Tuache kuuma Uma maneno, Manara kamlilia Mungu wake Na Mungu amemjibu

Ile we jamaa mada zako nyingi za ushirikina,dizaini unaamini sana hizi mambo!
 
Kwahiyo yanga kutolewa na rivers united nani kamlilia Mungu.?
 
na utopolo nao wanalaana ya Nani[emoji16][emoji16][emoji16].tena nje ndani.
2-0.
Simba 3-3.
Matokeo ya Simba hayaumizi.
Kuna mtu kacheza CAF hata droo kashindwa kupata
Watuambie kwahiyo yanga aliyemlilia mungu mpaka wakashindwa kupata hata sare champions league ni Nugaz au Dismass Ten
 
Yaani yanga msimu uliopita ilikuwa bora zaidi ya simba duùuh kazi kweli kweli nchi hii
 
Yaani yanga msimu uliopita ilikuwa bora zaidi ya simba duùuh kazi kweli kweli nchi hii
Eee mzee Kuna game Simba alishimda sabab ya heshima .. Sasa Kama watu hata uwanjan wanaingia kinyonge SI ndio maana wanafungwa
 
Kuna watu Dua zao huwaga Ni kun faya kun hasa hasa pale Haki inapokuwa upande wao.

Na bado!!! Kufa hamfi ila cha Moto mtakiona..
Jitahidi kuficha ujinga wako mdau
 
Kwahiyo siku simba ikitapoanza kufanya vizuri hiyo dua itakua imeisha nguvu.Hebu acheni Kumuhusisha Mungu na vitu vyakijinga.Simba ni Timu ya kawaida sana inayoweza kukutwa na matokeo mabovu wakati wowote.Hakuna cha dua wala kitu gani.
 
Kuna watu Dua zao huwaga Ni kun faya kun hasa hasa pale Haki inapokuwa upande wao.

Na bado!!! Kufa hamfi ila cha Moto mtakiona..
Manara huyu huyu aliyefanziwa na Mzee Tozi asikilizwe na Mungu? Masihara hayo
 
Well said mkuu
 
Kwahiyo siku simba ikitapoanza kufanya vizuri hiyo dua itakua imeisha nguvu.Hebu acheni Kumuhusisha Mungu na vitu vyakijinga.Simba ni Timu ya kawaida sana inayoweza kukutwa na matokeo mabovu wakati wowote.Hakuna cha dua wala kitu gani.
magumu inayopitia ndo kujibiwa ya dua, so after malipo dua haizuii kufanya vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…