Ndiyo maanake, kikosi chenyewe unakionajeMwakani mpambane sasa muende club bingwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maanake, kikosi chenyewe unakionajeMwakani mpambane sasa muende club bingwa
Hakuna jipyaNdiyo maanake, kikosi chenyewe unakionaje
Suburi vipigo mfululizo ndiyo utaamini kuwa jipya lipoHakuna jipya
Mungu hana huo muda,Ur getting it out of context mkuu. Yeye anamlilia Mungu Kwa dhulma aliyo fanyiwa na anayo endelea kufanyiwa na Makolo ...
Tajiri kajidhulumu Pesa zangu namshitakia Mungu Kwa dhulma niliyo fanyiwa. Mungu atatoa adhabu kwa huyo tajiri Na sio kunipa Mimi utajiri nilio dhulumiwa
Itanilazimu kufanya Tena Kazi Kwa bidii kama nilivyo fanya awali ili niweze kuukwaa Tena utajiri ndio utaratibu upo hivyo..
Jana kila mmoja angewajibika kama match ya NKANA hapa dar,simba tunamchukulia poa manara bt kuna time itafika tutatamani tumuombe samahani ila aibu itatushika, kuudharau mchango wake na kumbambikia kosa la usaliti litaitafuna team yetu mpaka basi, tuna team nzuri ila manung'uniko ya manara yanaharibu kila kitu japo wengi kwa sasa hatutakubali bt muda utatujibu.
hiyo ndo karma, kama hujui inafanyaje kazi itafute ujifunzeJana kila mmoja angewajibika kama match ya NKANA hapa dar,
Wala usingemtaja huyo Manara..
Wachezaji walirelax, hawakua na morali...
Hakuna kitu kama hichohiyo ndo karma, kama hujui inafanyaje kazi itafute ujifunze
Mafisango si mlikula rambirambi nyinyi,si mlikula!Na simba alipotolewa na Ud Songo nani alikuwa amemlilia mungu wake??
Uchebe naye aliwabebaBila shaka inawezekana... Wale akina sakho , canoute , banda ni wakawaida sana , Usajili wa darosa ni WA kizembe , infact cocha alikuwa Sven na kikosi chake ndo mlitamba nacho na Sasa huyu kocha darosa kashindwa yeye usajili... Unaposajiri mchezaji hakikisha ni fundi Zaid ya Zaid Kama ni WA kawaida basi awe tough and strong
Mchezaji wenu yupo Kama Diwani wa zamani wa Msigani Dsm ,ana shingo Kama wale ndege wa ziwa Victoria wanaitwa Bwana Afya.simba tunamchukulia poa manara bt kuna time itafika tutatamani tumuombe samahani ila aibu itatushika, kuudharau mchango wake na kumbambikia kosa la usaliti litaitafuna team yetu mpaka basi, tuna team nzuri ila manung'uniko ya manara yanaharibu kila kitu japo wengi kwa sasa hatutakubali bt muda utatujibu.
MchezJ Kama sio fundi saaana basi awe tafuUchebe naye aliwabeba
Mnategemea morali ijengwe na Mwijaku na kale ka Tomboy?Jana kila mmoja angewajibika kama match ya NKANA hapa dar,
Wala usingemtaja huyo Manara..
Wachezaji walirelax, hawakua na morali...
Wale wachezaji bado wadogo Sana,wanahitaji kuendelezwa Kwanza kabla ya kupewa majukumu makubwa,akina Wawa nao umri umeenda .MchezJ Kama sio fundi saaana basi awe tafu
Beki ya Simba ni Mohamed huseein tu Hawa wengine fagiaWale wachezaji bado wadogo Sana,wanahitaji kuendelezwa Kwanza kabla ya kupewa majukumu makubwa,akina Wawa nao umri umeenda .
Kabisa kabisa.Beki ya Simba ni Mohamed huseein tu Hawa wengine fagia
Sasa inabid Azam wapate wachezaji wazuri wengi ili Simba ikabebe kikosi chote Kama ilivofanya ule msimu, na wakiendelea hivi Kuna walakin hata nafasi ya pili ikawa ngumu sana na Simba ikitoka klab bingwa na shirikisho hata nidhamu unakuwa chini inapokutana na Tim ndogo....Kuna mechi niliangalia msimu uliopita zilikuwa nyepes kwa Simba kwa kuwa waliheshimiwa tu na wapinzan lakn kiuwezo Simba alikuwa chini kwa baadh ya game, yanga alidharauliwa na kila gem ikawa ngumu kwao japo kuwa Bora Zaid, Simba inahitaji Zaid viungo kuliko washambuliajiKabisa kabisa.