Trump na Marekani yake si wanademokrasia wafuate haki za binadamu wasiue Watu kwa kutumia jeshi

[emoji2][emoji2]pro America katika huu uzi hautowaona
wanachungulia tunakupita mbio[emoji16][emoji16][emoji16]

natamani jamaa wakaze kaze walau miezi misita hivi

najua baada yahapo tutaongea lugha nzuri kabisa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Demokrasia,Democacy,Democratie,Democratia si huwa tunawasikia wanaisema sana China,Libya kipindi kile na nnchi ambazo hazipendi kukaliwa na Usa? na amegundua Watu wanataka kuhalibu nnchi hao waandamanaji sasa kama ana heshimu democray hii nayo vip,

hutumia democracy kuzuia maendeleo ya nnchi tuwe makini na kuna chama fulani cha siasa hapa Tanzania watuambie basi maana huwa wanasema wamarekani wana democracy.waje hao wanachama wa Tanzania waseme kitu

Vip tena imekuwaje

The Most Winner
 
Trump aliwasapoti sana waandsmanaji wa Hong Kong na kuona china ilikuwa inawaonea..sasa yeye kapatwa anapeleka jeshi...dunia ngumu sana
 
Ni maandamano gani yamefanyika Tanzania ambayo waandamanaji wanavunja supermarket na kuiba vitu, uko sio kuandamana hizo ni vurugu.
Tumieni akili mnapotaka kulinganisha vitu
Wewe utakuwa Ni moja ya pro America
 
Trump aliwasapoti sana waandsmanaji wa Hong Kong na kuona china ilikuwa inawaonea..sasa yeye kapatwa anapeleka jeshi...dunia ngumu sana
Natamani nimwambie avumilie. Alifanya Misri, Libya, China, Venezuela nk. Leo zamu yake avumilie.
 
Demokrasia,Democacy,Democratie,Democratia si huwa tunawasikia wanaisema sana China,Libya kipindi kile na nnchi ambazo hazipendi kukaliwa na Usa?

Vip tena imekuwaje

The Most Winner
mambo yamegeuka

Kunamuda hua hata sielewi maana halisi ya demokrasia hasa inayopiganiwa katika mataifa yamagharibi wakiongozwa nababa yao US .....
 
Trump aliwasapoti sana waandsmanaji wa Hong Kong na kuona china ilikuwa inawaonea..sasa yeye kapatwa anapeleka jeshi...dunia ngumu sana
US wanafik wanafik sana usiwaamini hata kidogo nakadri unavyokua naukaribu nao ndio wanazidi kukufanyia uadui wao walejamaa hawafai kabisa niwakuepukwa
Wewe utakuwa Ni moja ya pro America
Hehehe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Natamani nimwambie avumilie. Alifanya Misri, Libya, China, Venezuela nk. Leo zamu yake avumilie.
natamani wapambane pambane kidogo walau miezi sita hv nahao viumbe wanaodai haki zao ili waone majanga wanayokua wanawatwisha wenziwao katika mataifa yao hua yanawaathiri kwakiasi gani.....
 
Watu walikusanyika na wameandamana na hakuna ripoti ya jeshi kuua raia. Ila tu kuna maandamano na pia kuna vurugu, vitu viwili tofauti.

Kama ni uhuru wa kukusanyika na kuandamana ulikuwepo tele maana raia walikusanyika mpaka ikulu. Mpaka sasa ni wangapi wamekwisha uawa na jeshi?

Inapotokea uhalifu kujiingiza ndani ya raia watulivu waliokusanyika na kuandamana kwa amani, vyombo vya ulinzi na usalama havina budi kuwa tayari kukabiliana nao.

Wapo raia wengi kwa hisia zao wanaotamani kukusanyika kwa amani lakini haki yao inazuiwa na wahalifu wanaojiingiza humo na kuhatarisha maisha ya wengine.

Demokrasia ni pamoja na haki za raia kulindwa. Muhalifu yeyote anayeharibu na kuminya haki za watu wengine yapaswa kushughulikiwa kisheria.

Trump yuko sahihi.
 
Ghasia siyo maandamano ya amani.

National Guard wamekuwa activated kwenda kutuliza ghasia na kulinda mali za watu wa rangi zote.

Hawajawa activated kwenda kuua watu!
Acheni uzushi.
wakiacha ubaguzi hata hizo ghasia hazitakaa ziwepo
 
Ni maandamano gani yamefanyika Tanzania ambayo waandamanaji wanavunja supermarket na kuiba vitu, uko sio kuandamana hizo ni vurugu.
Tumieni akili mnapotaka kulinganisha vitu
Nakuona mtoto wa Trump [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakuna Cha kigogo,mange wala mbweha yeyote yule atakae ongea hata wale wa peoples husikii kabisa

Sera ya democracy ilikuja kudhoofisha mataifa mengne yasikuwe kiuchumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…