Trump na Marekani yake si wanademokrasia wafuate haki za binadamu wasiue Watu kwa kutumia jeshi

Trump na Marekani yake si wanademokrasia wafuate haki za binadamu wasiue Watu kwa kutumia jeshi

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
"Kikosi kazi mahiri (Jeshi) kimeenda Minneapolis kufanya kazi ambayo Meya wa Democrat ameshindwa kuifanya, kama tungetumia mbinu hii siku mbili nyuma kusingekuwa na vurugu na uharibifu kiasi hiki, Makao Makuu ya Polisi yasingeharibiwa, Asante” - Rais wa Marekani, Donald Trump

“Asilimia 80 ya waandamanaji wanatokea nje ya Minneapolis, wanaharibu biashara (hasa za Wamarekani weusi wale Wajasiriamali wadogo), wanavunja nyumba, na kuwasumbua wanaotaka amani, hili halikubaliki na sio tu hasira za George, ipo agenda nyingine”- TRUMP

“Kuvuka mipaka iliyowekwa na Serikali na kuendeleza vurugu hadi viunga vya Ikulu ni uhalifu, tuliwaambia Magavana na Mameya wafanye kazi yao wameshindwa, tunaingilia kati na tutafanya kinachopaswa kufanywa, tutatumia nguvu kubwa ya Jeshi letu na wengi watakamatwa”- TRUMP
 
Ingekuwa China ndio kuna hayo maandamano ... Pro USA tunge wakoma humu ndani
Missile of the Nation

Huyo mwamba hapo angekua kaishaleta nyuzi kama nane hivi ila toka hili litokee anajifanya kama hana simu janja vile kumbe anayo

Ifikie Mahali tuijue sura halisi kabisa ya US nje yamawakala wake wanaojifanya kuwatetea kwakupigania haki zabina adamu kama hayo mashirika yakimataifa namengineyo

Hakiza binaadamu anazozipigania US kikwelikweli niushoga nausagaji
 
Missile of the Nation

Huyo mwamba hapo angekua kaishaleta nyuzi kama nane hivi ila toka hili litokee anajifanya kama hana simu janja vile kumbe anayo

Ifikie Mahali tuijue sura halisi kabisa ya US nje yamawakala wake wanaojifanya kuwatetea kwakupigania haki zabina adamu kama hayo mashirika yakimataifa namengineyo

Hakiza binaadamu anazozipigania US kikwelikweli niushoga nausagaji
😃😃pro America katika huu uzi hautowaona
 
"Kikosi kazi mahiri (Jeshi) kimeenda Minneapolis kufanya kazi ambayo Meya wa Democrat ameshindwa kuifanya, kama tungetumia mbinu hii siku mbili nyuma kusingekuwa na vurugu na uharibifu kiasi hiki, Makao Makuu ya Polisi yasingeharibiwa, Asante” - Rais wa Marekani, Donald Trump

“Asilimia 80 ya waandamanaji wanatokea nje ya Minneapolis, wanaharibu biashara (hasa za Wamarekani weusi wale Wajasiriamali wadogo), wanavunja nyumba, na kuwasumbua wanaotaka amani, hili halikubaliki na sio tu hasira za George, ipo agenda nyingine”- TRUMP

“Kuvuka mipaka iliyowekwa na Serikali na kuendeleza vurugu hadi viunga vya Ikulu ni uhalifu, tuliwaambia Magavana na Mameya wafanye kazi yao wameshindwa, tunaingilia kati na tutafanya kinachopaswa kufanywa, tutatumia nguvu kubwa ya Jeshi letu na wengi watakamatwa”- TRUMP
Hivi huko si ndo chimbuko na mlezi wa demokrasia. Kama ndivyo kwanini nguvu kubwa itumike.
 
Ni maandamano gani yamefanyika Tanzania ambayo waandamanaji wanavunja supermarket na kuiba vitu, uko sio kuandamana hizo ni vurugu.
Tumieni akili mnapotaka kulinganisha vitu
 
Back
Top Bottom