Unahangaika na laini zao zina maajabu gani?natamani ingekua laini anaweza kupewa mtu bure ningekupa bureNashangaa sana na kujiuliza line za TTCL zitapatikana lini? Mpaka maofisin kwenu hakuna. Wako mawakala anakwambia akusajilie kwa 10000 line moja. Jaman Tanzania ni nini hiki #Waziri nape, #Mkurugenzi mkuu Kampuni??
Naomba tu tutabadili usajili nina kitambulisho cha nida. Hata leo hii nimepita pale ofisi yao makumbusho.Unahangaika na laini zao zina maajabu gani?natamani ingekua laini anaweza kupewa mtu bure ningekupa bure
TTCL lilishakuwa debe tupu, sijui kama kuna mwekezaji anaweza kulinunua.Hivi kwa nini ninyi mmekosa ubunifu kiasi hiki aisee?
Mtategemea hadi lini kwamba huo Mkonga wa mawasiliano ndio 80% ya revenue zenu, Why can't come na other creavity mpige hela mbona mnaweza, whats problem?
Staring with...
1. Facilitate internet kwenye mashule yote nchini kwa kuanza muanze na Tech. Sec school, baadae shule nyingine na kuhakikisha kila mwezi wanalipia hiyo huduma kwa shule zilivyo nyingi Bongo mbona kuna hela ya nje nje?
2. Hakikisheni walimu wamegaiwa vishkwambi, good, why cant u come up na bando lao hata la 500 wapate GB hata 1 mbona mtapiga hela sana hadi hvy vishkwambi vipitwe na wakati.
Mna fursa nyingi ila hamzitumii....... shirikianeni na eGA na CoStech mnaweza toboa..
By the way hivi mnajipangaje na Ujio wa Starlink, jitahidi hata muwe agency wa ku supply device zake or else mtakosa kbs kitu cha kfanya na shirika kwa mara nyingine inaenda kufa kwa uzembe wenu!!
Nimetupa line yaoTTCL lilishakuwa debe tupu, sijui kama kuna mwekezaji anaweza kulinunua.
Kudadek[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nimetupa line yao
Ucjisunbue juz tu hapa nimetka kurudisha lain pale kijitonyama Sayansi HAWANA KITU wakaniandikia rufaa niend makao makuu kule posta mpya yaan kule napo ndo bure kabisa hawana hata lain.Hivi hii kampuni Ina shida Gani?
Mkoa wa Iringa tangu mwezi wa 9 mwaka Jana (2022),hakuna line za ttcl !
Na wanaoingia ofisini Kila siku na mishahara wanapata!
Wanasema Mpk makao makuu ,dar?
Naskia kuna bando la unlimited inteenet ukweli upoje?Laini zimeshafika, wale wa kwenda kurejesha laini na wanaotaka kusajili upya karibuni.
#RudiNyumbaniKumenoga
Yeah lipoNaskia kuna bando la unlimited inteenet ukweli upoje?
Location?Nimeomba huduma ya fiber internet nimejaza form kila kitu ila mwezi unakata hamna cha fundi kupiga simu wala nini
Hili ni tatizo kubwa sanaNimeomba huduma ya fiber internet nimejaza form kila kitu ila mwezi unakata hamna cha fundi kupiga simu wala nini
Nimeomba huduma ya fiber internet nimejaza form kila kitu ila mwezi unakata hamna cha fundi kupiga simu wala nini