factSpeed ina panda na kushuka package yangu ni ya 10Mbps ila kuna wakati niunga mashine nyingi,wireless nikatoa password kwa watu wengi inashuka kiasi ila bado sina haraka hamna ninachokosa mtandaoni.
Mwisho ni kwamba Torrent zina speed tofaut kutegemea na movie umeitoa site gani seeders,nk kuna mambo mengi yanayofanya speed kupanda au kushuka kutegemea na file unaloshusha.
Ulinunua Bei gani boss?Mkuu natumia Laser Tv kutoka hisence
$6,000Ulinunua Bei gani boss?
Hii ndo Ile ya inch 100?!$6,000
Laser tv si projector?$6,000
Ni laser Mkuu ipo Kama hii,niliiona Mcity ilikua na offer lkn naona ss offer imeisha imerudi Bei yake ya awali 16mLaser tv si projector?
-Konnect 20 - unlimited with 20/3 Mbps = 60,000 Tsh
(First step => beyond 10Gb data used, the speed will be 3Mbps
Second step =>beyond 15Gb data used, the speed will be 1Mbps)
-Konnect 30 - unlimited with 30/3 Mbps = 110,000 Tsh
(First step => beyond 30Gb data used, the speed will be 5Mbps
Second step =>beyond 45Gb data used, the speed will be 1Mbps)
-Konnect 50 - unlimited with 50/3 Mbps = 175,000 Tsh
(First step => beyond 60Gb data used, the speed will be 10Mbps
Second step =>beyond 90Gb data used, the speed will be 2Mbps)
-Konnect 75 - unlimited with 75/3 Mbps = 225,000 Tsh
(First step => beyond 100Gb data used, the speed will be 15Mbps
Second step =>beyond 150Gb data used, the speed will be 3Mbps)
-Konnect 100 - unlimited with 100/3 Mbps = 395,000 Tsh
(First step => beyond 200Gb data used, the speed will be 20Mbps
Second step =>beyond 300Gb data used, the speed will be 3Mbps)
[emoji732][emoji732][emoji732][emoji732][emoji732][emoji56]the kit cost $699 at dar es salaam[emoji732][emoji732][emoji732][emoji732]
Hii mbps ngapi unapata mkuu ??
Au achukue fiber ya 55,000 bila kikomo mpaka majogoo unaangalia na kudownload movies speed kali.TTCL adsl ni 4mbps mkuu, ila pia wana 8 na 12mbps.
Hicho kibox hapo mbele ni nini? Bila hicho kibox inafanya kazi?Ni laser Mkuu ipo Kama hii,niliiona Mcity ilikua na offer lkn naona ss offer imeisha imerudi Bei yake ya awali 16mView attachment 2309506
daaaah mzee alphard kabisa hyo.Ni laser Mkuu ipo Kama hii,niliiona Mcity ilikua na offer lkn naona ss offer imeisha imerudi Bei yake ya awali 16mView attachment 2309506
Ni km projector lakini inakua na screen yake. Me sio mtaalam Sana wa haya mambo Ila jaribu kucheki review yake hapa chini.Hicho kibox hapo mbele ni nini? Bila hicho kibox inafanya kazi?
Hahahaha....Ila km mpunga upo unanunua tu Mzee unaipa nafsi kitu inapenda,unaexperience cinema ukiwa home.daaaah mzee alphard kabisa hyo.
Ni Projector Mkuu,ila namna inavyotoa picha huwezi hisi kama ni Projector ni Clean and ClearLaser tv si projector?
Hiyo ndio Laser TV chief, hiyo picha hapo mbele inatoka kwenye hicho kiboxHicho kibox hapo mbele ni nini? Bila hicho kibox inafanya kazi?
Kufika Kimara usimdanganye, Zuku hatapeleka kule maana watu bado muamko mdogoWako Sana mbezi beach na sinza and tabata saiz route ya uko Bado Bado kdg ila soon watfka
Voda hasambazi FiberVoda ana fiber ila Iko limited to buildings koz ye anapita chini ya ardhi yupo mliman,sky city mall, tanzanite tower,derm plaza,clock tower ayo ni kdg nayokumbuka kua ana fiber home ila ttcl fibre zake anapita chn then anatoa anapitisha fiber cable wire juu ya nguzo za umeme ndo utofauti wao
Hawatumii advantage, TTCL waliingia mkataba na TANESCO,Ttcl kunbe wanatumia advantage ya nguzo za umeme
Hizo kampuni zingine haziwezi sambaza Fiber to Home, wao sana sana watasambaza Antena za mawasilianoYa mkuu ye s serikali kabsa Sasa Voda au Airtel akitaka inabd alipie ghalama ila ttcl na tanesco ni kupunguziana koz wote ni native companies
Hata haya makampuni yangeendelea weka data prices chini, wangepata watu wengi zaidi. Tatizo sijajua nini kimetokea, bei inapandishwa kila mweziWatakuwa wapuuzi wa karne maana biashara sikuhizi iko kwenye internet wala sio Voice ama Sms. Sahizi almost kila mtu wa mjini ana uFahamu juu ya mtandao na matumizi yake hali iliopelekea demand curve ya internet kupaa sana against calls na sms.
Voip iko kwenye application zaidi.