EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Mkuu hebu nitafutie ruti yake kwanza 😀 😀 😀 😀 maana nasikia ruti ya KIA imejaaHamkosagi sababu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hebu nitafutie ruti yake kwanza 😀 😀 😀 😀 maana nasikia ruti ya KIA imejaaHamkosagi sababu!
Acha wivu wa kijingaAcheni siasa kwenye kodi za watanzania!
Aiseee Dege limejaa Kama lote abiria Ni wakumwaga tuache masikhara jamani. Wanaosema abiria hawatakuwepo Ni WAONGO Sana. Hapa nahisi nitakosa siti jamaniView attachment 1663486
Siyo sahihi, Mwanza ni mbali, vizingiti vya kivuko (Ferry) nk vinafanya Chato iwe ni chaguo bora zaidi.Dah we jamaa kivipi? kwahyo Mwanza Katoro nitatumia dakika 45?
Wewe mlozi unaloga watu mchawi kigagula mshika ndumba bulawayo ndochimantistina fungachosamanandejuzi nimepanda hiyo ndege kutoka Mwanza kwenda Dar tulikua abiria 14 tu.
Umeambiwa Dar es salaam - Geita non stop.Mkuu hebu nitafutie ruti yake kwanza 😀 😀 😀 😀 maana nasikia ruti ya KIA imejaa
punguza jazba mataga mkubwa wewe.Wewe mlozi unaloga watu mchawi kigagula mshika ndumba bulawayo ndochimantistina fungachosamanande
Tangazo limekaa kisiasa 🙂 🙂 🙂 waseme via wapi?Umeambiwa Dar es salaam - Geita non stop.
Huko kwa wanywa mbege ikatafute nini?....... Hahahaaaa!
Chato katoro ni zaidi ya lisaa!Sasa si bora ushukie mwanza ushangae mji mzuri theni upige saa 1 na 45 minutes mpaka katoro!Dah we jamaa kivipi? kwahyo Mwanza Katoro nitatumia dakika 45?
Dah manjua nyie hamtakagi kukubali tarehe 11 January route iko full hiyo Decemba Mkuu.Kama biashara inapimwa hivyo basi tutaingia hasara sana, mwezi December ni mmoja tu katika Mwaka! Kama ndege itaenda December tu ni sawa!
Inawezekana pana abiria Ndiyo, ila kipimo chako cha ujinga wa abiria kimekaa kishabiki sana!
Bwashee Mwanza - Dar siyo Dar es salaam - Geita!juzi nimepanda hiyo ndege kutoka Mwanza kwenda Dar tulikua abiria 14 tu.
Kama biashara inapimwa hivyo basi tutaingia hasara sana, mwezi December ni mmoja tu katika Mwaka! Kama ndege itaenda December tu ni sawa!
Inawezekana pana abiria Ndiyo, ila kipimo chako cha ujinga wa abiria kimekaa kishabiki sana!
Mkuu hiyo haina VIA POPOTETangazo limekaa kisiasa 🙂 🙂 🙂 waseme via wapi?
Sio mbali tutapeana mrejesho hapa!Acha wivu wa kijinga
Unaijua route ya Songea? Miaka yote ipo na haijawahi kufa kuna nini kule cha ajabu? Hii route itaishi miaka 1000 believe meSio mbali tutapeana mrejesho hapa!
I meant hiyo safari ni geresha!Dah manjua nyie hamtakagi kukubali tarehe 11 January route iko full hiyo Decemba Mkuu.
Hahahaaaa....... Watu wa madini hawawezi kupitia uwanja wa vibaka!Tangazo limekaa kisiasa 🙂 🙂 🙂 waseme via wapi?
We jamaa vipi? no route vipi mimi nimefanya booking hiyo tarehe 11/01/2021No filght hiyo tarehe uliyotaja!
Kwahiyo Chato kuna nini cha ajabu?Au mmejaza TISS waende kuandaa ujio wa Jiwe kanda ya ziwa?Unaijua route ya Songea? Miaka yote ipo na haijawahi kufa kuna nini kule cha ajabu? Hii route itaishi miaka 1000 believe me
Kata tiketi basi tuone kama ni geresha mm nishakata yangu, na nikipanda nitapost picha tena hapaI meant hiyo safari ni geresha!