Tuache siasa ajali ya ndege ya Precision Air

Tuache siasa ajali ya ndege ya Precision Air

Inasikitisha sana kuona wasomi wengi wamejikita kwenye ku-identify watu waliosaidia/waliookoa abiria 24 waliokuwa kwenye ndege ya Precision Air iliyofondoka Ziwa Victoria siku kadhaa zilizopita.

Binafsi naamini kwamba hakuna aliyeokoa abiria hao Kwa ajili ya spotlight, ni tendo la kibinadamu tu ambalo Sidhani kama kuna yeyote humu angeishia kutazama ajali hiyo na yuko kwenye nafasi ya kusaidia.

Hii trend ya kuwa na heroes waliookoa watu ni ka-mchezo tu Serikali inacheza ili kuwatoa watu kwenye reli ili wasijadili mambo ya msingi ambayo kama sauti zingepazwa vyema, vibarua vya baadhi ya viongozi vingeota mbawa.

Binafsi nilitegemea kuona maandiko na mijadala ya kutosha yakimsuta yule Mtu aliyezuia kuvunjwa kwa kioo cha ndege kwani kama ingefanyika hivyo, huenda idadi ya waliookolewa ingezidi 24.

Nilitegemea kuona sauti zikipazwa ili viongozi wanaoguswa moja Kwa moja na uokozi wawajibishwe. Ngege haikuanguka katikati ya Ziwa, pale ilipoanguka sio mbali sana na Bandari, Airport, Makazi ya Mkuu wa Mkoa, n.k. Kushindwa kwao kufika Kwa wakati na kuokoa watu ndo taarifa iliyopaswa kutawala maandiko mengi ili wawajibishwe.

Inaumiza sana kuona Kwa siku chache zilizopita watu wanawekeza nguvu nyingi kuibua watu waliosaidia ili tu wasaidiwe au watambulike..it makes no sense!! They played their part as human beings because they were in a position to. Kindness should neither be for recognition nor for monetary reasons.

Hii ni sinema inayochezwa na baadhi ya wenye mamlaka ili tusijafili adhabu stahiki na CHANZO kilichopelekea vifo vya watu 19 kizembe.

The spotlight game ain't worth playing, let's focus all our efforts on making those responsible, pay for their wrong misdeeds.

Naamini waliopoteza ndugu zao wangependa kuona walioshindwa kufanya kazi zao kwenye usaidizi wakiwajibishwa, TUACHE yada-yada na tushike mambo ya msingi ili haki itedeke!
Kuna mtu mwenye picha ya mlango wa dharura wa ndege ya Precision air na jinsi unavyofunguka Ili tujue kama Kweli KASIA liliweza kufungua au ni waliokuwa ndani ya ndege ndo waliufungua!!!!!!

Maana mvuvi anadai alitumia KASIA kufungua,wakat huo huo Air hostess mdada majeruhi amedai kufungua mlango!!!!

Je, Majaliwa mvuvi nshomile ni mkweli kama Majaliwa wa Ruagwaaa??!!!

Hoja hiyo ametoa Hansbert Ngurumo.!!!
 
Kuna mtu mwenye picha ya mlango wa dharura wa ndege ya Precision air na jinsi unavyofunguka Ili tujue kama Kweli KASIA liliweza kufungua au ni waliokuwa ndani ya ndege ndo waliufungua!!!!!!

Maana mvuvi anadai alitumia KASIA kufungua,wakat huo huo Air hostess mdada majeruhi amedai kufungua mlango!!!!

Je, Majaliwa mvuvi nshomile ni mkweli kama Majaliwa wa Ruagwaaa??!!!

Hoja hiyo ametoa Hansbert Ngurumo.!!!
Majaliwa wote waongo yaani mwiko ufungue mrango real
 
Twende mbele na kurudi nyuma.

Aliyempeleka Majaliwa eneo la tukio na kusaidia manusura 24, huyohuyo anaweza kumsaidia Majaliwa asizamishwe na HILA za wabunge wenzie bungeni.
 
Inasikitisha sana kuona wasomi wengi wamejikita kwenye ku-identify watu waliosaidia/waliookoa abiria 24 waliokuwa kwenye ndege ya Precision Air iliyofondoka Ziwa Victoria siku kadhaa zilizopita.

Binafsi naamini kwamba hakuna aliyeokoa abiria hao Kwa ajili ya spotlight, ni tendo la kibinadamu tu ambalo Sidhani kama kuna yeyote humu angeishia kutazama ajali hiyo na yuko kwenye nafasi ya kusaidia.

Hii trend ya kuwa na heroes waliookoa watu ni ka-mchezo tu Serikali inacheza ili kuwatoa watu kwenye reli ili wasijadili mambo ya msingi ambayo kama sauti zingepazwa vyema, vibarua vya baadhi ya viongozi vingeota mbawa.

Binafsi nilitegemea kuona maandiko na mijadala ya kutosha yakimsuta yule Mtu aliyezuia kuvunjwa kwa kioo cha ndege kwani kama ingefanyika hivyo, huenda idadi ya waliookolewa ingezidi 24.

Nilitegemea kuona sauti zikipazwa ili viongozi wanaoguswa moja Kwa moja na uokozi wawajibishwe. Ngege haikuanguka katikati ya Ziwa, pale ilipoanguka sio mbali sana na Bandari, Airport, Makazi ya Mkuu wa Mkoa, n.k. Kushindwa kwao kufika Kwa wakati na kuokoa watu ndo taarifa iliyopaswa kutawala maandiko mengi ili wawajibishwe.

Inaumiza sana kuona Kwa siku chache zilizopita watu wanawekeza nguvu nyingi kuibua watu waliosaidia ili tu wasaidiwe au watambulike..it makes no sense!! They played their part as human beings because they were in a position to. Kindness should neither be for recognition nor for monetary reasons.

Hii ni sinema inayochezwa na baadhi ya wenye mamlaka ili tusijafili adhabu stahiki na CHANZO kilichopelekea vifo vya watu 19 kizembe.

The spotlight game ain't worth playing, let's focus all our efforts on making those responsible, pay for their wrong misdeeds.

Naamini waliopoteza ndugu zao wangependa kuona walioshindwa kufanya kazi zao kwenye usaidizi wakiwajibishwa, TUACHE yada-yada na tushike mambo ya msingi ili haki itedeke!
Wewe unaonyesha kuwa na chuki na serikali. Na haya ni makosa yako yaliyoanzia toka ulipoamua kuwa wanaharakati na kuaminishwa kuwa kila kitu ni serikali. Utakuwa unatutendea jambo la maana kama ungekuwa unahimiza mjadala wa haki bila chuki. lakini kwa chuki zako dhidi ya wenye mamlaka- mjadala unaopendekeza ni kupoteza mda
 
Twende mbele na kurudi nyuma.

Aliyempeleka Majaliwa eneo la tukio na kusaidia manusura 24, huyohuyo anaweza kumsaidia Majaliwa asizamishwe na HILA za wabunge wenzie bungeni.
Unaongelea Majaliwa yupi?
 
They are comparing Emergency Door ya Yutong na ATR. Let us wait for technical report. My little knowledge tells me that aircraft cabins are pressurised. Is there any marking on the outside of the aircraft to show Emergency Exit/Door.
 
Ni kweli brother, but mpaka hiyo report inawekwa hadharani Sidhani kama itakuwa authentic, kikubwa ni kutumia common sense zetu tu na kumuomba Mungu!
 
Bado mamlaka ya usafiri wa anga haijatoa sababu ya kutokuwepo control tower kiwanja cha bukoba. Rubani anayeondoka au kutua Bukoba anapata idhini mwanza. Hali ya hewa ikiwa mbaya kama ilivokuwa kwa Precision, rubani anabaki na Mungu wake.
Maelezo yanahitajika au tusihoji hadi wamalize uchunguzi?
Not necessary kuwa na control tower viwanja vyote Tanzania...kikubwa rubani anapewa uongozaji unaohitajika na anajulishwa hali ya hewa ya uwanja husika kabla ya kutua.
Take into note kwamba control tower anashauri ila uamuzi unabaki kwa rubani hasa wakati wa kutua.
Mbona huulizi kama rubani aliomba kurudi mwanza???
Vipo viwanja vingi tu ambavyo havina control tower ila uongozaji unafanyika vizuri. Mfano ni seronera ambacho kina traffic kubwa ya utalii na abiria zaidi ya bukoba.
 
Nilitegemea kuona sauti zikipazwa ili viongozi wanaoguswa moja Kwa moja na uokozi wawajibishwe.
hili la kuwajibika kwa Tanzania halipo kabisa !! Jamaa waliohusika na huu uzembe wapo maofisini macho makavuu as if nothing happened.
 
Inasikitisha sana kuona wasomi wengi wamejikita kwenye ku-identify watu waliosaidia/waliookoa abiria 24 waliokuwa kwenye ndege ya Precision Air iliyofondoka Ziwa Victoria siku kadhaa zilizopita.

Binafsi naamini kwamba hakuna aliyeokoa abiria hao Kwa ajili ya spotlight, ni tendo la kibinadamu tu ambalo Sidhani kama kuna yeyote humu angeishia kutazama ajali hiyo na yuko kwenye nafasi ya kusaidia.

Hii trend ya kuwa na heroes waliookoa watu ni ka-mchezo tu Serikali inacheza ili kuwatoa watu kwenye reli ili wasijadili mambo ya msingi ambayo kama sauti zingepazwa vyema, vibarua vya baadhi ya viongozi vingeota mbawa.

Binafsi nilitegemea kuona maandiko na mijadala ya kutosha yakimsuta yule Mtu aliyezuia kuvunjwa kwa kioo cha ndege kwani kama ingefanyika hivyo, huenda idadi ya waliookolewa ingezidi 24.

Nilitegemea kuona sauti zikipazwa ili viongozi wanaoguswa moja Kwa moja na uokozi wawajibishwe. Ngege haikuanguka katikati ya Ziwa, pale ilipoanguka sio mbali sana na Bandari, Airport, Makazi ya Mkuu wa Mkoa, n.k. Kushindwa kwao kufika Kwa wakati na kuokoa watu ndo taarifa iliyopaswa kutawala maandiko mengi ili wawajibishwe.

Inaumiza sana kuona Kwa siku chache zilizopita watu wanawekeza nguvu nyingi kuibua watu waliosaidia ili tu wasaidiwe au watambulike..it makes no sense!! They played their part as human beings because they were in a position to. Kindness should neither be for recognition nor for monetary reasons.

Hii ni sinema inayochezwa na baadhi ya wenye mamlaka ili tusijafili adhabu stahiki na CHANZO kilichopelekea vifo vya watu 19 kizembe.

The spotlight game ain't worth playing, let's focus all our efforts on making those responsible, pay for their wrong misdeeds.

Naamini waliopoteza ndugu zao wangependa kuona walioshindwa kufanya kazi zao kwenye usaidizi wakiwajibishwa, TUACHE yada-yada na tushike mambo ya msingi ili haki itedeke!
UWEZEKANO MKUBWA NI KWAMBA Majaliwa hakuwahi kufanya kitu CHOCHOTE CHA MAANA KWENYE tukio hili: HUYU ALIKUWA ameandaliwa. Kumbuka KUWA AJALI HII haikutokea TU Bali ilitabiriwa kwanza KWENYE mtandao huu SIKU YA IJUMAA, halsf j2 ndiyo ikatokea. Aliyetabiri AJALI NI maharage YA mbeya
 
Back
Top Bottom