Tuache SIASA: Dege la kwenda Geita limejaa abiria ni wengi, nimekosa siti

Tuache SIASA: Dege la kwenda Geita limejaa abiria ni wengi, nimekosa siti

Akili zako ni kwamba kila anaepanda ndege anaenda Geita Mjini. Geita ni kubwa bro na ina centre nyingi sana na zingine ziko mbali sana na Mwanza. Na kwa taarifa yako Geita mjini hakuja changamka kuliko Katoro. Maana unavyoisema hiyo Geita mjini utafikiri sijui ni centre kubwa ya kila kitu.
Nje ya Geita na katoro mtu anaenda wapi mkoa wa Geita, Bwanga?

Katori imechangamka ila katoro ni mji mdogo sana huwezi kuulinganisha na Geita.
 
Nje ya Geita na katoro mtu anaenda wapi mkoa wa Geita, Bwanga?

Katori imechangamka ila katoro ni mji mdogo sana huwezi kuulinganisha na Geita.
Sasa wewe kama unaijua Geita useme mwenyewe kwani huoni ule ukanda wa kupakana na Kahama, ushirombo kule nyakanazi na centre nyingne inamaana huzijui au unataka somo
 
Unadharau sana wewe, nchi hii ni wa wapi wenye uwezo wa kupanda ndege? acha umajinuni wako ndege tutapanda tu licha ya roho zenu mbaya
Hiyo ndiyo hali halisi!Ndio maana sijataja Mwanza,Mbeya wala Dsm na maeneo mengine potential!Siku Chato ikifikia level hizo tutasema!Kwasasa ni white elephant project!
 
Sasa wewe kama unaijua Geita useme mwenyewe kwani huoni ule ukanda wa kupakana na Kahama, ushirombo kule nyakanazi na centre nyingne inamaana huzijui au unataka somo
Mtu apande ndege Chato halafu aje ushirombo, Runzewe, Uyovu ama kahama wakati kuna uwanja wa ndege wa Kahama?

Mtu apande ndege ashuke Chato halafu aende Nyakanazi? Maana yake arudi hadi Bwanga, karibu 90km, Bwanga Nyakanazi 60km, ama Chato Bwanga 90km, Bwanga Biharamulo 70k, Biharamuro Nyakanazi 40k.

Ongelea mkoa mwingine Geita naijua vizuri.(bahati mbaya kwako ni kua mikoa yote naijua vizuri)
 
Sasa wewe kama unaijua Geita useme mwenyewe kwani huoni ule ukanda wa kupakana na Kahama, ushirombo kule nyakanazi na centre nyingne inamaana huzijui au unataka somo
Kama unaujua ukanda huo basi ungesema uwanja ulipaswa kujengwa kahama na si Chato!Runzewe,ushirombo,Nzega,kahama,Katoro na kuzunguka maeneo hayo vingehudumiwa na uwanja huo!
Eti nitue Chato niende kahama???Yaani nipige tena zaidi ya Km 150?No way!
Huo uwanja wa Chato sio economic kabisaa!
 
Unaijua route ya Songea? Miaka yote ipo na haijawahi kufa kuna nini kule cha ajabu? Hii route itaishi miaka 1000 believe me
acha kufananisha songea na vitu vya ajabu ule uwanja upo tangu enzi za mwalim na ndege inajaa kule kuna biashara ya madini kahawa na mahindi
 
Tokea uniingize choo cha kike series moja hivi kule kwenye entertainment,mpaka nikiona ID yako naikumbuka!Nirudishie bando langu aisee😁😁
Mistaken ID? Huko wala siingiagi.
 
Mtu apande ndege Chato halafu aje ushirombo, Runzewe, Uyovu ama kahama wakati kuna uwanja wa ndege wa Kahama?

Mtu apande ndege ashuke Chato halafu aende Nyakanazi? Maana yake arudi hadi Bwanga, karibu 90km, Bwanga Nyakanazi 60km, ama Chato Bwanga 90km, Bwanga Biharamulo 70k, Biharamuro Nyakanazi 40k.

Ongelea mkoa mwingine Geita naijua vizuri.(bahati mbaya kwako ni kua mikoa yote naijua vizuri)
Mkuu,kahama uwanja umejengwa lini?
 
Dah nazani kama naenda geita mjini ni bora nipitie mwanza tu

Mwanza ni karibu zaidi na usafiri niwauhakika na kila siku tofauti na chato ambao utakuwa mara tatu kwa wiki.

Ila tofauti ni utatumia muda mrefu kutoka mwanza kwenda geita tofauti na chato- geita. Jamu ya kutoka mwanza airport hadi buhongwa na jamu ya kivukoni vitakuchukulia muda wako.
 
Siyo tu kukosa sababu, ni aibu kwa mtanzania mzalendo kuombea mabaya Nchi yake! Mtu anatamani ndege ikose abiria, Nchi ikose misaada nk, uzalendo uko wapi hapo?!
Uzalendo ni kupiga na kuua watanzania wasio nahatia nakufunga watu bila sababu kisa msujudiwe?
 
Geita mwanza ni kilometer 97 Geita Chato ni kilometer 141angalia penye unafuu ushuke wapi ili uwe karibu zaidi
 
Back
Top Bottom