moft
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 271
- 227
Min ni mwaka boss wangNaelewa kaka mambo ya Voda. Ila price ndio changamoto. Hapa naitaka lakini kwa muda mfupi niko nawaza nisije nikavuta halafu nikakaa nayo miezi minne nikasitisha huduma nikaambia security fee yangu hairudi haidi nimalizie muda wa mkataba.