Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mi ananikera tu[emoji23][emoji23][emoji1787]Cath na kale kawigi [emoji23][emoji23]
Mungu anisamehe.
Uwezo wake mdogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi ananikera tu[emoji23][emoji23][emoji1787]Cath na kale kawigi [emoji23][emoji23]
Hii huwa siangaliiView attachment 2529941
Hawa hamuwaangaliii? [emoji23][emoji23]
Huu sasa ndio ujinga wa bongo movie.Wanawekana kwa kujuana nadhan
Inarushwa lini na lini?Inachekesha sana
Wala sijaangaliaImeanza kosa moja ila huyu kaka ni tapel anaitwa nembo
DohSaa moja usiku inaanza
Marudio asubuh sana
Ni enyeweeNaangalia sijui marudio
Kabisaaa yaaan.Umeona eeh??
Haendani kabisa na ushua
Huyu anafit kucheza uswahilini.
National geographicIla jamani azam hakuna vitu vya kuangalia ,sinema zetu chá kuangalia zahanat ya kijiji ,fundi,fungu langu nayo siifatilii,
Azam two naangalia our story na scandal,revenge ilinishinda haiish inaniboa
Azam one naangalia second chance na the unit hapo kabla kulikua na the American ilikuwa nzuri sana ghafla wakaitoa sijui iliisha hata sikuelewa hapa wakiweka movie wanaweka movie za zaman mbaya mbaya tu
Wanarudia sana movie kama Salt,mr bean uwiii ,zile Chanel mb 2 na max movie ni za zamani tu
Naipenda sana second chance ikiisha tu silipiii bora niwe naweka series naangalia
Au wenzangu kuna vitu mi sivijui
Lazima watoe harufu Kwa sababu Ili ngozi itoke lazima ipitie kuoza kwanza japo hatuwezi kuona Kwa macho yetuWanaojichubua huwa wanaharu ya ajabu sijui kwann