TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL sihitaji hata kuwasikia Mana walinikata hela yangu T pesa bila ridhaa yangu..nikawapigia huduma kwa wateja wanaongea shit..waendelee tu kutumia wao wenyewe...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TPESA
Huduma ya TPESA changamoto ziko ila zinashughulikiwa, changamoto za kimtandao zipo kwa operators wote ila la kupata tatizo Ijumaa kushughulikiwa ndani ya siku za kazi ni kweli, TPESA wanahitaji kubadilika

Vifurushi
TTCL wanahuduma nzuri sana kulinganisha na other operators, linganisheni vizuri and fairly

Vocha
Kunachangamoto ya upatikanaji wa vocha za kukwangua lakini unaweza pata vocha kupitia selcom, tingApp, tigo, voda airtel, CRDB, NMB etc, sometime unajiongeza

Kilichokupata jana
sometime Lugha za matusi sio heshima, Mungu kila mtu kampa sura yake kutukana mama zetu sio jambo zuri. je baharia wa buza nikikuambia mama yako anasura NGUMU utajisikiaje????

Kumbuka udada zako, unashangazi zako, una mama wadogo.
 
Hawa majamaa ni wahuni sana hawa yaani nimejiunga GB 10 ili nipakue vitu vangu chaajabu network ipo slow kama kinyonga.

Kesho asubuhi alfajiri na mapema naivunjavunja laini yao kwa meno yangu.
Uzi tayari.
TTCL
KWELI MABORESHO TUMEYAONA KUTOKA KIFURUSHI CHA MB600 KWA 500 HADI KWENDA BUKU.
MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA

#NyumbaniNASEPA
#NyumbaniKUMEROGWA
#NyumbaniKUMEINGIAVICHAA
haaaaaaa babuuuu unapenda kulalamika sana, wamekuongezea dk za kupiga mitandao yote, wamekuongezea SMS bado unalalamika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…