TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Tatizo TTCL sijui mnafeli wapi yani

Mnaanzisha Threads halafu tukichangia mnakula kona hamjui sisi ndo wateja wenyewe au tunataka kuwa wateja. Makampuni mengine vifurushi vya internet ni gharama nyie mnaonekana nafuu ila internet yenu inasumbua watu wanalalamika badala ya kutoa maelezo na ufafanuzi mnakimbia.

Halafu weekend ndo imeisha ndo mnaleta tangazo la kifurushi cha weekend😁😁. Sijui hizo Marketing zenu mlisomea Burundi au Korea ya Kaskazini??
Mkuu labda wanajua leo ni ijumaa au jumamosi🤣🤣😅
 
Mkuu labda wanajua leo ni ijumaa au jumamosi🤣🤣😅

Yaani hata vitu vidogo hivyo vya kufanya marketing bidhaa hawawezi ndo utegemee wakupe GB10 kweli kwa 2500

Tuna safari ndefu sana wacha Makaburu wa Vodacom na wavietnam waendelee kutunyoosha tu

Napenda sana kuhamia TTCL ila wanakatisha tamaa kwakweli
 
Yaani hata vitu vidogo hivyo vya kufanya marketing bidhaa hawawezi ndo utegemee wakupe GB10 kweli kwa 2500

Tuna safari ndefu sana wacha Makaburu wa Vodacom na wavietnam waendelee kutunyoosha tu

Napenda sana kuhamia TTCL ila wanakatisha tamaa kwakweli

toa maoni yako
 
Yaani hata vitu vidogo hivyo vya kufanya marketing bidhaa hawawezi ndo utegemee wakupe GB10 kweli kwa 2500

Tuna safari ndefu sana wacha Makaburu wa Vodacom na wavietnam waendelee kutunyoosha tu

Napenda sana kuhamia TTCL ila wanakatisha tamaa kwakweli
Kwakweli aisee yani wanakuwa kama hawako serious vile
 
Hebu weka bundle la kukutosha ili ukirudi hewani tukikuuliza baadhi ya mambo usikimbie tena.
 
katika mtandao unaochekesha ni huu mteja ndo anafuata huduma badala ya huduma kumfuata mteja. wengine hatujui hata line zao zinafananaje.mitandao mingine wapo mpaka vichochoroni kutangaza na kuuza line zao wao wako ofisini wanazunguka kwenye viti wanang'atang'ata tu kalamu. na afisa masoko alisomea biashara kuajiriwa anakula mshahara kila mwezi.dah izi elimu bana basi tu maana hata kuiga tu hazijui
 
Back
Top Bottom