Tuache porojo, hii ndiyo sababu ya kwanini Taifa Stars imepoteza. We're exactly where we belong

Tuache porojo, hii ndiyo sababu ya kwanini Taifa Stars imepoteza. We're exactly where we belong

Chige

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2008
Posts
13,495
Reaction score
29,872
Mengi yanasemwa ya kwanini tumekula 3-0 dhidi ya DRC, lakini kwangu naona ni porojo tu!

Hebu twendeni taratibu, hatua kwa hatua.

Wale Wakongo waliopo Yanga na Simba, kwa viwango vyao vile vile wanavyoonesha sasa... je, kama wangekuwa Watanzania, ni wangapi wangekosekana kwenye kikosi cha Taifa Stars?

Yaani, hapa kuna Henock Inonga, pale kuna Chris Mugalu!

Kisha tunahamia kwa Wananchi. Pale kuna Yanick Bangala, huku kuna Djuma Shaaban, Fiston Mayele, Mukoko Tomombe, mara unakutana na Jesus Moloko, bila kumsahau Herieth Makambo!!

Je, endapo hao wote wangekuwa ni Watanzania, kwa viwango hivi hivi walivyo navyo sasa, ni wangapi wangekosekana kwenye kikosi cha Taifa Stars.

In contrary, ni wangapi miongoni mwao wapo kwenye kikosi cha DRC kutokana na Ukongo wao?!

Hebu tupanue kikosi.

Hapa kuna Khalid Aucho na Thadeo Lwanga, pale kuna Medi Kagere na wazee wenzake akina Joash Onyango, Serge Wawa na Saido Ntibazonkiza! Ongeza na Larry Bwalya, Bernard Morrison, Yacouba Sogne, bila kumsahau Prince Dube na Idris Mbombo... wengine ongeza mwenyewe.

Tuseme wote hao wangekuwa Watanzania, ni wangapi wangekosekana kwenye kikosi cha Taifa Stars, na kama wangekuwa ni Wakongo, ni wangapi miongoni mwao wangeweza angalau kuitwa kwenye kikosi cha DRC?

Hivi unamwacha nani kwa mfano kutoka kwenye kikosi cha DRC ili umwingize our Ball Scorer aka John Bocco ili akashirikiane na wazee wenzake waliopo kwenye kikosi cha DRC?

Hivi Makolo sijui mnanielewa!
 
Upo sahihi...uwezo wetu umeishia pale...ni bora tuwekeze zaidi kwenye soka la vijana kwa ajili ya kesho.
Exactly...

Mafanikio ya soka hayaji kirahisi rahisi tu!! As long as hatuna advantage ay nchi zingine ambazo wana diaspora kibao waliozaliwa na kucheza soka Ulaya, huku wakichezea timu za mataifa yao ya asili, option pekee tuliyobaki nayo ni kuwekeza kwenye soka la vijana!
 
Makolo matako yako! Yale maboko waliotoa mabeki wa utopolo eti mnawaita vijana hukuyaona! Makolo ya nyoko!
Ukitukana inasaidia nin?

Hatuna team huo ndio ukweli ni bora kuanza upya na vijana wadogo.

Hao akina Nondo, job, nova,fei, hata kipa yule wa biashara mdogo,calvin,amme , manyama na wengine.

Wazee wapumzishwe
 
Mengi yanasemwa ya kwanini tumekula 3-0 dhidi ya DRC, lakini kwangu naona ni porojo tu!

Hebu twendeni taratibu... hatua kwa hatua!...
HII NDO FIRST ELEVEN ya DRC Congo iliyocheza dhidi ya Taifa Stars:

[emoji732] Kiassumba - Servette (Switzerland)
[emoji732] Bakambu - Beijing FC (China)
[emoji732] Kakuta - Chelsea u20
[emoji732] Bastien - Standard Liege (Belgium) we
[emoji732] Mbokani - Former Norwich City Player
[emoji732] Akolo - Amiens (Fance)
[emoji732] Mbemba - Anderletch (Belgium)
[emoji732] Ngonda - Fc Riga (Latvia)
[emoji732] Moukoko - Diffaa (Moroco)
[emoji732]Idumba - Cape Town FC (SA)
[emoji732]Luyindama - Galatasary (Uturuki)
[emoji732] Kayembe - Eupen (Belgium)
[emoji732]Bolasiye - Rizespor (Turkey)
[emoji732]Jackson Muleka - Standard Liege (Belgium)
[emoji732] Fasika - Cape Town FC (SA)

[emoji3582]HAKUNA MCHEZAJI WA AS VITA WALA TP MAZEMBE.....!!!!
 
Mengi yanasemwa ya kwanini tumekula 3-0 dhidi ya DRC, lakini kwangu naona ni porojo tu!

Hebu twendeni taratibu... hatua kwa hatua!...
HII NDO FIRST ELEVEN ya DRC Congo iliyocheza dhidi ya Taifa Stars:

⛔ Kiassumba - Servette (Switzerland)
⛔ Bakambu - Beijing FC (China)
⛔ Kakuta - Chelsea u20
⛔ Bastien - Standard Liege (Belgium) we
⛔ Mbokani - Former Norwich City Player
⛔ Akolo - Amiens (Fance)
⛔ Mbemba - Anderletch (Belgium)
⛔ Ngonda - Fc Riga (Latvia)
⛔ Moukoko - Diffaa (Moroco)
⛔Idumba - Cape Town FC (SA)
⛔Luyindama - Galatasary (Uturuki)
⛔ Kayembe - Eupen (Belgium)
⛔Bolasiye - Rizespor (Turkey)
⛔Jackson Muleka - Standard Liege (Belgium)
⛔ Fasika - Cape Town FC (SA)

✖️HAKUNA MCHEZAJI WA AS VITA WALA TP MAZEMBE.....
 
Yote hayo matakataka ndiyo maana hayapo National team
 
Wewe ni mke wake?
Usitumie kichwa kama mfuko wa kuhifadhia meno, humo ndani yake kuna ubongo jitahidi
uutumie bado hujachelewa
IMG_20211112_073049.jpg
 
Mengi yanasemwa ya kwanini tumekula 3-0 dhidi ya DRC, lakini kwangu naona ni porojo tu!

Hebu twendeni taratibu... hatua kwa hatua!!

Wale Wakongo waliopo Yanga na Simba, kwa viwango vyao vile vile wanavyoonesha sasa... je, kama wangekuwa Watanzania, ni wangapi wangekosekana kwenye kikosi cha Taifa Stars?!

Yaani, hapa kuna Henock Inonga, pale kuna Chris Mugalu!!

Kisha tunahamia kwa Wananchi... pale kuna Yanick Bangala, huku kuna Djuma Shaaban, Fiston Mayele, Mukoko Tomombe, mara unakutana na Jesus Moloko, bila kumsahau Herieth Makambo!!

Je, endapo hao wote wangekuwa ni Watanzania, kwa viwango hivi hivi walivyo navyo sasa, ni wangapi wangekosekana kwenye kikosi cha Taifa Stars!!

In contrary, ni wangapi miongoni mwao wapo kwenye kikosi cha DRC kutokana na Ukongo wao?!

Hebu tupanue kikosi...

Hapa kuna Khalid Aucho na Thadeo Lwanga, pale kuna Medi Kagere na wazee wenzake akina Joash Onyango, Serge Wawa na Saido Ntibazonkiza! Ongeza na Larry Bwalya, Bernard Morrison, Yacouba Sogne, bila kumsahau Prince Dube na Idris Mbombo... wengine ongeza mwenyewe!!

Tuseme wote hao wangekuwa Watanzania, ni wangapi wangekosekana kwenye kikosi cha Taifa Stars, na kama wangekuwa ni Wakongo, ni wangapi miongoni mwao wangeweza angalau kuitwa kwenye kikosi cha DRC?

Hivi unamwacha nani kwa mfano kutoka kwenye kikosi cha DRC ili umwingize our Ball Scorer aka John Bocco ili akashirikiane na wazee wenzake waliopo kwenye kikosi cha DRC?!

Hivi Makolo sijui mnanielewa!!
Goli 3 tumewaonea ZAIRE, tulistahili kupigwa goli 5 kwa uchache.

Timu[Taifa Stars] imekuwa chama cha SIASA.
Wanasiasa badala ya kuhamasisha ligi bora yenye wadhamaini hasa daraja la kwanza na la pili tupate ligi kuu bora wao anahamasisha kuzikazia simba na yanga, wanahamasisha mechi za mwisho, wachezaji hawana mazoezi na hawapendi mazoezi huku kila dabi mara wameruka ukuta, wamepita lango lisilo lao, mara dawa za mzee wa Bagamoyo, tumevuna tulichopanda na tutaendelea hivi hivi mpaka siku tukitoka kwenye usingizi wa pono.
 
Back
Top Bottom