Tetesi: TTCL Kusambaza Internet Bure Majumbani na Maofisini. Bili ni kwa Mwezi

Tetesi: TTCL Kusambaza Internet Bure Majumbani na Maofisini. Bili ni kwa Mwezi

Kumekuwa ni kilio cha muda mrefu kuhusu upatikanaji wa unlimited internet kwa gharama nafuu. Ilikuwa inashangaza ni kwa nini shirika kubwa kama TTCL Customer Care haliichukui hii fursa (hata kwa kushirikiana na TANESCO ili kutumia nguzo zao). Sasa wapo kwenye right track na watasambaza internet kila kona kuanzia mwaka ujao wa fedha; unajichagulia speed yako kulingana na uwezo wa kulipia kwa mwezi. Asante Jiwe Magufuli kwa kulipa shirika uwezo wa kufanya makubwa, historia itakukumbuka daima.

Bei kwa mwezi (download/upload speed):
20/10mbps > 55,000
40/20mbps > 100,000
60/30mbps > 150,000
100/50mbps > 200,000
cc C.T.U
#KaziIendelee
Huna kazi ya kufanya mpaka ulete uzushi wako huku?
 
Hizo janja janja kwanza wameshindwa kusambaza vocha na mtandao wao kwenye net uko ovyo na mtandao wao uko Sana mijini halotel wakijipanga vizuri watashika watu wengi Sana kwa sababu wako mijini na vijijini
 
VODACOM BUSINESS HOME USERS &OFFICE

Supa kasi Internet Unlimited bundle
Free Router+Antenna. (Wireless Router)
20 LTE 20Mbps 115,000/=Tu kila mwezi

Supa kasi Internet Unlimited bundle
Free Router+Antenna. (Wireless Router)
30 LTE 30Mbps 165,000/=Tu kila mwezi

For more information
Please check me [emoji338]0744355811View attachment 2309976View attachment 2309977

mkuu hapa kuna gharama za ziadi kwenye uungaji? na je kama ziapo zikoje?
 
mkuu hapa kuna gharama za ziadi kwenye uungaji? na je kama ziapo zikoje?
Hakuna installation cost Wala nn boss ni kulipia security deposit of 2 months payment then unafungiwa huduma chap
 
VODACOM INTERNET (5G) SUPAKASI

PRICE PER MONTH

[emoji117]30Mbps-[120,000]-Unilimited bundle speed ya 5G
[emoji117]50mbps>[150,000]Unilimited bundle speed ya 5G
[emoji117]100Mbps>[250,000]unlimited bundle speed ya 5G
[emoji117]200Mbps>[400,000]Unlimited bundle speed ya 5G
[emoji117]350Mbps[600,000]Unlimited bundle speed ya 5G

For more information kindly check me DM or call 0744355811

It's 5G FWA (fixed wireless access) sahau LTE TDD ( antenna
21511241.jpg
579236343.jpg
 
Huamini, mbona kuna watu wengi tu tumewafungia na wanaendelea kufurahia spidi ya ajabu toka TTCL Fiber.
Umebaki wewe pekee yako.

#RudiNyumbaniKumenoga

Dar tu hata 30% fiber coverage TTCL hajaifikia, na shida sio TTCL bali ni ujenzi holela wa makazi...

Fiber yao ipo sehemu chache tena maeneo yaliyopangwa vizuri, na ajabu ni kuwa hadi leo TTCL anauza internet ya ADSL...
 
Kumekuwa ni kilio cha muda mrefu kuhusu upatikanaji wa unlimited internet kwa gharama nafuu. Ilikuwa inashangaza ni kwa nini shirika kubwa kama TTCL Customer Care haliichukui hii fursa (hata kwa kushirikiana na TANESCO ili kutumia nguzo zao). Sasa wapo kwenye right track na watasambaza internet kila kona kuanzia mwaka ujao wa fedha; unajichagulia speed yako kulingana na uwezo wa kulipia kwa mwezi. Asante Jiwe Magufuli kwa kulipa shirika uwezo wa kufanya makubwa, historia itakukumbuka daima.

Bei kwa mwezi (download/upload speed):
20/10mbps > 55,000
40/20mbps > 100,000
60/30mbps > 150,000
100/50mbps > 200,000
cc C.T.U
#KaziIendelee
Ww unaweza kulipa hiyo 55
 
Dar tu hata 30% fiber coverage TTCL hajaifikia, na shida sio TTCL bali ni ujenzi holela wa makazi...

Fiber yao ipo sehemu chache tena maeneo yaliyopangwa vizuri, na ajabu ni kuwa hadi leo TTCL anauza internet ya ADSL...
ADSL au Fiber inategemea na mahitaji ya mteja. Mwenye ADSL kuna vifurushi nafuu imagine unalipa 25,000 tu kwa mwezi then unatulia ghetto unaperuzi tu. Yaani wewe imagine tu.
Imagine Being US

#RudiNyumbaniKumenoga
 
Mkuu kwema hii kitu ipo nazani ujaeleza vizuri na mtoa mada 10mbps ni kiwango unachopokea kutoka kwa mtoa huduma(ISP) unapolipia huduma iyo T-fiber toka TTCL basi utaweza tumia ndani ya mwezi mzima na kudownload chochote kwa GB utakazoweza ndani ya mwezi ndo mana tunasema unlimited wengine usema home internet service or small office internet ,lakini unaweza ongeza package na ghalama itapanda kiasi ila kwa makampuni mengi sasa bei zao uwanzia Tsh 55,000/= kwa TTCL ,Zuku fiber wao Tsh 69,000/= wanatoa 10mbps kwa minimum package yao installation fees ni free ,gofiber wao utoa 20mbps minimum package installation cost yao ni Tsh 200,000/=,vodacom super kasi wao 10mbps minimum package yao ni Tsh 115,000/= installation coast ni free,Raha wana liquid home wao 10mbps utoa kwa 50,000/= installation ni free ,konnect wao wana 10mbps kwa 60,000/= ila itakulazimu lipia Tsh 345,000/= kwa ajili ya installation materials. Hizo ni kampuni chache kati ya nyingi zinazotoa home internet yaweza kua fiber ama antenna device hapa atuzungumzii hizi internet za GSM sim card.

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Hawa nitawapataje
 
Wapo ovyo tu, hii huduma inasambwazwa kwa wale wanaoishi mjinimjini watu wanaokaa sijui Kisemvule hawawezi kuipata hii huduma.
 
Tupo mjini tumejaza form mwaka jana mwezi kama huu hadi sasa ni danadana tu. Ni kweli wamatoa hiyo huduma ila hawana pesa kununua vifaa vya kutosha. Serikali inaihuju TTCL kimyakimya. Wakipeleka bajeti ya kununua vifaa ili wafikie watu wengi wanaambiwa wasubiri. Na hapo wanakua wanaomba kutumia hela walizokusanya wao wenyewe TTCL.

CCM wako radhi kufadhili watu wajinga kueneza propaganda zao lakini sio kuacha mashirika yenye nia ya kujiendesha yaendelee. Adui nab moja wa nchi hii ni CCM.
 
Tupo mjini tumejaza form mwaka jana mwezi kama huu hadi sasa ni danadana tu. Ni kweli wamatoa hiyo huduma ila hawana pesa kununua vifaa vya kutosha. Serikali inaihuju TTCL kimyakimya. Wakipeleka bajeti ya kununua vifaa ili wafikie watu wengi wanaambiwa wasubiri. Na hapo wanakua wanaomba kutumia hela walizokusanya wao wenyewe TTCL.

CCM wako radhi kufadhili watu wajinga kueneza propaganda zao lakini sio kuacha mashirika yenye nia ya kujiendesha yaendelee. Adui nab moja wa nchi hii ni CCM.
Nilishawahi kupendekeza kama kuna mtu ana haraka ya kifungiwa huduma AJINUNULIE VIFAA MWENYEWE kisha TTCL watakuja kumfungia free.

Kama hauna hela basi wasubiri
 
Nilishawahi kupendekeza kama kuna mtu ana haraka ya kifungiwa huduma AJINUNULIE VIFAA MWENYEWE kisha TTCL watakuja kumfungia free.

Kama hauna hela basi wasubiri

Niliwauliza je inawezekana nikajinunulia vifaa wao wakaja nifungia tu. Wakasema haiwezekani
 
Back
Top Bottom