Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh. Mnacho Ongea naona kama miujiza!! MI nipo arusha nipo gizani hata sielewi kitu mpaka nakata tamaa nimeomba Kuanzia mwezi wa kwanza mpaka Sasa kimyaHii ping ni hapa hapa Tanzania? Imetumia server gani? Jaribu labda kucheki detailed result kuona zaidi
Mcheki agent aliyekuunga au wasiliana na watu wa customer serviceNipo Dar es Salaam Mbagala nani mwenye changamoto kama yangu jaman ni wiki ya 3 sasa Superkasi hawajaniletea huduma nishalipia na 240,00/=0 yao.
Go with voda super KasiNilitaka kupeleka maombi ya kufungiwa fiber ya ttcl nikakata tamaa kwa jinsi wanavyochelewa.
Nataka kurudisha maombi tena.
Uliipata baada ya muda gani baada ya kulipia?View attachment 2605045
Voda Superkasi iko vizuri ninachopenda zaidi router yao unaweza kwenda nayo popote na inakaaa na charge more than 2 days
Internet ni unlimited Kila mwezi unalipia bill 115,000
Mrejesho kwa changamoto yangu... Leo imeishia wiki ya 3 sasa Vodacom Supakasi ndo wameniletea Router yao.Nipo Dar es Salaam Mbagala nani mwenye changamoto kama yangu jaman ni wiki ya 3 sasa Superkasi hawajaniletea huduma nishalipia na 240,00/=0 yao.
Uliipata baada ya muda gani baada ya kulipia?
Ila jamani 5g ni moto huwezi kutumia 5g kwa bado za 2000 kelele zitazidi kwa mtandao ya simu. imagine kufanya iyo test tu mb300 zishaenda ..sipati picha
View attachment 2608821
Jumla ya Gharama zote mpaka niipate huduma yao ni shilingi ngapi na ninaanzia kwa ofisi zao au maajenti wao?View attachment 2605045
Voda Superkasi iko vizuri ninachopenda zaidi router yao unaweza kwenda nayo popote na inakaaa na charge more than 2 days
Internet ni unlimited Kila mwezi unalipia bill 115,000
Jumla ya Gharama zote mpaka niipate huduma yao ni shilingi ngapi na ninaanzia kwa ofisi zao au maajenti wao?
Asante Sana mkuu230k kwa 4G, 240k kwa 5G ila 5G itakulazimu ununue router hiyo ni nje ya 240k.
Nenda kwenye ofisi zao kitengo cha Voda Business ukiwa na copy za Kitambulisho cha NIDA na copy ya TIN number.
Asante Sana mkuu
Na je hii ni unlimited halisi au ni kufuata a na matumizi yako ndo itakufikisha mwezi?
240k ndio malipo ya kila mwezi au ni initial investment tu? Fafanua hapo230k kwa 4G, 240k kwa 5G ila 5G itakulazimu ununue router hiyo ni nje ya 240k.
Nenda kwenye ofisi zao kitengo cha Voda Business ukiwa na copy za Kitambulisho cha NIDA na copy ya TIN number.
Nyinyi mnafanyaje fanyaje speed inakua ivyo? Mimi kwangu ipo ivi, ni 2MB ikizidi ni 7MB kufika 10MB ni mara chache sanaTigo 4G inapeleka moto sio poa. Siku hizi sitaki kabisa kufanyia speed test
View attachment 2609021
View attachment 2609022
240k ndio malipo ya kila mwezi au ni initial investment tu? Fafanua hapo