Wako Sana mbezi beach na sinza and tabata saiz route ya uko Bado Bado kdg ila soon watfkafiber ya ttcl na zuku zimefika kimara kwa anayejua kama vipi niunganishe haya masuala ya bundle za vipimio kama mafuta ya kidebe nimechoka hamna raha kwa bundle la kupima
Wako Sana mbezi beach na sinza and tabata saiz route ya uko Bado Bado kdg ila soon watfka
hao zuku nimewapigia wamesema wao wako mjini posta, magomeni,kinondoni na k/koo pia wapo mikocheni, mwenge na mbezi beachWako Sana mbezi beach na sinza and tabata saiz route ya uko Bado Bado kdg ila soon watfka
Ttcl unyama sana saizi hope utapatiwa huduma nzuriii mkuunimewacheki hapa ttcl kwa namba yao wakanipa namba nikapiga wamesema kimara wapo hadi mlandizi wamefika mana pia wamechukua detail zangu wamesema watanipigia ili surveyor aje
namba yao ni hii kwa ttcl fiber 0733000060 ukipiga hii watakueleza kila kitu
Yaaani kama shm uliopo akuna nguzo za umeme straight utatakiwa kulipia fibre cable nahcnimewacheki hapa ttcl kwa namba yao wakanipa namba nikapiga wamesema kimara wapo hadi mlandizi wamefika mana pia wamechukua detail zangu wamesema watanipigia ili surveyor aje
namba yao ni hii kwa ttcl fiber 0733000060 ukipiga hii watakueleza kila kitu
mkuu hii ni unlimited au ndo zile unlimited za kupima unapewa 60gb au 200gb nieleweshe bossYaaani kama shm uliopo akuna nguzo za umeme straight utatakiwa kulipia fibre cable nahc
So option kubwa skuhz ni
Ttcl fibre
Vodacom supakasi
Awa wa supakasi wamenifungia apa kwanza karbu na st clarec school speed unyama sana sema Bei ndo hvo
Kama utakua interested nayo waeza mchek uyu dgo 0744355811 anauza Io huduma ya supakasi internet toka Vodacom
hapa kwangu nguzo zimepita karibu so fibre cable ndo sijui ila wao wamesema bureYaaani kama shm uliopo akuna nguzo za umeme straight utatakiwa kulipia fibre cable nahc
So option kubwa skuhz ni
Ttcl fibre
Vodacom supakasi
Awa wa supakasi wamenifungia apa kwanza karbu na st clarec school speed unyama sana sema Bei ndo hvo
Kama utakua interested nayo waeza mchek uyu dgo 0744355811 anauza Io huduma ya supakasi internet toka Vodacom
mkuu nikipata hii ya ttcl hawa mitndao ya simu watanisikia kwenye bomba aiseeee then mie naona mitandao ya simu nao hawajiongezi kuhusu hili suala la fiber watu tunataka big dataYaaani kama shm uliopo akuna nguzo za umeme straight utatakiwa kulipia fibre cable nahc
So option kubwa skuhz ni
Ttcl fibre
Vodacom supakasi
Awa wa supakasi wamenifungia apa kwanza karbu na st clarec school speed unyama sana sema Bei ndo hvo
Kama utakua interested nayo waeza mchek uyu dgo 0744355811 anauza Io huduma ya supakasi internet toka Vodacom
Hii nlfunga supakasi ya speed up to 20mbps nainjoy knomamkuu hii ni unlimited au ndo zile unlimited za kupima unapewa 60gb au 200gb nieleweshe boss
Voda ana fiber ila Iko limited to buildings koz ye anapita chini ya ardhi yupo mliman,sky city mall, tanzanite tower,derm plaza,clock tower ayo ni kdg nayokumbuka kua ana fiber home ila ttcl fibre zake anapita chn then anatoa anapitisha fiber cable wire juu ya nguzo za umeme ndo utofauti waomkuu nikipata hii ya ttcl hawa mitndao ya simu watanisikia kwenye bomba aiseeee then mie naona mitandao ya simu nao hawajiongezi kuhusu hili suala la fiber watu tunataka big data
Apo cool mkuuhapa kwangu nguzo zimepita karibu so fibre cable ndo sijui ila wao wamesema bure
Ttcl kunbe wanatumia advantage ya nguzo za umemeVoda ana fiber ila Iko limited to buildings koz ye anapita chini ya ardhi yupo mliman,sky city mall, tanzanite tower,derm plaza,clock tower ayo ni kdg nayokumbuka kua ana fiber home ila ttcl fibre zake anapita chn then anatoa anapitisha fiber cable wire juu ya nguzo za umeme ndo utofauti wao
Ya mkuu ye s serikali kabsa Sasa Voda au Airtel akitaka inabd alipie ghalama ila ttcl na tanesco ni kupunguziana koz wote ni native companiesTtcl kunbe wanatumia advantage ya nguzo za umeme
Basi TTCL wakishindwa kuitumia hiyo fursa ku supply internet kote na kuteka soko la internet nitawaona wajingaYa mkuu ye s serikali kabsa Sasa Voda au Airtel akitaka inabd alipie ghalama ila ttcl na tanesco ni kupunguziana koz wote ni native companies
Ndo apo ss Kwa wenzetu internet,maji,umeme,gas all unalipia Kwa bill direct Kwa system washasahau kununua bundles aiseeeBasi TTCL wakishindwa kuitumia hiyo fursa ku supply internet kote na kuteka soko la internet nitawaona wajinga
yaani unataka uangalie documentary ya maana hapo unawaza data doooh ndo mana netflix watumiaji ni wachache labda sasa hapo netflix itapata soko sana huku tanzania kupitia hizi fiberNdo apo ss Kwa wenzetu internet,maji,umeme,gas all unalipia Kwa bill direct Kwa system washasahau kununua bundles aiseee
Watakuwa wapuuzi wa karne maana biashara sikuhizi iko kwenye internet wala sio Voice ama Sms. Sahizi almost kila mtu wa mjini ana uFahamu juu ya mtandao na matumizi yake hali iliopelekea demand curve ya internet kupaa sana against calls na sms.Basi TTCL wakishindwa kuitumia hiyo fursa ku supply internet kote na kuteka soko la internet nitawaona wajinga
mkuu nikipata hii ya ttcl hawa mitndao ya simu watanisikia kwenye bomba aiseeee then mie naona mitandao ya simu nao hawajiongezi kuhusu hili suala la fiber watu tunataka big data