Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Litafanyiwa kazi tu.Asante ila ni generally ni shida
mkuu ili shirika limejaa wazee hawataki kujiongeza ndio mana wako dormant watu tuliwaamini sana ila wameamua kutuangusha wanafanya mambo kiserikali hawako aggressive kabisanina tatizo la kutopokea simu za kutoka vodacom, nimekwenda ofisi zenu kadhaa lakini hakuna majibu hata hapa jamvini nililalamika kwenye kitengo chenu hata sikujibiwa ,
kwan mnalazimishwa kaanzisha nyuzi humu? ni kama hampo radhi hata kujibu tu baadhi ya comments, lkn mnakuja na mada mpya kila leo
Upo Ruaha?Ruaha - Stand ya mbuzi hapa mtandao wenu unazingua, ukiingia ndani unazima ukitoka nje unakubali.. Unanifanya nikose kuangalia muvi kali na demu wangu online
Yaaap, nipo Raha mkuu karibu sana tutafune miwa ya IllovoUpo Ruaha?
Hawajambo huko?
Tena ikitumika kwa torrent ipo slow kupita maelezoKifurushi cha 10GB nikijiunga labda itayotumika no 1.5GB zingine zote ni mtandao unakua slow hadi muda unakwisha
Kwani Makonda anasemaje kuhusu hili?Nilishawahi kuleta uzi humu nikilalamikia huduma mbovu za TTCL....hata sijui nianzie wapi...lakini mifano michache niliweka laini ya TTCL kwenye WiFI Access link yenye 25GB nikiwa town kabisa DSM- maeneo ya Victoria...
Kiongozi, ni kazi sana... hawa TTCL down time kwao siyo ishu kubwa yenye uziro wanaoupa makampuni binafsi. HIVI UNAJUWA KWANINI MAKAMPUNI BINAFSI YAMEHAMAMKUTULIA BACKBORNE SITES (MINARA) ZA TTCL..!?? Downtime... ukiritimba...Litafanyiwa kazi tu.
Seriously?Mbona app yenu haieleweki. Haina interface pia Kila nikiifungua inaniambia kuna tatizo.
Mwambieni It wenu airekebishe mnaliiua shirika le2 pendwa.
Mimi nipo Buza huku mbona naipata vizuri tu TTCL.Hyo slogan ya rudini nyumbani kumenoga inakera vibaya mno.
Kumenoga kwa kipi hasa....
Matusi tena!Mlitumwa kuleta post au mlijituma? Bosi wenu anatalifa kama mmeleta post hapa jukwaani?
Mbona wapo vizuri tu.TTCL nilikiwa nawatetea sana wako vzr kumbe utopolo mtupu kuna siku niko nabet live inplay kila nikiplace bet mtandao unalet useng.e na hapo miGB kibao ninayo hafu nilikuwa nakula kabisa tokea hapo line yake nimeifungia kwnye droo wajinga sana nyie.
[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]mkuu ili shirika limejaa wazee hawataki kujiongeza ndio mana wako dormant watu tuliwaamini sana ila wameamua kutuangusha wanafanya mambo kiserikali hawako aggressive kabisa