TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Nashangaa sana na kujiuliza line za TTCL zitapatikana lini? Mpaka maofisin kwenu hakuna. Wako mawakala anakwambia akusajilie kwa 10000 line moja. Jaman Tanzania ni nini hiki #Waziri nape, #Mkurugenzi mkuu Kampuni??
Unahangaika na laini zao zina maajabu gani?natamani ingekua laini anaweza kupewa mtu bure ningekupa bure
 
Unahangaika na laini zao zina maajabu gani?natamani ingekua laini anaweza kupewa mtu bure ningekupa bure
Naomba tu tutabadili usajili nina kitambulisho cha nida. Hata leo hii nimepita pale ofisi yao makumbusho.
 
TTCL lilishakuwa debe tupu, sijui kama kuna mwekezaji anaweza kulinunua.
 
Hivi hii kampuni Ina shida Gani?
Mkoa wa Iringa tangu mwezi wa 9 mwaka Jana (2022),hakuna line za ttcl !
Na wanaoingia ofisini Kila siku na mishahara wanapata!
Wanasema Mpk makao makuu ,dar?
 
Hivi hii kampuni Ina shida Gani?
Mkoa wa Iringa tangu mwezi wa 9 mwaka Jana (2022),hakuna line za ttcl !
Na wanaoingia ofisini Kila siku na mishahara wanapata!
Wanasema Mpk makao makuu ,dar?
Ucjisunbue juz tu hapa nimetka kurudisha lain pale kijitonyama Sayansi HAWANA KITU wakaniandikia rufaa niend makao makuu kule posta mpya yaan kule napo ndo bure kabisa hawana hata lain.
Inackitisha mpak makao mkauu hawana hata lain
 
Nimeomba huduma ya fiber internet nimejaza form kila kitu ila mwezi unakata hamna cha fundi kupiga simu wala nini
 
Nimeomba huduma ya fiber internet nimejaza form kila kitu ila mwezi unakata hamna cha fundi kupiga simu wala nini
Aisee.....kama mimi licha ya kujaza form ya maombi na kufika ofisi zao za Kibo Complex mara kadhaa majibu niliyokutana nayo yanasikitisha na watu kila iitwayo siku wanatoka makwao wanaenda kazini eti naambiwa nisubiri miezi 3 vifaa vichache kweli kama sio uzwazwa ni nini hiki? Kwanza picha linaanza hata hiyo survey hawajanifanyia na mtaani kwangu huduma ya fiber internet ipo Jirani kabsa na marazi yangu hata mita 50 hazifiki . Hili shirika kwa akili za wafanyakazi waliopo haliwezi kenda popote ni wazembe na hawajali kitu customer care mbovu kuliko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…