Mkuu labda wanajua leo ni ijumaa au jumamosi🤣🤣😅Tatizo TTCL sijui mnafeli wapi yani
Mnaanzisha Threads halafu tukichangia mnakula kona hamjui sisi ndo wateja wenyewe au tunataka kuwa wateja. Makampuni mengine vifurushi vya internet ni gharama nyie mnaonekana nafuu ila internet yenu inasumbua watu wanalalamika badala ya kutoa maelezo na ufafanuzi mnakimbia.
Halafu weekend ndo imeisha ndo mnaleta tangazo la kifurushi cha weekend😁😁. Sijui hizo Marketing zenu mlisomea Burundi au Korea ya Kaskazini??
Mbezi KimaraUpo pande za wapi?
Mkuu labda wanajua leo ni ijumaa au jumamosi🤣🤣😅
Yaani hata vitu vidogo hivyo vya kufanya marketing bidhaa hawawezi ndo utegemee wakupe GB10 kweli kwa 2500
Tuna safari ndefu sana wacha Makaburu wa Vodacom na wavietnam waendelee kutunyoosha tu
Napenda sana kuhamia TTCL ila wanakatisha tamaa kwakweli
Kwakweli aisee yani wanakuwa kama hawako serious vileYaani hata vitu vidogo hivyo vya kufanya marketing bidhaa hawawezi ndo utegemee wakupe GB10 kweli kwa 2500
Tuna safari ndefu sana wacha Makaburu wa Vodacom na wavietnam waendelee kutunyoosha tu
Napenda sana kuhamia TTCL ila wanakatisha tamaa kwakweli
toa maoni yako
Hii imekaa poa sana ngoja nikanunue line ya TTCL
Huyo hana majibu ya maswali yenu ndio maanaTatizo huwa hajibu queries zetu akiweka tu watu wakianza kufunguka anapotea
Je, kuna tatizo lolote unapata pindi unapotumia huduma ya intaneti kutoka TTCL?
Hebu weka bundle la kukutosha ili ukirudi hewani tukikuuliza baadhi ya mambo usikimbie tena.
Nenda ofsn KWAO TOA hela kidogo wanakuunganishiaHata mi naona