Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,667
- 2,595
Pole kwa changamoto hiyo,tunaomba utufahamishe unapatikana maeneo gani ili tufuatilie na kutatua.Ni kwel nadhani awajawekeza kwenye minara ya kutosha so baadhi ya maeneo inakua shida sana kwenye network sasa inatemea mfano mimi dar sehem nilipokua nakaa line zote zinasoma kwa kasi kubwa sana bila shida leo niko geita sehem niliyopo nikikaa ndani ya nyumba voda aisomi network alafu watu siku izi si wanakimbizana na bando nafuu hapo ndo shida ahahahahahahaha swala la network sio bongo hata ulaya
Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.
Asante.