TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Pole kwa changamoto hiyo,tunaomba utufahamishe unapatikana maeneo gani ili tufuatilie na kutatua.
Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.
Asante.
 
Dah nilijua ni mm peke yangu imenikuta hii juzi tu hapo aseeh nilikasirika mnoo mpaka asubuhi hakuna nilichokamilisha kupakuwa
[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Pole kwa changamoto hiyo,tunaomba utufahamishe unapatikana maeneo gani ili tufuatilie na kutatua.

Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.
Asante.
 
Hovyo kabisa. Namaanisha hovyo. Nashangaa wao ndo wauzaji wa internet kwa makampuni mengine ya simu vipi wenyewe wanashindwa kutoa huduma inayoeleweka ata katikati ya miji ukiachana na vijijini. Ningekuwa nauwezo ningewatumbua wote waliipo maofisini.
Pole kwa changamoto hiyo,tunaomba utufahamishe unapatikana maeneo gani ili tufuatilie na kutatua.
Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.
Asante.
 
Pole kwa changamoto hizo,tumepokea na tunafanyia kazi.
Asante sana kwa kutuandikia.
 
 
TTCL na STAR TIMES kama hujawahi kutumia haya makampuni, usithubutu. Wanahuduma mbovu sana



"Not everything is for everybody"
 
Halafu kama salio limeisha mbona hamtumi sms kutoa taarifa?
Sasa mtu unabaki kujiuliza ni salio limeisha au ni mtandao umekorofisha?


Sent using Jamii Forums mobile app


Kumaliza matatizo ya TTCL inahitaji kufumua from the ground, hebu fikiria kidogo tu mteja/client ambaye ndie mwajiri wako anataka kumwona Boss then anazuiwa mlangoni, hii ina maana hata Boss anataka iwe hivyo na kama angekuwa anaheshimu wateja angetoa utaratibu uliowazi na hata kuweka namba zake za simu kwa matumizi ya dharula, binafsi namie ni mwathirika wao na kitu cha haraka nilizima na kutupa line yao baada ya kushindwa kupata Voucher zao mtaani kote
 
Kweli nyie wezi kabisa..

Mara ya kwanza nilikuwa najua sehemu nilipo maybe ndio inachangia nipate poor connection ya internet.

Maana most of the time mtandao unasoma E tokea asubuhi mpaka jioni siku saba za wiki. Yani hata msg za WhatsApp hazifunguki wala kuingia. Kumbe sivyo. Nilikuwa najidanganya.

Lakini Leo nimeshangaa kuona mtandao una kasi kubwa kupita maelezo.

Maskini , Kumbe nilisahau kujiunga na kifurushi cha data baada ya kuweka vocha ya buku.

Hivyo nimejiridhisha ya kuwa ttcl ni wezi wakubwa. Mnatuibia GBs zetu kwa kutupa internet speed ya konokono. Goddamn it!.


Sasa nahamia SMILE rasmi. Siwezi kuendelea kuwa entertain MAJAMBAZI TTCL.

BYE BYE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiisse
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…