TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Naelewa ni unlimited in the sense of expiry. Nachosema mteja aweze kutengeneza kiwe unlimited usiku tu au mchana tu. Kwa uelewa wangu price usiku inakuwa ndogo, so more GB kuliko kuwa ni 24 hrs unlimited.

bnhai
Hiyo ni 24hrs tu hakuna cha usiku ndugu.

#RudiNyumbaniKumenoga
 
Mimi nisiye na line ya TTCL hapo bado hujanishawishi kabisaaaaaaaaaa!!!!!!

You can do better!!!!

BONNIE GOLD

Hiki kifurushi ni UNLIMITED, yaani unaweza kujiunga leo utakitumia hata mwakani.
Ushawahi kupata GB 5 kwa Tsh 6,000?
Je, wajua mtu akiwa na salio la Tsh 413 anapata Dakika 100 mitandao yote, SMS 50 na MB 100 bila kikomo?[emoji16]

Rudi Nyumbani hujachelewa.
 
Novemba 26,2021 Mkurugenzi wa Biashara Vedastus Mwita na Meneja Masoko Janeth Maeda wa TTCL Corporation wakizindua kifurushi kipya BUFEE PACK ambacho kinampa fursa Mteja kujitengenezea bando kwa gharama nafuu bila kikomo.
Piga *148*30# kisha chagua namba 6.
#RudiNyumbaniKumenoga

Image


Image
Mtandao wenyu ni sehemu ya serikali.. Vema kuwa wazalendo na kuipa hadhi lugha yetu adhimu ya Kiswahili kwa kuvipa majina ya Kiswahili vifurushi vyenu
 
Novemba 26,2021 Mkurugenzi wa Biashara Vedastus Mwita na Meneja Masoko Janeth Maeda wa TTCL Corporation wakizindua kifurushi kipya BUFEE PACK ambacho kinampa fursa Mteja kujitengenezea bando kwa gharama nafuu bila kikomo.
Piga *148*30# kisha chagua namba 6.
#RudiNyumbaniKumenoga

Image


Image
Huu mtandao wa nchi mbona unakuwa na bundle za kutisha sana kwa gharama,Nyie si ndo mngetakiwa muwe na gharama nafuu ili kusaidia makundi tofauti tofauti katika jamii,mfano wajasiriamali na wanachuo
 
Ttcl nlijiunga na kifurushi cha fiber pack laki2kwa mwezi unlimited 100mbps mmenikatia bila taatifa nashangaa napata 4mbps kwa bei ileile
 
Habari naitaji kufaham kuhusu ma dealer wa vocha kuna commission kama kampuni zingine wanatoa commision kila mwezi kutokana na mauzo yako ya mwezi na kama hiyo commision mnatoa ni kwakiwango gani mtu afikie ndo muanze kutoa
 
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (T-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)

- Maeneo gani? (Tukifahamu maana ulipo, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate msaada toka kwa wakala wetu aliye karibu nawe)

- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?

- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza.

- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.


Zifuatazo ni ofisi zetu za huduma kwa wateja ndani ya jiji la Dar es Salaam.


1. POSTA
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Samora, jengo la Extelecom ghorofa la Chini.


2. KARIAKOO
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Makamba/Msimbazi, jengo la Akamba Bus Service.

3. UPANGA
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Magole/Maliki, karibu na Diamond Jubilee.


4. MAGOMENI
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Minaki/Fundiki, karibu na Manispaa ya Kinondoni.


5. KIJITONYAMA
[emoji654][emoji654][emoji654]Kijitonyama Sayansi, barabara ya Ali Hassan Mwinyi/ Rose Garden.


6. OYSTERBAY
[emoji654][emoji654][emoji654]Barabara ya Haile Selassie.


7. UBUNGO
[emoji654][emoji654][emoji654]Jengo la Ubungo Plaza/ Ghorofa la chini.


8. MBEZI BEACH
[emoji654][emoji654][emoji654]Mbezi Makonde/ Jengo la Shamo Tower.


9. TABATA
[emoji654][emoji654][emoji654]Tabata Bima, barabara ya Segerea karibu na kanisa la Romani Katoliki.


10. CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM.
[emoji654][emoji654][emoji654]Jirani na tawi la benki ya NBC, jirani na kilipo kituo cha polisi cha UDSM.


11. BARABARA YA PUGU
[emoji654][emoji654][emoji654]Barabara ya Mwalimu Nyerere, karibu na Sigara.


12. WAGENI
[emoji654][emoji654][emoji654]Uwanja wa ndege.


13. PUGU
[emoji654][emoji654][emoji654]Jengo la Quality Centre, ghorofa la chini.


14. KISUTU
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Mchafukoge/Libya jengo la Haad Plaza.


15. TEGETA SHOP
[emoji654][emoji654][emoji654]Jengo la Kibo Complex, ghorofa la chini.


16. MWANANYAMALA SHOP
[emoji654][emoji654][emoji654]Mwananyamala A, barabara ya Mwinjuma yalipo makutano ya Mwananyamala A.


17. KURASINI
[emoji654][emoji654][emoji654]Kurasini Exchange Area, jirani na Chuo cha Diplomasia.


Wasiliana nasi:
[emoji337]022 210 0100
[emoji390] 0738 151 511
[emoji273]www.ttcl.co.tz


#RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1529645


Karibu.

Rudi Nyumbani Kumenoga
Vocha bado n changamotoo yaan madukani hamna
 
Habari naitaji kufaham kuhusu ma dealer wa vocha kuna commission kama kampuni zingine wanatoa commision kila mwezi kutokana na mauzo yako ya mwezi na kama hiyo commision mnatoa ni kwakiwango gani mtu afikie ndo muanze kutoa

Mbona sijapata jibu[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Oya TTCL kuna tatizo gani? Mmebadili Menu au? GENTAMYCINE napiga *150*71# na ile ya *148*30# naambiwa ni Invalid wakati nina mwaka sasa natumia TTCL yenu na sijapatwa na Kero hii.

Tafadhali nijibuni upesi kabla sijachukia.

Cc: TTCL Customer Care
 
Oya TTCL kuna tatizo gani? Mmebadili Menu au? GENTAMYCINE napiga *150*71# na ile ya *148*30# naambiwa ni Invalid wakati nina mwaka sasa natumia TTCL yenu na sijapatwa na Kero hii.

Tafadhali nijibuni upesi kabla sijachukia.

Cc: TTCL Customer Care
Mkuu vipi kwa upande wa Internet speed wakoje
 
Back
Top Bottom