TTCL hoi kwenye soko la mawasiliano nchini

TTCL hoi kwenye soko la mawasiliano nchini

TTCL iko vizuri mkuu, hiyo internet unayotumia kupost hapa iwe ni unatumia Vodacom, tigo, smart, Zantel au airtel jua tiari ushawalipa TTCL, unapoona wanatoa gawio usidhani ni hadithi.

Acha siasa twende kwenye takwimu,
TTCL iko vizuri kwenye kitu gani? Wanatoa mbps ngapi?

Kusema kuwa kila internet ya isp mwingine unalipia TTCL mbona ni kitu cha kawaida si sawa tunavyosema kila kwenye lita moja ya mafuta sh mia inaenda kwenye REA
 
Awali TTCL walikuwa wanapigania kweli serikari iichukue airtel warithishwe wao biashara na wateja wake.

Ukishaona mkurugenzi analilia wateja wa wenzake jua hana mbinu za kuvutia wateja yeye mwenyewe, Halotel ata miaka mitano hawana wateja wamepataje? Tell you bozzos wanaopewa kuendesha mashirika ya umma.

Ngoja siku wakurugenzi wakutane na Magu watavyomkoga sijui TRA tozo zao zinawabana or some nonsense reason why it’s not their fault the business is not growing. Na yule bwana atawaambia nyie chapeni kazi tu mnafanya vizuri sana hapo labda kapewa gawio la billion mbili wakati kampuni inauwezo wa kutoa gawio la mpaka billioni 100 kama lingekuwa na mkurugenzi makini.

Only Magu can praise these bozzos, ni sababu moja muhimu sana ya kumwambia tafadhali don’t make business decision. Yeye apigane tu na wafanyabiashara waliopo walipe kodi halali kazi inayofanywa vizuri kwa sasa, akishapata hizo hela akitaka kuzigawa barabarani kama zake sawa, akitaka kuzitupa kununua midege mingine sawa.

Lakini siku wakiya hujumu hayo mashirika ya simu kwa sababu ya TTCL ndio mwisho wa utawala wa CCM labda watumie nguvu sana kubaki madarakani, hizo hajira zitazopotea, hasira za wananchi kwa kukosa huduma na mapato ya serikari watayopoteza watajuta.
 
TTCL ndie Internet service Provider( ISP ) popote unapoona internet .Ndio mwenye mkongo wa Taifa

Nn maana ya kuwa na mkongo wa taifa na bado watu hatumii bidhaa zako, Yan roaming hata ukiwa posta duh
 
TTCL iko vizuri mkuu, hiyo internet unayotumia kupost hapa iwe ni unatumia Vodacom, tigo, smart, Zantel au airtel jua tiari ushawalipa TTCL, unapoona wanatoa gawio usidhani ni hadithi.
Kwanini sasa Internet ya TTCL inakasi ya konokono?
 
Tunaenda kwenye ujima
serekali haikushindwa kufanya hivyo kwa Fastjet (yaani kuilipisha commission kupitia TAA). ikaona iwe inafaidi moja kwa moja. sasa hivi local air travel imekuwa changamoto kubwa sana baada ya Fastjet kuondolewa sokoni ki-Mafia.

serekali hii haitaki kula asali pekee, bali inachoma na mzinga kabisa ipate na kuni za kupikia. hiyo asali itapatikanaje baada ya kuchoma mzinga? hapo ndipo Watanzania wazalendo wa kweli wanapaswa kujitafakari... tunapelekwa wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kampuni haina promotion kabisa, sijui wanawaza nini? Hivi kweli watapata wateja wapya kweli. Au kuna soko flani wanalilenga ndio maana hawafanyi marketing.
 
Shida sio kuwa ISP.. hata voda pia ni ISP wa mahotel makubwa .. lakin akin kwanini akina voda, tigo wanakuwa na uwiano mzuri kwenye masoko kuliko kuliko ttcl wenyewe? Why its seems wanaprovide best services kulioo ttcl?
TTCL ndie Internet service Provider( ISP ) popote unapoona internet .Ndio mwenye mkongo wa Taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
M-mbabe,
Tuna tatizo kubwa la management kwenye taasisi na mashirika ya umma. Bila kupepesa hili limeanza miaka ya sitini "kupeana nafasi kwa kakikundi ka watu wachache bila kujali weledi na uwezo wa mtu" Hivi ina maana watu kariba ya Mzee Kimei hawazalishwi Tanzania?
 
TTCL kwenye data bundle ni majanga , mpak uwe mjin kati ndo mtandao unakuwa speed , ukizunguka uwani tu no network , labda kwenye bundle za dk wanajitahd .....huenda Kwa sababu hawana coverage nzur
Juzi nilichukua laini ya TTCL , Ila sa hv nimeifungia kwenye kabati....
Mimi naitumia tu kwenye modem na kiukweli internet yao ni bomba sana sijapata matatizo yoyote.
Ila hata siku moja siwezi weka line yangu ya TTCL kwenye simu eti naitumia kwa mawasiliano. NEVER! Najua huko ni majanga tu.
 
Hivi kampuni ya cement inayowauzia suppliers inapata pesa nyingi kuliko hao suppliers? Mfano mwingine mrahisi, wakulima wanaolima mahindi na kuwauzia madalali, wao wana vipato vikubwa kuliko hao madalali? Uza ubongo huo unakaa nao kwa hasara.
Kha, hahaaaaa kama mifano yako Ndiyo uhalisia wa TTCL ana makampuni ya simu basi twafa!
 
Kampuni haina promotion kabisa, sijui wanawaza nini? Hivi kweli watapata wateja wapya kweli. Au kuna soko flani wanalilenga ndio maana hawafanyi marketing.
Hao jamaa ni ndezi kweli , hata location ya branches zao online hawana , Mimi mpak niliwatafuta kwenye email ndo wakanielekeza ofisi zao zilipo ,...
Internet ni mwendo wa kono kono , sijaona kampuni ya simu yenye service mbovu kama TTCL, ofcin wamejaa wamama na wababa wa miaka ya 70, hawana future plan yyte Kwa kampuni,
 
au kuwalazimisha wafanyakazi sekta ya umma kununua line, siwezi kukulipa mshahara mwenyewe afu usitumie TTCL

Hasara Umfika Mwenye Mabezo
 
Mimi nilishasemaga TTCL wampe mtu kama Kelvin twissa waone makampuni ya simu mengi mchini yanamkono wake kukua halafu jamaa fitina za biashara hiyo anazijua
Hawataweza kumpa uhuru wa yeye kuwa creative kutokana na mfumo wa uendeshaji wa TTCL.
 
Ukitoka nje ya mji, upo kijijini mtandao haupatikani. Nani anataka huduma mbovu kwa pesa yake mwenyewe? Huo mshahara wanapewa kwa kufanya kazi na siyo bure.
au kuwalazimisha wafanyakazi sekta ya umma kununua line, siwezi kukulipa mshahara mwenyewe afu usitumie TTCL

Hasara Umfika Mwenye Mabezo
 
Tatizo sio wabunifu juzi nimeamua kuyoa line yangu ya TTCL MAANA NAONA WANAZENGUA KWENYE BANDO HASA INTERNET ....

Wakati wao walipaswa kuwa chip sana kwa sababu ni mtandao wa serikali ili kuwavugia watu wengi wautumie lkn imekuwa tofauti umeanza tu eti nakutoa gawio

Wakati wenzao wanahangaika kufunga booster za 4G wao bado wana 3G tena wilay tu kijijini wanazidiwa na halotel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom