Tuache kuuma Uma maneno, Manara kamlilia Mungu wake Na Mungu amemjibu

Tuache kuuma Uma maneno, Manara kamlilia Mungu wake Na Mungu amemjibu

simba tunamchukulia poa manara bt kuna time itafika tutatamani tumuombe samahani ila aibu itatushika, kuudharau mchango wake na kumbambikia kosa la usaliti litaitafuna team yetu mpaka basi, tuna team nzuri ila manung'uniko ya manara yanaharibu kila kitu japo wengi kwa sasa hatutakubali bt muda utatujibu.
 
Simba ya Sasa imepwaya. ..hayo ya dua za Manara ni ngonjera tu.
 
Ur getting it out of context mkuu. Yeye anamlilia Mungu Kwa dhulma aliyo fanyiwa na anayo endelea kufanyiwa na Makolo ...

Tajiri kajidhulumu Pesa zangu namshitakia Mungu Kwa dhulma niliyo fanyiwa. Mungu atatoa adhabu kwa huyo tajiri Na sio kunipa Mimi utajiri nilio dhulumiwa
Itanilazimu kufanya Tena Kazi Kwa bidii kama nilivyo fanya awali ili niweze kuukwaa Tena utajiri ndio utaratibu upo hivyo..
Mungu hana huo muda,
Ukiwa mzembe unapata stahiki yako
 
simba tunamchukulia poa manara bt kuna time itafika tutatamani tumuombe samahani ila aibu itatushika, kuudharau mchango wake na kumbambikia kosa la usaliti litaitafuna team yetu mpaka basi, tuna team nzuri ila manung'uniko ya manara yanaharibu kila kitu japo wengi kwa sasa hatutakubali bt muda utatujibu.
Jana kila mmoja angewajibika kama match ya NKANA hapa dar,
Wala usingemtaja huyo Manara..
Wachezaji walirelax, hawakua na morali...
 
Jana kila mmoja angewajibika kama match ya NKANA hapa dar,
Wala usingemtaja huyo Manara..
Wachezaji walirelax, hawakua na morali...
hiyo ndo karma, kama hujui inafanyaje kazi itafute ujifunze
 
na utopolo nao wanalaana ya Nani[emoji16][emoji16][emoji16].tena nje ndani.
2-0.
Simba 3-3.
Matokeo ya Simba hayaumizi.
Kuna mtu kacheza CAF hata droo kashindwa kupata
 
Bila shaka inawezekana... Wale akina sakho , canoute , banda ni wakawaida sana , Usajili wa darosa ni WA kizembe , infact cocha alikuwa Sven na kikosi chake ndo mlitamba nacho na Sasa huyu kocha darosa kashindwa yeye usajili... Unaposajiri mchezaji hakikisha ni fundi Zaid ya Zaid Kama ni WA kawaida basi awe tough and strong
Uchebe naye aliwabeba
 
simba tunamchukulia poa manara bt kuna time itafika tutatamani tumuombe samahani ila aibu itatushika, kuudharau mchango wake na kumbambikia kosa la usaliti litaitafuna team yetu mpaka basi, tuna team nzuri ila manung'uniko ya manara yanaharibu kila kitu japo wengi kwa sasa hatutakubali bt muda utatujibu.
Mchezaji wenu yupo Kama Diwani wa zamani wa Msigani Dsm ,ana shingo Kama wale ndege wa ziwa Victoria wanaitwa Bwana Afya.
 
Huyo mungu wake alikua wapi walipocheza na Rivers united?au hakumlilia?
 
Kabisa kabisa.
Sasa inabid Azam wapate wachezaji wazuri wengi ili Simba ikabebe kikosi chote Kama ilivofanya ule msimu, na wakiendelea hivi Kuna walakin hata nafasi ya pili ikawa ngumu sana na Simba ikitoka klab bingwa na shirikisho hata nidhamu unakuwa chini inapokutana na Tim ndogo....Kuna mechi niliangalia msimu uliopita zilikuwa nyepes kwa Simba kwa kuwa waliheshimiwa tu na wapinzan lakn kiuwezo Simba alikuwa chini kwa baadh ya game, yanga alidharauliwa na kila gem ikawa ngumu kwao japo kuwa Bora Zaid, Simba inahitaji Zaid viungo kuliko washambuliaji
 
Back
Top Bottom