Tuache porojo, hii ndiyo sababu ya kwanini Taifa Stars imepoteza. We're exactly where we belong

Tuache porojo, hii ndiyo sababu ya kwanini Taifa Stars imepoteza. We're exactly where we belong

Tatizo sio uzee. Mchezaji mzee anaecheza Genk au West ham ni bora kuliko kijana anaecheza Yanga, biashara. Hao vijana kama wataendelea kucheza ligi yetu usitegemee chochote cha maana kwa team ya taifa.
Ni kweli yule Mbokani aliyepiga pasi ya goli la kwanza ana miaka 35...ukongwe wake na timu alizopita vimesaidia timu kupata ushindi.
 
Tatizo sio uzee. Mchezaji mzee anaecheza Genk au West ham ni bora kuliko kijana anaecheza Yanga, biashara. Hao vijana kama wataendelea kucheza ligi yetu usitegemee chochote cha maana kwa team ya taifa.
Waingereza karibia wote wanacheza huko, lakini likija suala la Kombe la Kimataifa bado ni mediocre
 
Ukitukana inasaidia nin?
Hatuna team huo ndio ukweli ni bora kuanza upya na vijana wadogo
Hao akina Nondo, job, nova,fei, hata kipa yule wa biashara mdogo,calvin,amme , manyama na wengine
Wazee wapumzishwe

Na hawa pia utakuja kuwakataa kwasababu pia hawana uwezo wa kukatisha kwenye Msitu Mnene wa Miamba ya Afrika Magharibi na Kaskazini kwenda Kombe la Dunia.
Au unataka kuniambia Job akawakabe kina Mane, Salah?
Au Feitoto akacheze na kina Keita?
 
Miaka ya nyuma tulileta mwekezaji Mr. Schukraft business tycoon kwenye sports na entertainment. Tukawatafuta CCM ili bwana yule afanye uwekezaji wa nguvu kwenye viwanja ambavyo kimsingi wamevihodhi. Lakini wapi bwana watu wale rangi ya kijani. Jinga kabisa!
 
Waingereza karibia wote wanacheza huko, lakini likija suala la Kombe la Kimataifa bado ni mediocre
Wewe sio shabiki wa mpira.
Uingereza imetoka kucheza fainal euro 2020 na moja ya njia waliopita ni kuifunga german 2-0 halafu unaita wachezaji wake ni mediocre?
 
Wewe sio shabiki wa mpira.
Uingereza imetoka kucheza fainal euro 2020 na moja ya njia waliopita ni kuifunga german 2-0 halafu unaita wachezaji wake ni mediocre?
Hivi baada ya kushinda World Cup 1966 England ilishashinda Kombe gani jingine ?

Kama kipimo ni ligi wachezaji wanazocheza basi England ingekuwa na Makombe ya Dunia sio mbali sana na Brazil na Germany na sio moja tu tena walilolipata wakiwa nyumbani kwao.... Na hio Euro ya 2020 ndio mara yao ya kwanza kufuki hata fainali...

Wakati kina Greece walishawahi kuchukua hilo Kombe.... Kwahio techincally na statistically huko unakosema wachezaji wengi wakicheza sio guarantee ya kufanya vizuri (unaweza ukawa na individuals with skills lakini team disintegrated au an average skill players lakini team working as a unit)....
 
Hivi baada ya kushinda World Cup 1966 England ilishashinda Kombe gani jingine ?

Kama kipimo ni ligi wachezaji wanazocheza basi England ingekuwa na Makombe ya Dunia sio mbali sana na Brazil na Germany na sio moja tu tena walilolipata wakiwa nyumbani kwao.... Na hio Euro ya 2020 ndio mara yao ya kwanza kufuki hata fainali...

Wakati kina Greece walishawahi kuchukua hilo Kombe.... Kwahio techincally na statistically huko unakosema wachezaji wengi wakicheza sio guarantee ya kufanya vizuri (unaweza ukawa na individuals with skills lakini team disintegrated au an average skill players lakini team working as a unit)....
Kwanza hakuna popote niliposema mchezaji bora lazima acheze uingereza. Wewe umeinukuu west ham tu wakati mimi kwenye hoja yangu nimeitaja west ham na Genk. Ligi za ulaya zinakaribiana ubora kwa maana ya miundombinu na mambo mengine ya kiufundi. Kwa hiyo mchezaji anaweza akawa anacheza ligi isiyo maarufu kama Ureno lakini akawa bora kuliko anaecheza ligi bora kama spain au epl. Kwa hiyo selection ya wachezaji wa kuunda timu ya taifa kwanza inaangaliwa ligi wanazo cheza. Hakuna kocha atakaemuacha mchezaji anaekaa bench everton halafu eti amchukue mchezaji kutoka yanga au simba.

.
 
Kwanza hakuna popote niliposema mchezaji bora lazima acheze uingereza. Wewe umeinukuu west ham tu wakati mimi kwenye hoja yangu nimeitaja west ham na Genk. Ligi za ulaya zinakaribiana ubora kwa maana ya miundombinu na mambo mengine ya kiufundi. Kwa hiyo mchezaji anaweza akawa anacheza ligi isiyo maarufu kama Ureno lakini akawa bora kuliko anaecheza ligi bora kama spain au epl. Kwa hiyo selection ya wachezaji wa kuunda timu ya taifa kwanza inaangaliwa ligi wanazo cheza. Hakuna kocha atakaemuacha mchezaji anaekaa bench everton halafu eti amchukue mchezaji kutoka yanga au simba.
Kwahio Kocha atachagua mtu anayekaa bench (ambaye hajui performance yake sababu hachezi wala hamuoni ) na kuona anafaa kuliko mtu ambaye anacheza kila wiki na kuweza kujua match fitness yake ?

Hao makocha ni wanaofanya kazi kwa mazoea..., (exposure na experience ina manufaa yake) kwahio ukiwa na watu wenye exposure na experience kwenye ligi kubwa ni advantage ingawa advantage hio lazima iendane na match fitness..., huwezi kuniambia benchi la kaligi ka huko Greece ni bora kuliko mtu ambaye anacheza week in week out Simba au Yanga na ana uzoefu na kujuana na wenzake ambao anacheza nao kila siku. Issue ni mfumo na Kocha inabidi kujenga timu kulingana na strengths za hazina aliyonayo na mara nyingine kujuana na kucheza kwa pamoja kunasaidia kuliko prima donnas wanaotoka ligi tofauti na kujiona kwamba wao ndio wanajua kuliko wengine
 
Kwahio Kocha atachagua mtu anayekaa bench (ambaye hajui performance yake sababu hachezi wala hamuoni ) na kuona anafaa kuliko mtu ambaye anacheza kila wiki na kuweza kujua match fitness yake ?

Hao makocha ni wanaofanya kazi kwa mazoea..., (exposure na experience ina manufaa yake) kwahio ukiwa na watu wenye exposure na experience kwenye ligi kubwa ni advantage ingawa advantage hio lazima iendane na match fitness..., huwezi kuniambia benchi la kaligi ka huko Greece ni bora kuliko mtu ambaye anacheza week in week out Simba au Yanga na ana uzoefu na kujuana na wenzake ambao anacheza nao kila siku. Issue ni mfumo na Kocha inabidi kujenga timu kulingana na strengths za hazina aliyonayo na mara nyingine kujuana na kucheza kwa pamoja kunasaidia kuliko prima donnas wanaotoka ligi tofauti na kujiona kwamba wao ndio wanajua kuliko wengine
Match fitness inaangaliwa baina ya wachezaji wanaocheza ligi linganifu.Mchezaji anaekaa bench Olympiacos (Greece league hii ni league kubwa nashangaa unaita ka league) ana fitness yakutosha kuliko mchezaji anaecheza mara kwa mara yanga au simba. Narudia tena hakuna kocha anaeweza kumuacha mkaa benchi everton, Brighton , CSk Moscow, Olympiacos au Getafe eti amchague anaecheza mara kwa mara simba au yanga, hayupo huyo kocha maana fitness anayopata akiwa kwenye training ni zaidi ya anaecheza mara kwa mara simba au yanga.
Ndio maana akina Elneny au Choup Moting wanaitwa timu zao za taifa Egypt na Cameroon pamoja na kukaa benchi kwenye vilabu vyao.

Pia ni sawa sawa na haiwezekani kupatikana timu bora ya taifa kwa wachezaji wanaocheza ligi isiyo bora hata kama wanajuana. Brazil au Argentina sio wajinga timu zao za taifa kuziunda kwa wachezaji asilimia kubwa kutoka ulaya.
 
Hapa mzee Baba alikuwa sahihi sana
,tunapaswa kuchukua wanajeshi
 
Exactly...

Mafanikio ya soka hayaji kirahisi rahisi tu!! As long as hatuna advantage ay nchi zingine ambazo wana diaspora kibao waliozaliwa na kucheza soka Ulaya, huku wakichezea timu za mataifa yao ya asili, option pekee tuliyobaki nayo ni kuwekeza kwenye soka la vijana!
Huu sio utamaduni wetu.
 
Back
Top Bottom