Tuachane na matokeo, Camera za CAF Champions League mbona ni mbovu kiasi hiki?

Tuachane na matokeo, Camera za CAF Champions League mbona ni mbovu kiasi hiki?

Kuna jamaa hapo juu mbishi sana sisi watu wa camera licha ya kutizama mpira lakini kwakua camera ndio fani yetu ikitokea changamoto lazima tufanye udadisi wa vitu vidogo vidogo. Wakati wa mechi ya yanga kunamuda camera zilikua zinaonekana kabisa na aina ya camera zile ni NX 100 kwa wale wahudhuriaji wa masherehe utakua unaelewa zile camera zinazotumika kushutia harusi ndizo zilikua zikitumika.

Camera zile hazitoi Quality ya HD yani ukishoot wide angle uwanjani wachezaji hutowatambua sura maana yenyewe itachukua movement tu za wachezaji.

Camera zinazotumiwa na Azam zinaitwa SONY UHD (ULTRA HIGH DEFINITION) ambazo ndizo zinazotumika na DSTV na hata EPL wanatumia hizohizo.
Mechi ya Yanga muda mwingi nilikuwa sioni mpira wa kuchezea (ball)
 
unawachkuliaje azam kwa mfano,wabongo tunapenda sana kujidharau.hivi unajua camera wanazotumia azam cost yake per camera,..sasa nikuambie africa nzima hakuna production team ina camera bora zaidi ya za azam
Hata super sport mkuu?

Ila hata hivyo ni kweli kwa Afrika hii Azam wanajitahidi sana na nina washangaa sana baadhi ya wapuuzi wanao shindaga humu kuinanga.
 
Kuna jamaa hapo juu mbishi sana sisi watu wa camera licha ya kutizama mpira lakini kwakua camera ndio fani yetu ikitokea changamoto lazima tufanye udadisi wa vitu vidogo vidogo. Wakati wa mechi ya yanga kunamuda camera zilikua zinaonekana kabisa na aina ya camera zile ni NX 100 kwa wale wahudhuriaji wa masherehe utakua unaelewa zile camera zinazotumika kushutia harusi ndizo zilikua zikitumika.

Camera zile hazitoi Quality ya HD yani ukishoot wide angle uwanjani wachezaji hutowatambua sura maana yenyewe itachukua movement tu za wachezaji.

Camera zinazotumiwa na Azam zinaitwa SONY UHD (ULTRA HIGH DEFINITION) ambazo ndizo zinazotumika na DSTV na hata EPL wanatumia hizohizo.
Kama unaniongelea mimi, nimetoa mtazamo wangu kwamba sikuwa na shida katika kuangalia mechi labda macho yangu ni mazuri. Nikasema pia kama mnalinganisha na UEFA mnakosea maana siyo kila sehemu kuna uwezekaji huo. Nyie wenyewe mnakuja kukubali kuwa hakuna anayemfikia Azam sasa mnashangaa nini?

Na unaposema hizo NX-100 siyo HD naanza kupata mashaka na ufahamu wako. Siku hizi hakuna camera ambayo siyo HD, tofauti ni kuwa camera zinazotumika kwa ajili ya TV ni broadcast cameras kwa hiyo zina vitu ambavyo camera ya kawaida haina.

Kumtoa Azam aende Tunisia au Guinea kutangaza mpira gharama zake unazijua? Kwa nini CAF wafanye hivyo wakati kuna local productions wanaweza kufanya kazi kwa gharama nafuu. Hata wao wako kwenye biashara vilevile.
 
Hata super sport mkuu?

Ila hata hivyo ni kweli kwa Afrika hii Azam wanajitahidi sana na nina washangaa sana baadhi ya wapuuzi wanao shindaga humu kuinanga.
Azam funga kazi mkuu kwa Africa.. supersport maligi ya uko majuu yeye ni broadcaster tuu ..,kaangalie ligi ana zo fanya production yeye mwenyewe supersport utamuheshim azam.
 
Back
Top Bottom