Tetesi: TTCL Kusambaza Internet Bure Majumbani na Maofisini. Bili ni kwa Mwezi

Tetesi: TTCL Kusambaza Internet Bure Majumbani na Maofisini. Bili ni kwa Mwezi

VODACOM BUSINESS HOME USERS &OFFICE

Supa kasi Internet Unlimited bundle
Free Router+Antenna. (Wireless Router)
20 LTE 20Mbps 115,000/=Tu kila mwezi

Supa kasi Internet Unlimited bundle
Free Router+Antenna. (Wireless Router)
30 LTE 30Mbps 165,000/=Tu kila mwezi

For more information
Please check me [emoji338]0744355811
1340937108.jpg
208652868.jpg
 
Nchi gani hapa duniani wana hiyo huduma ya unlimited internet bundle? Zitaje 3 nione
Wifi mara zote nchi za wenzetu uwa ni unlimited unachouziwa ni speed. Ndio maana watu wakiwa majumbani wanatumia wifi. Hili jambo likifanikiwa hata watumiaji wa netflix wataongezeka
 
VODACOM BUSINESS HOME USERS &OFFICE

Supa kasi Internet Unlimited bundle
Free Router+Antenna. (Wireless Router)
20 LTE 20Mbps 115,000/=Tu kila mwezi

Supa kasi Internet Unlimited bundle
Free Router+Antenna. (Wireless Router)
30 LTE 30Mbps 165,000/=Tu kila mwezi

For more information
Please check me [emoji338]0744355811View attachment 2309976View attachment 2309977
Mkuu vipi kuhusu agreement ya kumfunga mteja muda wa kutosha?
 
Kumekuwa ni kilio cha muda mrefu kuhusu upatikanaji wa unlimited internet kwa gharama nafuu. Ilikuwa inashangaza ni kwa nini shirika kubwa kama TTCL Customer Care haliichukui hii fursa (hata kwa kushirikiana na TANESCO ili kutumia nguzo zao). Sasa wapo kwenye right track na watasambaza internet kila kona kuanzia mwaka ujao wa fedha; unajichagulia speed yako kulingana na uwezo wa kulipia kwa mwezi. Asante Jiwe Magufuli kwa kulipa shirika uwezo wa kufanya makubwa, historia itakukumbuka daima.

Bei kwa mwezi (download/upload speed):
20/10mbps > 55,000
40/20mbps > 100,000
60/30mbps > 150,000
100/50mbps > 200,000
cc C.T.U
#KaziIendelee
Hivyo ni vya T-Fiber:
1659639062298.png


Nduki Package hivi Hapa (Unlimited GB):

1659639136579.png
 
Kumekuwa ni kilio cha muda mrefu kuhusu upatikanaji wa unlimited internet kwa gharama nafuu. Ilikuwa inashangaza ni kwa nini shirika kubwa kama TTCL Customer Care haliichukui hii fursa (hata kwa kushirikiana na TANESCO ili kutumia nguzo zao). Sasa wapo kwenye right track na watasambaza internet kila kona kuanzia mwaka ujao wa fedha; unajichagulia speed yako kulingana na uwezo wa kulipia kwa mwezi. Asante Jiwe Magufuli kwa kulipa shirika uwezo wa kufanya makubwa, historia itakukumbuka daima.

Bei kwa mwezi (download/upload speed):
20/10mbps > 55,000
40/20mbps > 100,000
60/30mbps > 150,000
100/50mbps > 200,000
cc C.T.U
#KaziIendelee
Sasa itabidi ninunue Smart TV 4K kwani bila kuwa na intaneti ya uhakika hizi smart Tv zinakuwa ni kama pambo tu sebuleni
 
NEW PACKAGE VODACOM INTERNET (5G)

PRICE PER MONTH

[emoji117]30Mbps-[120,000]-Unilimited bundle speed ya 5G
[emoji117]50mbps>[150,000]Unilimited bundle speed ya 5G
[emoji117]100Mbps>[250,000]unlimited bundle speed ya 5G
[emoji117]200Mbps>[400,000]Unlimited bundle speed ya 5G
[emoji117]350Mbps[600,000]Unlimited bundle speed ya 5G

For more information kindly check me DM or call 0744355811
 
Kumekuwa ni kilio cha muda mrefu kuhusu upatikanaji wa unlimited internet kwa gharama nafuu. Ilikuwa inashangaza ni kwa nini shirika kubwa kama TTCL Customer Care haliichukui hii fursa (hata kwa kushirikiana na TANESCO ili kutumia nguzo zao). Sasa wapo kwenye right track na watasambaza internet kila kona kuanzia mwaka ujao wa fedha; unajichagulia speed yako kulingana na uwezo wa kulipia kwa mwezi. Asante Jiwe Magufuli kwa kulipa shirika uwezo wa kufanya makubwa, historia itakukumbuka daima.

Bei kwa mwezi (download/upload speed):
20/10mbps > 55,000
40/20mbps > 100,000
60/30mbps > 150,000
100/50mbps > 200,000
cc C.T.U
#KaziIendelee
Itakuwa kwa wenye kipato cha juu tu, nashauri bei ziwe rafiki kwa low income earners
 
Kumekuwa ni kilio cha muda mrefu kuhusu upatikanaji wa unlimited internet kwa gharama nafuu. Ilikuwa inashangaza ni kwa nini shirika kubwa kama TTCL Customer Care haliichukui hii fursa (hata kwa kushirikiana na TANESCO ili kutumia nguzo zao). Sasa wapo kwenye right track na watasambaza internet kila kona kuanzia mwaka ujao wa fedha; unajichagulia speed yako kulingana na uwezo wa kulipia kwa mwezi. Asante Jiwe Magufuli kwa kulipa shirika uwezo wa kufanya makubwa, historia itakukumbuka daima.

Bei kwa mwezi (download/upload speed):
20/10mbps > 55,000
40/20mbps > 100,000
60/30mbps > 150,000
100/50mbps > 200,000
cc C.T.U
#KaziIendelee
Wamejipangaje kwenye customer care maana huwa wana kawaida ya kurushiana mpira kama kitu hawakijui
 
Kumekuwa ni kilio cha muda mrefu kuhusu upatikanaji wa unlimited internet kwa gharama nafuu. Ilikuwa inashangaza ni kwa nini shirika kubwa kama TTCL Customer Care haliichukui hii fursa (hata kwa kushirikiana na TANESCO ili kutumia nguzo zao). Sasa wapo kwenye right track na watasambaza internet kila kona kuanzia mwaka ujao wa fedha; unajichagulia speed yako kulingana na uwezo wa kulipia kwa mwezi. Asante Jiwe Magufuli kwa kulipa shirika uwezo wa kufanya makubwa, historia itakukumbuka daima.

Bei kwa mwezi (download/upload speed):
20/10mbps > 55,000
40/20mbps > 100,000
60/30mbps > 150,000
100/50mbps > 200,000
cc C.T.U
#KaziIendelee
Waokote wapi hiyo budget ya free installations ? Walikuja ofisini kwetu tukawape appointment ya discussion hawakuwahi kutia mguu tena.
 
Back
Top Bottom