Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,667
- 2,595
Kwahiyo unawashauri nini kwa mfano?Sawa lkn walipambana mpaka kufikia level hii ya leo ,sasa hawa ndugu zetu wanalalamika hasara hawaangalii tatzo nn wanausisha mara hujuma na mengine
Kwanza huku niliko ttcl naisikia kwa majiraniKamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imesema Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limelemewa na deni la Sh403 bilioni ilhali mtaji ilionao ni wa Sh243.
Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Japhet Hasunga amesema hayo jana Jumatano Oktoba 20, 2021 baada ya kuipitia ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2019/20 ambapo amesema wamebaini kuna viashiria katika Shirika hilo kutofanya vizuri kwakuwa lina mtaji hasi wa Sh132 bilioni na madeni makubwa kuliko mtaji wake.
“Hicho ni kiashiria kuwa bado shirika haliendi vizuri. Shirika letu linalipa hadi kodi lakini mapato yao hayajaingizwa katika vitabu vyao,” amesema Hasunga.
=====
Pamoja na nia njema ya JPM, mashirika ya umma yamekuwa yanakula pato la Taifa bila kuleta tija. Tubaki na Tanesco yenye maslahi mapana ya Taifa, haya mengine tukihitaji uzalendo tuwape wafanyabiashara wazawa wajaribu bahati yao.
TTCL ndio ina mkongo wa Taifa wa Data, pamoja na advantage hiyo kibiashara wameshindwa kabisa kutawala soko la internet, yaani mwingine ananunua kutoka kwao halafu anawagaragaza sokoni, tumeshindwa.
Nyie watu hata mkipigwa sababu mmefeli kuwahudumia waume zenu vizuri mtasingizia bawana yule.Bwana yule ameiingiza hii nchi hasara kubwa
Hivi wale waliopokonywa koroshow zao tayari washalipwa ama bado uhakiki wa mashamba unaendelea kule kaburini Chato
Kwa lipi?Waendelee kujikosha
Kwa Service Ipi waliyokuwa wanatoa....
Yaani Expensively Run and Underperforming....
Usilie sana mkuu! Sasa hivi mnapumuaAliumiza watu sn
Basi wakupe weweHalafu utakuta wakurugenzi wa TTCL Wana MBA za CBE na master's in information technology toka Dar tech.
Wahasibu Wana M. Sc in Accountancy toka IFM.
Wewe ulitaka degree zao zitoke wapi iliwafae kwenye hizo nafasi?Halafu utakuta wakurugenzi wa TTCL Wana MBA za CBE na master's in information technology toka Dar tech.
Wahasibu Wana M. Sc in Accountancy toka IFM.
Mpe vidonge vyake huyoWewe ulitaka degree zao zitoke wapi iliwafae kwenye hizo nafasi?
Kutoa gawioKwa lipi?
Wameanza tena wezi hawa wa umma. Mwanzo mlijaribu kuuza ikaishia kuitia serikali hasara kubwa na kuporwa kampuni yake ya celltel. Ttcl ni sawa idara ya serikali. Kinachotakiwa ni kudhibiti ubadhilifu na kuweka watu weledi na wenye uzalendo. Tunajua nini kinaendelea baada ya kupita utawala wa magufuli. Tuko chonjo kuzuia fisadi.Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imesema Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limelemewa na deni la Sh403 bilioni ilhali mtaji ilionao ni wa Sh243.
Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Japhet Hasunga amesema hayo jana Jumatano Oktoba 20, 2021 baada ya kuipitia ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2019/20 ambapo amesema wamebaini kuna viashiria katika Shirika hilo kutofanya vizuri kwakuwa lina mtaji hasi wa Sh132 bilioni na madeni makubwa kuliko mtaji wake.
“Hicho ni kiashiria kuwa bado shirika haliendi vizuri. Shirika letu linalipa hadi kodi lakini mapato yao hayajaingizwa katika vitabu vyao,” amesema Hasunga.
=====
Pamoja na nia njema ya JPM, mashirika ya umma yamekuwa yanakula pato la Taifa bila kuleta tija. Tubaki na Tanesco yenye maslahi mapana ya Taifa, haya mengine tukihitaji uzalendo tuwape wafanyabiashara wazawa wajaribu bahati yao.
TTCL ndio ina mkongo wa Taifa wa Data, pamoja na advantage hiyo kibiashara wameshindwa kabisa kutawala soko la internet, yaani mwingine ananunua kutoka kwao halafu anawagaragaza sokoni, tumeshindwa.
Alichoandika hakina uhusiano na mada inayojadiliwa.Mpe vidonge vyake huyo
Mpaka wa leo tani 4.8 nimelizwaBwana yule ameiingiza hii nchi hasara kubwa
Hivi wale waliopokonywa koroshow zao tayari washalipwa ama bado uhakiki wa mashamba unaendelea kule kaburini Chato
Si walikuwa wanatoa gawio kwa serikali kuwa wanapata faidi au siyo TTCL hii? Wajinga sana acha life