TTCL ni shirika la kwanza kufia mikononi mwa Waziri Nape Nnauye

TTCL ni shirika la kwanza kufia mikononi mwa Waziri Nape Nnauye

JackisonDubai

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2023
Posts
537
Reaction score
1,282
Rais Samia uliambiwa na kuonywa kuhusu kurudisha hawa majizi wasiokuwa na uchungu wowote na nchi hii ,Kiko wapi Sasa? Kwenye umeme nako mambo ovyo ovyo miaka 2 imeisha wameshindwa kupeleka umeme kwenye vijiji elfu 2 tu!

TTCL inamfia Nape Nnauye mikononi mwake yeye kazi ni kushinda Airtel, Voda sijui Tigo kasahau kuwa TTCL ni moja ya idara yake ambayo imeachwa na JPM ikiwa na bidhaa za simu, simu cards, bandles na wateja leo CAG anasema inakufa yeye kajigeuza alikuwa Mpelelezi wa kuchunguza uvamizi sijui wa clouds angeenda mahakamani kutoa ushahidi kwa position ipi.

Kama ulikuwa unajiamini hadi ukamgomea mwajiri wako ,iweje tena ukaja kuonekana ukigaagaa Ikulu kuomba msamaha?
 
Rais Samia uliambiwa na kuonywa kuhusu kurudisha hawa majizi wasiokuwa na uchungu wowote na nchi hii ,Kiko wapi Sasa ? Kwenye umeme nako mambo hovyohovyo miaka 2 imeisha wameshindwa kupeleka umeme kwenye vijiji elfu 2 tu!

TTCL inamfia Nape Nauye mikononi make yeye kazi ni kushinda airtel,voda sijui tigo kaasahau kuwa TTCL ni moja ya idara yake ambayo imeachwa na JPM ikiwa na bidhaa za simu,simu cards,bandles na wateja leo CAG anasema inakufa yeye kajigeuza alikuwa Mpelelezi wa kuchunguza uvamizi sijui wa clouds angeenda mahakamani kutoa ushahidi kwa position ipi.

Kama ulikuwa unajiamini hadi ukamgomea mwajiri wako ,iweje tena ukaja kuonekana ukigaagaa Ikulu kuomba msamaha?
Rushwa 80 milion
 
TTCL inamfia Nape Nauye mikononi make yeye kazi ni kushinda airtel,voda sijui tigo kaasahau kuwa TTCL ni moja ya idara yake ambayo imeachwa na JPM ikiwa na bidhaa za simu,simu cards,bandles na wateja leo

TTCL imekufa siku nyingi na si awamu ya JPM wala Samia, ni tangu enzi mashirika ya umma yanakufa...

Hiki kitu kinachoitwa TTCL leo ni mzimu tu ambao JPM alitaka kujaribu kuifufua...
 
Rais Samia uliambiwa na kuonywa kuhusu kurudisha hawa majizi wasiokuwa na uchungu wowote na nchi hii ,Kiko wapi Sasa ? Kwenye umeme nako mambo hovyohovyo miaka 2 imeisha wameshindwa kupeleka umeme kwenye vijiji elfu 2 tu!

TTCL inamfia Nape Nauye mikononi make yeye kazi ni kushinda airtel,voda sijui tigo kaasahau kuwa TTCL ni moja ya idara yake ambayo imeachwa na JPM ikiwa na bidhaa za simu,simu cards,bandles na wateja leo CAG anasema inakufa yeye kajigeuza alikuwa Mpelelezi wa kuchunguza uvamizi sijui wa clouds angeenda mahakamani kutoa ushahidi kwa position ipi.

Kama ulikuwa unajiamini hadi ukamgomea mwajiri wako ,iweje tena ukaja kuonekana ukigaagaa Ikulu kuomba msamaha?
Kwa kauli ile kuna mawaziri na washirika wao watakua wamefanya sherehe, the same applied huko mbele kwa SGR itahujumiwa tu ili watu wa mabasi wafanye biashara
 
Back
Top Bottom