Baraka DSM
Member
- Sep 12, 2017
- 68
- 76
Aiseee Dege limejaa Kama lote abiria ni wakumwaga tuache masikhara jamani. Wanaosema abiria hawatakuwepo ni waongo sana. Hapa nahisi nitakosa siti jamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, wewe una shilling ngapi hapo mfukoni? Je umekunywa chai? Una majukumu yoyote ya kulipia watoto school fees au ni kula kulala?Aiseee Dege limejaa Kama lote abiria Ni wakumwaga tuache masikhara jamani. Wanaosema abiria hawatakuwepo Ni WAWONGO Sana. Hapa nahisi nitakosa siti jamaniView attachment 1663486
Suala ni mnakwenda Geita au mnakwenda Chato?
Aiseee Dege limejaa Kama lote abiria Ni wakumwaga tuache masikhara jamani. Wanaosema abiria hawatakuwepo Ni WAWONGO Sana. Hapa nahisi nitakosa siti jamaniView attachment 1663486
Tofauti yake ni nini?! Naomba msaada, tafadhali.Suala ni mnakwenda Geita au mnakwenda Chato?
Babu Geita kubwa kwa sisi tunaoenda Katoro tukishuka Chato airport inakua rahisiSuala ni mnakwenda Geita au mnakwenda Chato?
Huenda linaenda Mwanza,halafu ndio iende Chato!Ni direct flight au linapita KIA, MWANZA then CHATO??
Usikute likageuzia KIA
Hamkosagi sababu!Ni direct flight au linapita KIA, MWANZA then CHATO??
Usikute likageuzia KIA
Hiyo sio route ya kwanza Mkuu ingia ujionee sisi wa Katoro kwetu ni rahis sanaRoute ya kwanza ni obvious kujaza
Kitu direct two hours jombaaHuenda linaenda Mwanza,halafu ndio iende Chato!
Kwa kwenda katoro bora ushukie mwanza!Babu Geita kubwa kwa sisi tunaoenda Katoro tukishuka Chato airport inakua rahisi
Acheni siasa kwenye kodi za watanzania!Kitu direct two hours jombaa
Dah we jamaa kivipi? kwahyo Mwanza Katoro nitatumia dakika 45?Kwa kwenda katoro bora ushukie mwanza!
Siyo tu kukosa sababu, ni aibu kwa mtanzania mzalendo kuombea mabaya Nchi yake! Mtu anatamani ndege ikose abiria, Nchi ikose misaada nk, uzalendo uko wapi hapo?!Hamkosagi sababu!