TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

Sehem zfuatazo utapata Vodacom 5G
Tabata(segelea, Kinyerezi, chang'ombe,kimanga)
Mbezi mwsho
Makongo
Goba
Kunduchi
Mbezi beach
Sinza
Kijitonyama
Kimara(suka,temboni,mwisho,korogwe,baruti,bucha,

If interested with 5G internet service ya Vodacom check me
 
Mkuu, bora ujiongeze ujinunulie vifaa kisha fundi anakuja kukufanyia survey na ufundi BURE kuliko kukaa na kusubiri vifaa toka shirikani
Mkuu, maeneo hayo hamna adsl, na fiber bado hawajaanza kuweka.... Kama huko manzese,Magomeni haipo sembuse huku Kibamba?
 
Back
Top Bottom