TTCL ina deni la bilioni 403 ilhali mtaji bilioni 243

Kwanza huku niliko ttcl naisikia kwa majirani
 
Bwana yule ameiingiza hii nchi hasara kubwa

Hivi wale waliopokonywa koroshow zao tayari washalipwa ama bado uhakiki wa mashamba unaendelea kule kaburini Chato
Nyie watu hata mkipigwa sababu mmefeli kuwahudumia waume zenu vizuri mtasingizia bawana yule.
 
Just like ATCL another loss making government run corporation. Annual loss 73 billions and total debt 429 billions.

Kwa Service Ipi waliyokuwa wanatoa....

Yaani Expensively Run and Underperforming....
 
Wameanza tena wezi hawa wa umma. Mwanzo mlijaribu kuuza ikaishia kuitia serikali hasara kubwa na kuporwa kampuni yake ya celltel. Ttcl ni sawa idara ya serikali. Kinachotakiwa ni kudhibiti ubadhilifu na kuweka watu weledi na wenye uzalendo. Tunajua nini kinaendelea baada ya kupita utawala wa magufuli. Tuko chonjo kuzuia fisadi.
 
They should hire brains , waache kuwakapa kazi wana Siasa na wazee kwenye revenue generated sectors

Waweke vijana vichwa kutoka telecom companies wawalipe vizuri , wasiwaingilie kwenye utendaji wataona results
 
Bwana yule ameiingiza hii nchi hasara kubwa

Hivi wale waliopokonywa koroshow zao tayari washalipwa ama bado uhakiki wa mashamba unaendelea kule kaburini Chato
Mpaka wa leo tani 4.8 nimelizwa
 
..Deni hili limetoka wapi wakati ktk awamu ya 5 TTCL walikuwa wanatoa gawio kwa serikali?

 
Haya mashirika ya serikali shida yake kubwa ni wafanyakazi, wamekaa kipigaji pigaji, hawajali, hawajibiki, hawana ubunifu wala hawana uchungu na mali uma...Una mpa mfanyakazi ajira ya kudumu unategemea nn?ana uhakika wa ajira till death do him/her apart...siku akitokea kichaa akabadili utaratibu wa ajira serikalini ukawa wa mikataba na KPI then kutakua na mabadiliko makubwa sana.
TTCL pale wamejaa wazee wanakwenda mwendo wa kinyonga, na ht vijana wakiajiriwa miezi michache nao wanazeeka.
Fukuza wafanyakazi wote tuanze upyaa na mikataba ya muda mfupi.
 
Shirika kuwa madeni kuliko mtaji SiO ajabu na SiO kwamba inaashiria shirika linaelekea kufa.
Biashara inaendeshwa na either mtaji or debts au vyote. Ukienda kwenye makampuni ya madini, Karibia yote yanaendeshwa na madeni. Cha msingi ni je TTcl Ina madeni ambayo imeshindwa kuyalipa? Kama jibu ni ndio, hicho ndio kiashiria namba moja kwamba going concern yake inatia shaka.
 

Si walikuwa wanatoa gawio kwa serikali kuwa wanapata faidi au siyo TTCL hii? Wajinga sana acha life
 
Heheh,

Hivi hawa si ndio walikuwa wanatoa gawio la faida kwa serikali...

Ama kweli mbio za sakafuni huishia ukingoni...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…