Tuache kujichubua

Tuache kujichubua

Kaimba vizuri sanaa
Leo nimeangalia zahanat nimecheka sana Bi ubwa anachekesha halaf mbea jamani anawaambiwa Gati na yule whitemaria kuwa kumbe mauja ni mgonjwa anatumia ARV anataka kumuua Ombeni [emoji23][emoji23]
Yaani huyu mama ni boonge la comedian


Umeaona na yule Anko Kulwa
Anamwambia yule mama nendaaa,Mbona huendi?
Nenda salama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Yaani Mauja
Na Ombeni mwenyewe sijui hata anaumwa Nini,siku zile sikuangalia alisema anaumwa nini.

Bi Star naye ananichekesha[emoji1787]

Whitemaria soon anakamatwa kwa yule kaka chizi.
 
Hivi wanafanya hayo kwa mamlaka ya nanii?

Hivi kunamwanaume aliwahi mwambia mke waku kuwa anataka awe mweupeee?
Kunamwanaume anamwambia mke wake kuwa anataka awe na tako kubwaaa?
 
Yaani huyu mama ni boonge la comedian


Umeaona na yule Anko Kulwa
Anamwambia yule mama nendaaa,Mbona huendi?
Nenda salama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Yaani Mauja
Na Ombeni mwenyewe sijui hata anaumwa Nini,siku zile sikuangalia alisema anaumwa nini.

Bi Star naye ananichekesha[emoji1787]

Whitemaria soon anakamatwa kwa yule kaka chizi.

Nimecheka sana leo kwa kweli wamejitahidi kuigiza na walivyo wambea pale wakakutwa na mwenyekit wanatoroka kazin wanavyoguna sasa ,Omben anawaangalia moyon anajiambia hawa watu wambea jamani
White maria kampendea nin yule chizi jamani,masalu na rafiki yake wanachekesha wanaulizana eti terrible maana yake nin 😂😂😂😂
Kwakweli inachekesha
Yule babu nae ana msimamo eti nendaaa weee Mbona huendi bora bi ubwa hana mambo ya uzinifu
 
Nimecheka sana leo kwa kweli wamejitahidi kuigiza na walivyo wambea pale wakakutwa na mwenyekit wanatoroka kazin wanavyoguna sasa ,Omben anawaangalia moyon anajiambia hawa watu wambea jamani
White maria kampendea nin yule chizi jamani,masalu na rafiki yake wanachekesha wanaulizana eti terrible maana yake nin [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakweli inachekesha
Yule babu nae ana msimamo eti nendaaa weee Mbona huendi bora bi ubwa hana mambo ya uzinifu
Zungu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zungu anavyomwangalia Gisela
Eti twiga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zungu anachekesha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Ila li Mwenyekiti silipendi,
Nasubiri nalo lipatwe na mabaya aisee
Anamnyanyasa mno mke wake maskini.
 
Bi Ubwa alivyokuwa anamfukuza rafiki yake Tausi pale hospital [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mara amempiga mgonjwa na kibao,
Mgonjwa alivyorudishia kwa kumkanyaga mguu
Anamwambia njoo ,amekunja ngumi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91]
 
Bi Ubwa alivyokuwa anamfukuza rafiki yake Tausi pale hospital [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mara amempiga mgonjwa na kibao,
Mgonjwa alivyorudishia kwa kumkanyaga mguu
Anamwambia njoo ,amekunja ngumi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91]

Nimecheka mno wagonjwa wanazabwa vibao [emoji23]
 
Zungu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zungu anavyomwangalia Gisela
Eti twiga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zungu anachekesha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Ila li Mwenyekiti silipendi,
Nasubiri nalo lipatwe na mabaya aisee
Anamnyanyasa mno mke wake maskini.

Mwekt anatisha lo mkewe nae taahira tu
Imeanza ya kihindi unaangalia?ka Amman nzuri sana
 
Mwekt anatisha lo mkewe nae taahira tu
Imeanza ya kihindi unaangalia?ka Amman nzuri sana
Hizo nyingine huwa siangalii
Taarifa ya habari ikiisha ndio basi Tena.

Kwa kweli mkewe taahira
Mtu anakutwanga vile unamuangalia tu aisee[emoji119]
 
Nimecheka mno wagonjwa wanazabwa vibao [emoji23]
Alivyomzabua kwa nguvu
Eti usije kunitia ulwmavu[emoji1787]
Na hivi mguu wake aliumia kwenye heka heka za mule shimoni[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizo nyingine huwa siangalii
Taarifa ya habari ikiisha ndio basi Tena.

Kwa kweli mkewe taahira
Mtu anakutwanga vile unamuangalia tu aisee[emoji119]

Eti unaonewa Upo tuuu na una kazi yako kaaa
 
Kumbe Ombeni ana Kansa[emoji3064]

Ila amepewa character ngumu aisee, kucheza na yule mama,
Kuna muda unaona kabisa anaona aibu.

Kuigiza kipaji[emoji119]
So far amefanya vizuri sana,japo ni mgeni kwenye tasnia.
 
Kumbe Ombeni ana Kansa[emoji3064]

Ila amepewa character ngumu aisee, kucheza na yule mama,
Kuna muda unaona kabisa anaona aibu.

Kuigiza kipaji[emoji119]
So far amefanya vizuri sana,japo ni mgeni kwenye tasnia.

Kumbe ,anajua kuigiza,halaf mpole niliona bi ubwa anasema mauja ni muathirika
 
Kumbe ,anajua kuigiza,halaf mpole niliona bi ubwa anasema mauja ni muathirika
Nimeona marudio ya Jana
Gata alivyopokonya kopo la dawa aliloshika
Akawa anamwambia hii si dawa za Kansa?
We umetoa wapi na wakati hapa hizi dawa hatuna.


Anajitahidi kuigiza..
Anaongea kipole sana.
Ila scene na kucheza na Mauja dah ni mtihani[emoji1787], Kuna muda anapata aibu aisee..yule mama mtu mzima kuigiza naye chumbani mtihani.


Mauja alishawahi muhadithia Tausi hiyo stori kuwa aliwahi kubakwa.
 
Ya Fundi sule huku mwisho imepoa
Inaboa..
Kama imechacha hivi.
Namuona tu Peter na yule msichana wake.
 
Nimeona marudio ya Jana
Gata alivyopokonya kopo la dawa aliloshika
Akawa anamwambia hii si dawa za Kansa?
We umetoa wapi na wakati hapa hizi dawa hatuna.


Anajitahidi kuigiza..
Anaongea kipole sana.
Ila scene na kucheza na Mauja dah ni mtihani[emoji1787], Kuna muda anapata aibu aisee..yule mama mtu mzima kuigiza naye chumbani mtihani.


Mauja alishawahi muhadithia Tausi hiyo stori kuwa aliwahi kubakwa.

Nami nimeona leo jana usiku walikata umeme
 
Back
Top Bottom