TTCL ni shirika la kwanza kufia mikononi mwa Waziri Nape Nnauye

TTCL ni shirika la kwanza kufia mikononi mwa Waziri Nape Nnauye

Na buddle zao zipo juu kuliko mitandao yte nilikuwa mteja wao hapo zaman baada ya kupandisha bei nikaachana nao.
 
Mzee alijua sana kucheza maigizo
Yule bwana sijui alikuaje yani! Unashindwa kuhesabu mabaya yake, vile vile unashindwa kuhesabu mazuri yake! Alikua mtu na robo tatu[emoji16][emoji16][emoji41] ( sio mtu na nusu yule [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960] )
 
Nani kasema linakufa,kilichoongelewa ni juu kuwa na mtandao mobile phone kushindana voda,tigo etc.

TTCL inashughuli nyingi mkuu wanasimu za mezani huko hawana mpinzani,Wana internet na minala.

Shida ya TTCL ni kutokuwa wa kidigitali ili kushwishi watu tuache kutumia mitandao mingine bado watu wapo kimazoea na ukichanganya akili zetu za kuona ajira ya serikali kama relaxing zone.
 
Watu wa wavivu wa kufikiri hukumbilia personality badala technical issues.Serikali ikiamua TTCL iwe kampuni pekee ya mawasiliano inaweza ni issue kufanya amendment tu.

Serikali kuweka uwiano sawa ni kuchochea huduma.

Mimi naamini Mchechu angepewa TTCL ndani ya three years market share inaweza fika 30% tatizo hapo ni ukurugenzi wa mazoea usio na skills,wanapeana ajira sio Kwa skills bali undugu na kujuana.

Unafika TTCL customer care anakukaribisha kama umeenda kuomba hela, lakini yule wa voda unatamani uendelee kuongea nae.hiyo ndiyo tofauti.

Pia serikali haikuwa na timing ya kucapture rural market kabla halotel. TTCL ilipaswa kushika kwanza huko
 
Yaaan......inasikitisha kwa kweli leo nimeenda pale Kijitonyama nikitaka huduma ya fiber kwa nyumbani nikaishia kupewa form ya kujaza ombi langu nikaambiwa nizirejeshe ofisizi zao zilizo karibu na makazi yangu kwenda naambiwa ombi langu litashughulikiwa ndani ya miezi 2 nimesikitika Sana mno watu wanatoka makazini kuja kupiga soga tu, nauliza shida nini eti vifaa vinakuja vichache hakuna sababu ya msingi zaidi ya uzembe uliokubuhu waziri husika anapiga soga tu hana habari hata
 
TTCL haijawahi kupata faida katika miongo miwili iliyopita, na usidanganyike na lile gawio feki waliompa Dikteta huku ripoti ya CAG ikionyesha muda wote ni hasara tupu
 
Kwani TTCL ilikuwa hai lini baada ya watu kuacha simu za mezani?
 
Yaaan......inasikitisha kwa kweli leo nimeenda pale Kijitonyama nikitaka huduma ya
Pole sana mkuu , nilikuwa moja ya tawi la TTCL upande wa technical (Field ).

Aiseee hata vifaa ni vya kuunga unga upande wa maintenance Uongozi ovyo kazi kuzunguka kwenye gari tu Hiyo ofisi yenyewe haipo well organized kwa kweli niliumia sana .
 
Rais Samia uliambiwa na kuonywa kuhusu kurudisha hawa majizi wasiokuwa na uchungu wowote na nchi hii ,Kiko wapi Sasa? Kwenye umeme nako mambo ovyo ovyo miaka 2 imeisha wameshindwa kupeleka umeme kwenye vijiji elfu 2 tu!

TTCL inamfia Nape Nnauye mikononi mwake yeye kazi ni kushinda Airtel, Voda sijui Tigo kasahau kuwa TTCL ni moja ya idara yake ambayo imeachwa na JPM ikiwa na bidhaa za simu, simu cards, bandles na wateja leo CAG anasema inakufa yeye kajigeuza alikuwa Mpelelezi wa kuchunguza uvamizi sijui wa clouds angeenda mahakamani kutoa ushahidi kwa position ipi.

Kama ulikuwa unajiamini hadi ukamgomea mwajiri wako ,iweje tena ukaja kuonekana ukigaagaa Ikulu kuomba msamaha?
Unanikumbusha story ya utotoni ya mtumbwi uliopandwa na ng'ombe, nguruwe mbuzi ile kupanda Panya mtumbwi ukazama ..... lawama zote akabeba panya anyway hili shirika kwa kuwa ni la serikali haliwezi fika level za mitandao mingine
 
Back
Top Bottom