TTCL ni shirika la kwanza kufia mikononi mwa Waziri Nape Nnauye

Sio Shirika la kwanza kufia mikononi mwa CCM.

Rekebisha Heading isomeke Wanaccm wameua Mashirika mengi.

Huu ni muendelezo tu wa mauaji ya kimbari ya Mashirika ya Umma.
 
Ivi kufia au kuliua??
 
Ilianza hadi kutoa gawio

Ile ilikuwa danganya toto tu...

Achana na habari za magawio ambazo unaoneshwa kwenye televisheni ya taifa...

TTCL imekuwa ikiendeshwa kimaskini mno, kama si huruma za makampuni ya nje yanayoiuzia vifaa vya mawasiliano kwa bei chee za kutupwa, sasa hivi hilo shirika lingebaki jina tu
 
Inaweza kufufuka kama serikali ikiamua , kisha kuwekeza fedha...

Kimiundombinu mahali walipo TTCL si pabaya sana...
Sure, sema cartel za mitandao ya simu ni kubwa, ukiifanya TTC ifufuke hawa mafisadi wanaweza pia kukuua, so the move inatakiwa iwe very careful na kujitoa muhanga, ndiyo maana hata rais anaogopa hata akina Nape. Ila kutegemea private sector kwenye sector ya mawasiliano ni kosa kubwa sana.
 

Nape limemkuta tu, ila hili shirika lilishafel kwanzia miaka ya 2010 kushuka chini.
From service delivery tu customer care creativity ni zero. Na limendelea hiv for so long ilikuwa ni suala la muda.
 
Mimi nakumbuka alienda kuomba msamaha kwa ajili ya zile simu walizo rekodiwa!! Sidhani kama ilikua inamuhusua bashite.
 
Hata kwenye maongezi ya simu ambayo walitrepiwa na watu wa Jiwe Nape na wenzake hawakuwa na makosa yoyote, ni uoga tu ndio ulipelekea kuomba msamaha.
Mkuu kuna saa unaangalia kosa! Issue ya bashite hakuwa na makosa. Alikua anatimiza wajibu wake kama waziri!

Ile Issue ya simu alikua na makosa na ndio maana akaenda kuomba radhi kibinadamu.
 
Subiri kidogo Tanesco itafia mikononi mwa mtoto waYusuph Makamba
 
Watanzania wote uwezo wetu tunafanana! Akiweza huyu kitu na mwingine ataweza, na akishindwa kitu huyu na mwingine vile vile naye atashindwa.

Kwa hali hiyo, hatuna sababu ya kuwa tunabadilisha viongozi kwa kushindwa, kisipokuwa tunatakiwa kuweka strategy ya kuwafanya wanaopewa nafasi wasiendelee kushindwa, na kama itatokea wakashindwa basi hilo litakuwa siyo kosa lao tena, bali letu sote. Human Resources aliyonayo Rais wetu ni sisi na wote tumefanana, hatutaofautiani.

Tumpe nafasi Rais ya kubadilisha viongozi tu pale wanapokuwa wamekiuka maadili ya kazi, ila si kwa kulalamikiwa kushindwa kazi kwa sababu kama akiwa anabadilisha kwa malalamiko ya watu kushindwa kazi, wote tumefanana na hivyo atakuwa anakuwa kwenye chain ya kubadilisha watu kila siku kukicha kwa muda wote wa miaka mitano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…