Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kudaadek... Eti oooh tumewabeba... Fucken jibeben na nyie... Yanaga ni gundu tu Tena ni bahat hatukuwa na wale wachezaj watat wa kigenSawa manara, ila mpira unadunda
Mwakani mpambane sasa muende club bingwaKudaadek... Eti oooh tumewabeba... Fucken jibeben na nyie... Yanaga ni gundu tu Tena ni bahat hatukuwa na wale wachezaj watat wa kigen
Haa HaaMwakani mpambane sasa muende club bingwa
Bila shaka inawezekana... Wale akina sakho , canoute , banda ni wakawaida sana , Usajili wa darosa ni WA kizembe , infact cocha alikuwa Sven na kikosi chake ndo mlitamba nacho na Sasa huyu kocha darosa kashindwa yeye usajili... Unaposajiri mchezaji hakikisha ni fundi Zaid ya Zaid Kama ni WA kawaida basi awe tough and strongMwakani mpambane sasa muende club bingwa
Ur getting it out of context mkuu. Yeye anamlilia Mungu Kwa dhulma aliyo fanyiwa na anayo endelea kufanyiwa na Makolo ...Amlilie tena ili Yanga icheze makundi...
Sawa TakadiniUr getting it out of context mkuu. Yeye anamlilia Mungu Kwa dhulma aliyo fanyiwa na anayo endelea kufanyiwa na Makolo ...
Tajiri kajidhulumu Pesa zangu namshitakia Mungu Kwa dhulma niliyo fanyiwa. Mungu atatoa adhabu kwa huyo tajiri Na sio kunipa Mimi utajiri nilio dhulumiwa
Itanilazimu kufanya Tena Kazi Kwa bidii kama nilivyo fanya awali ili niweze kuukwaa Tena utajiri ndio utaratibu upo hivyo..
Hata huo Moto hawatauona kwani macho yao yatakuwa tayari yameshapofuka!Kuna watu Dua zao huwaga Ni kun faya kun hasa hasa pale Haki inapokuwa upande wao...
Nabado!!! Kufa hamfi ila cha Moto mtakiona..
Darosa hajusqijili bali aliyesajili alikuwa HnsPopoeBila shaka inawezekana... Wale akina sakho , canoute , banda ni wakawaida sana , Usajili wa darosa ni WA kizembe , infact cocha alikuwa Sven na kikosi chake ndo mlitamba nacho na Sasa huyu kocha darosa kashindwa yeye usajili... Unaposajiri mchezaji hakikisha ni fundi Zaid ya Zaid Kama ni WA kawaida basi awe tough and strong
Kuna watu Dua zao huwaga Ni kun faya kun hasa hasa pale Haki inapokuwa upande wao...
Nabado!!! Kufa hamfi ila cha Moto mtakiona..
Mkuu JoJiPoJi za siku nyingiMbona
Mna
Teseka
Sana
Kwani Manara ni Kocha.Njema Kiongozi