TTCL ni shirika la kwanza kufia mikononi mwa Waziri Nape Nnauye

TTCL ni shirika la kwanza kufia mikononi mwa Waziri Nape Nnauye

Sio Shirika la kwanza kufia mikononi mwa CCM.

Rekebisha Heading isomeke Wanaccm wameua Mashirika mengi.

Huu ni muendelezo tu wa mauaji ya kimbari ya Mashirika ya Umma.
Serikali haitakiwi ifanye biashara, kama ikilazimu, basi tufuate mfumo wa china,, wezi wapigwe risasi
 
Serikali haitakiwi ifanye biashara, kama ikilazimu, basi tufuate mfumo wa china,, wezi wapigwe risasi
Muarabu mbali wakampe kagame sasa hivi km halijanyanyuka
Or wa outsource miundombinu halafu wao wabakie kuangalia tu...wampe mwekezaji 51/49 uone km halitanyanyuka
 
Rais Samia uliambiwa na kuonywa kuhusu kurudisha hawa majizi wasiokuwa na uchungu wowote na nchi hii ,Kiko wapi Sasa? Kwenye umeme nako mambo ovyo ovyo miaka 2 imeisha wameshindwa kupeleka umeme kwenye vijiji elfu 2 tu!

TTCL inamfia Nape Nnauye mikononi mwake yeye kazi ni kushinda Airtel, Voda sijui Tigo kasahau kuwa TTCL ni moja ya idara yake ambayo imeachwa na JPM ikiwa na bidhaa za simu, simu cards, bandles na wateja leo CAG anasema inakufa yeye kajigeuza alikuwa Mpelelezi wa kuchunguza uvamizi sijui wa clouds angeenda mahakamani kutoa ushahidi kwa position ipi.

Kama ulikuwa unajiamini hadi ukamgomea mwajiri wako ,iweje tena ukaja kuonekana ukigaagaa Ikulu kuomba msamaha?
Wewe kwenye phone book yako una nqmba ngapi za watu wanaotumia line ya TTCL? Ulijingishwa vibaya sana nawe ukakubali kujingishwa na magufuli. Acha nongwa
Kamfufue
 
Back
Top Bottom