Wifi mara zote nchi za wenzetu uwa ni unlimited unachouziwa ni speed. Ndio maana watu wakiwa majumbani wanatumia wifi. Hili jambo likifanikiwa hata watumiaji wa netflix wataongezekaNchi gani hapa duniani wana hiyo huduma ya unlimited internet bundle? Zitaje 3 nione
Mkuu vipi kuhusu agreement ya kumfunga mteja muda wa kutosha?VODACOM BUSINESS HOME USERS &OFFICE
Supa kasi Internet Unlimited bundle
Free Router+Antenna. (Wireless Router)
20 LTE 20Mbps 115,000/=Tu kila mwezi
Supa kasi Internet Unlimited bundle
Free Router+Antenna. (Wireless Router)
30 LTE 30Mbps 165,000/=Tu kila mwezi
For more information
Please check me [emoji338]0744355811View attachment 2309976View attachment 2309977
Hivyo ni vya T-Fiber:Kumekuwa ni kilio cha muda mrefu kuhusu upatikanaji wa unlimited internet kwa gharama nafuu. Ilikuwa inashangaza ni kwa nini shirika kubwa kama TTCL Customer Care haliichukui hii fursa (hata kwa kushirikiana na TANESCO ili kutumia nguzo zao). Sasa wapo kwenye right track na watasambaza internet kila kona kuanzia mwaka ujao wa fedha; unajichagulia speed yako kulingana na uwezo wa kulipia kwa mwezi. Asante Jiwe Magufuli kwa kulipa shirika uwezo wa kufanya makubwa, historia itakukumbuka daima.
Bei kwa mwezi (download/upload speed):
20/10mbps > 55,000
40/20mbps > 100,000
60/30mbps > 150,000
100/50mbps > 200,000
cc C.T.U
#KaziIendelee
Wanayo unlimited ya 20,000 kwenye Nduki PackagesYani upewe unlimited kwa elfu 20 kweli Mkuu ? Huo Ni unyonyaji
Nikisajili tu sim card kesho naipata Mkuu ?Wanayo unlimited ya 20,000 kwenye Nduki Packages
Hapana hiyo siyo kwa line.. Ni Mtandao wa shaba, unatakiwa pia ununue na ADSL moderm zaoNikisajili tu sim card kesho naipata Mkuu ?
Sjakuelewa mkuu swali lakoMkuu vipi kuhusu agreement ya kumfunga mteja muda wa kutosha?
Sasa itabidi ninunue Smart TV 4K kwani bila kuwa na intaneti ya uhakika hizi smart Tv zinakuwa ni kama pambo tu sebuleniKumekuwa ni kilio cha muda mrefu kuhusu upatikanaji wa unlimited internet kwa gharama nafuu. Ilikuwa inashangaza ni kwa nini shirika kubwa kama TTCL Customer Care haliichukui hii fursa (hata kwa kushirikiana na TANESCO ili kutumia nguzo zao). Sasa wapo kwenye right track na watasambaza internet kila kona kuanzia mwaka ujao wa fedha; unajichagulia speed yako kulingana na uwezo wa kulipia kwa mwezi. Asante Jiwe Magufuli kwa kulipa shirika uwezo wa kufanya makubwa, historia itakukumbuka daima.
Bei kwa mwezi (download/upload speed):
20/10mbps > 55,000
40/20mbps > 100,000
60/30mbps > 150,000
100/50mbps > 200,000
cc C.T.U
#KaziIendelee
Ahsante Mkuu,nitatafuta hi, ya Halotel wananiibiaHapana hiyo siyo kwa line.. Ni Mtandao wa shaba, unatakiwa pia ununue na ADSL moderm zao
View attachment 2314458
Agree usage time ni 24 month katka contract za Voda ila vigezo na masharti kuzingatiwqMkuu vipi kuhusu agreement ya kumfunga mteja muda wa kutosha?
Itakuwa kwa wenye kipato cha juu tu, nashauri bei ziwe rafiki kwa low income earnersKumekuwa ni kilio cha muda mrefu kuhusu upatikanaji wa unlimited internet kwa gharama nafuu. Ilikuwa inashangaza ni kwa nini shirika kubwa kama TTCL Customer Care haliichukui hii fursa (hata kwa kushirikiana na TANESCO ili kutumia nguzo zao). Sasa wapo kwenye right track na watasambaza internet kila kona kuanzia mwaka ujao wa fedha; unajichagulia speed yako kulingana na uwezo wa kulipia kwa mwezi. Asante Jiwe Magufuli kwa kulipa shirika uwezo wa kufanya makubwa, historia itakukumbuka daima.
Bei kwa mwezi (download/upload speed):
20/10mbps > 55,000
40/20mbps > 100,000
60/30mbps > 150,000
100/50mbps > 200,000
cc C.T.U
#KaziIendelee
Wamejipangaje kwenye customer care maana huwa wana kawaida ya kurushiana mpira kama kitu hawakijuiKumekuwa ni kilio cha muda mrefu kuhusu upatikanaji wa unlimited internet kwa gharama nafuu. Ilikuwa inashangaza ni kwa nini shirika kubwa kama TTCL Customer Care haliichukui hii fursa (hata kwa kushirikiana na TANESCO ili kutumia nguzo zao). Sasa wapo kwenye right track na watasambaza internet kila kona kuanzia mwaka ujao wa fedha; unajichagulia speed yako kulingana na uwezo wa kulipia kwa mwezi. Asante Jiwe Magufuli kwa kulipa shirika uwezo wa kufanya makubwa, historia itakukumbuka daima.
Bei kwa mwezi (download/upload speed):
20/10mbps > 55,000
40/20mbps > 100,000
60/30mbps > 150,000
100/50mbps > 200,000
cc C.T.U
#KaziIendelee
Waokote wapi hiyo budget ya free installations ? Walikuja ofisini kwetu tukawape appointment ya discussion hawakuwahi kutia mguu tena.Kumekuwa ni kilio cha muda mrefu kuhusu upatikanaji wa unlimited internet kwa gharama nafuu. Ilikuwa inashangaza ni kwa nini shirika kubwa kama TTCL Customer Care haliichukui hii fursa (hata kwa kushirikiana na TANESCO ili kutumia nguzo zao). Sasa wapo kwenye right track na watasambaza internet kila kona kuanzia mwaka ujao wa fedha; unajichagulia speed yako kulingana na uwezo wa kulipia kwa mwezi. Asante Jiwe Magufuli kwa kulipa shirika uwezo wa kufanya makubwa, historia itakukumbuka daima.
Bei kwa mwezi (download/upload speed):
20/10mbps > 55,000
40/20mbps > 100,000
60/30mbps > 150,000
100/50mbps > 200,000
cc C.T.U
#KaziIendelee
Ofisi yenu ipo sehemu gani?Waokote wapi hiyo budget ya free installations ? Walikuja ofisini kwetu tukawape appointment ya discussion hawakuwahi kutia mguu tena.