alafu mmeseme eti kisasi kimelipwa, onesheni kisasi cha kweli(kitu ambacho Irani hawezi fanya kamwe) ndio mtaona kilichomtoq kanga manyoya[emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji2]Kwan Wakat DRONE Ya US Ikiripuliwa Ikiwa Katika Anga Zakimataifa Na IRAN Ikakiri US Ilichukua Hatua Gani [emoji2][emoji23][emoji12][emoji12][emoji14]
Nalile Lilikua Tangazo Lawazi Lavita
Huko Kuvamiwa Ubalozi Wa US Pia Likikua Tangazo Lavita DHIDI Ya IRAN
Kisasi Kulipwa Nilazima Tu Mkae Mkijua
US = PAPER TIGER
Sent using Jamii Forums mobile app
Wait and see lini mwarabu alishawahi kushinda vita[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wapigie cm waambie waongeze ziwe kumi
Maana hata baada ya DRONE yao Kugongwa walisogeza majeshi kama Yote Ila wakakimbia Wenyewe [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan kwenye mkataba wao kuna kulipana utajengaje nyumba kwenye kiwanja ambacho sio cha kwako.
Kupokea ni jambo mija kuijibu ni jambo lingine mbona simple rule mkuu? Unajuaje maudhui ya barua nila kuifungua na kuisoma??Wanamchanganya PM wa Iraq makusudi,hiyo screen short Hapo juu inaeleza wazi waziri kapokea barua mkononi then anashangaa wanaruka kupitia media kuwa hiyo barua imevuja kimakosa
Ok mkuu Iran itakua ya kwanza kushinda vita kati ya mataifa ya kiarabu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndugu yangu bwana utamu nategemea kisasi cha maana kitakachotikisa kama kifo cha jenerali kilivyotikisa sio mnaenda kuwapa Hezbollah viroketi wakarushe israeli mmeseme mmelipa kisasi, au mratibu vimaandamo uchwara huko ubalozi wa US hapo iraq alafu mmeseme eti kisasi kimelipwa, onesheni kisasi cha kweli(kitu ambacho Irani hawezi fanya kamwe) ndio mtaona kilichomtoq kanga manyoya
Sasa mwenye nyumba amesha kwambia ondoka kwangu unangangania nn?Yes ipo kwenye makubaliano ndomana miaka nenda rudi wapo na iraq hajawahi kulalama hapo anajifanya kuungana na Iran kwa kuwa soleiman kafia kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofautisha Persian na mwarabu kwanza.Wait and see lini mwarabu alishawahi kushinda vita[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kwan IRAN Kajiapiza Nn Mkuu ?!
Ila Kuhusiana Na Swala Lakisasi Lazma Kilipwe Ila Hakitalipwa Kama Unavyotaka Ama Kukusudia Wewe
Maana najua wewe unataka IRAN Ashambulie Eidha Kambi Yakijeshi Moja Wapo Ya US Hapo Mashariki Yakati Ama Ashambulie Pengine Carrier Yake
Ila Kisasi Kitalipwa Katika Njia Ambayo C Wewe Mimi Wala US Wenye Wametarajia Ila Watalipwaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wao wanashambulia mtu kwa kumtaarifu?labda walikuwa wanajaribu kutikisa kiberiti hili wajue kama njiti bado zipo