Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Nguzo za simu mkuu zimechoka choka, waya zake ni zile za njia mbili, unapita waya mmoja tu, tofauti za za Tanesco ambazo zinakuwa na waya 2 ama 3.Kujua nguzo ya internet ndo kipengele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nguzo za simu mkuu zimechoka choka, waya zake ni zile za njia mbili, unapita waya mmoja tu, tofauti za za Tanesco ambazo zinakuwa na waya 2 ama 3.Kujua nguzo ya internet ndo kipengele
Check me via 0744355811 ufanyiwe survey unaeza pata koz Kuna mnara mitaa Io una 5G5G kinyerezi inapatikana!?
Kimanga, segelea,bima na shm zngne ila nichek ufanyiwe survey Kwa uhakika kabsa waeza kua eneo ilo ila Kuna blockageKwa Tabata 4g na, 5g zinapatikana maeneo yapi kaka, kabla hatujawasiliana
Kimanga, segelea,bima na shm zngne ila nichek ufanyiwe survey Kwa uhakika kabsa waeza kua eneo ilo ila Kuna blockage
Kinyerezi,kisukuru na chang'ombe kote Kuna 5G Ipo mkuu leta details zako wachek coverage bossKinyerezi hakuna 5G
Finally nimeungwa na Unlimited ya 4G
Siku 2 baada ya survey kufanyikaMkuu imechukua Muda gan hadi kuungwa!?
Karibu sana mkuu, TTCL tunakujali. Mteja kwetu ni mfalme.Finally nimeungwa na Unlimited ya 4G
Kuna nguzo mpya siku hizi.Nguzo za simu mkuu zimechoka choka, waya zake ni zile za njia mbili, unapita waya mmoja tu, tofauti za za Tanesco ambazo zinakuwa na waya 2 ama 3.
Pengine maeneo machache, ila maeneo mengi nguzo ni zile zile za zamani, unaweza weka picha ya nguzo mpya?Kuna nguzo mpya siku hizi.
#RudiNyumbaniKumenoga
Mbona nimeshakupa majibu PM ndugu.Kaka mbona unaniruka, hauji kufanya survey, nipo tayari kununua vifaa
☺️ sasa nimepata jibuMteja kwetu ni mfalme
Karibu sana ndugu, sasa nyumbani mambo ni shwari kabisa.☺️ sasa nimepata jibu
Mkuu, maeneo hayo hamna adsl, na fiber bado hawajaanza kuweka.... Kama huko manzese,Magomeni haipo sembuse huku Kibamba?Mkuu, bora ujiongeze ujinunulie vifaa kisha fundi anakuja kukufanyia survey na ufundi BURE kuliko kukaa na kusubiri vifaa toka shirikani
Thanks, nipo Mvuti mkuu, kunafikika ?Karibu sana ndugu