Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
😁😁,eti umefanya bookinga!Tuwekee tiketi hapa!We jamaa vipi? no route vipi mimi nimefanya booking hiyo tarehe 11/01/2021
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁,eti umefanya bookinga!Tuwekee tiketi hapa!We jamaa vipi? no route vipi mimi nimefanya booking hiyo tarehe 11/01/2021
Ungekua unaijua hali ya kiuchumi ya watu wa Chato na majirani zake usinge ongea hayoSiyo tu kukosa sababu, ni aibu kwa mtanzania mzalendo kuombea mabaya Nchi yake! Mtu anatamani ndege ikose abiria, Nchi ikose misaada nk, uzalendo uko wapi hapo?!
Weka tiketi hapa tuione!Tunajua ni pesa za walipa kodi zitasafirisha watu kwenda na kurudi ili kumfurahisha mtu,shame!Kata tiketi basi tuone kama ni geresha mm nishakata yangu, na nikipanda nitapost picha tena hapa
We jamaa vipi umeona huwez kujibu mpaka umtaje mme wako TISS? UtaolewaKwahiyo Chato kuna nini cha ajabu?Au mmejaza TISS waende kuandaa ujio wa Jiwe kanda ya ziwa?
Ukiona mbwa anabwatuka ujue tayari umemgusa penyewe!Pole!We jamaa vipi umeona huwez kujibu mpaka umtaje mme wako TISS? Utaolewa
We TOMASO SOURCE vipi? ticket siweki ila fahamu hyo bookinga nilifanya na tiketi ninayo😁😁,eti umefanya bookinga!Tuwekee tiketi hapa!
We ushaharibiwa na SIASA unahisi kila kitu ni uongo tu babu kama vipi sina wewe ukate uje uone kama ni siasa au?Ukiona mbwa anabwatuka ujue tayari umemgusa penyewe!Pole!
Hiyo safari tunajua ipo kisiasa,hakuna la zaidi!
Uwanja ametua Jiwe na marafiki zake tu!Mkaona itaonekana kajijengea uwanja,zimeanza safari geresha za kisiasa!
😁😁😁😁,huna lolote pakashume!Eti nitaweka picha wakati hata tiketi umeshindwa kuweka!Nyie ndio mnatumika kama matoilet paper huku wenzenu wakitusua!We TOMASO SOURCE vipi? ticket siweke ila fahamu hyo bookinga nilifanya na tiketi ninayo
Uwanja wa Ndege wa Mpanda, kwa kweli haukuwahi kuwa na msaada... Sijui kwa nini???Hizo ni hadithi tu.
Practically kusema mtu wa Geita mjini ama Katoro atapanda ndege ashukie Chato kisha arudi Geita huo ni uongo wa asubuhi.
Kutoka Mwanza hadi Geita ni 110km, kutoka Chato hadi Geita mjini ni zaidi ya km 150.
Huo uwanja wa ndege ni white elephant project. Na kwa sasa usishangae wote waliojaa humo ni security agents kwa sababu mzee yuko huko.
Tusubiri akitoka huko utuletee taarifa hali itakavyokua.
Pinda alijenga kwao baadae uwanja ukawa wamama wanaanikia mihogo na mahindi, mbuzi [emoji238] wakawa wanacheza humo.
Na hauna kweli!We ushaharibiwa na SIASA unahisi kila kitu ni uongo tu babu kama vipi sina wewe ukate uje uone kama ni siasa au?
Mkuu mimi nalipa school fees ambayo ww huwezi kulipa hata robo yake kwahyo tulia tudiscuss tu hii flightSawa, wewe una shilling ngapi hapo mfukoni? Je umekunywa chai? Una majukumu yoyote ya kulipia watoto school fees au ni kula kulala?
Ukijibu maswali haya ndio naweza kuelewa wewe ni category gani then ndio tuendelee na hui ushuzi wako.
Akili zako ni kwamba kila anaepanda ndege anaenda Geita Mjini. Geita ni kubwa bro na ina centre nyingi sana na zingine ziko mbali sana na Mwanza. Na kwa taarifa yako Geita mjini hakuja changamka kuliko Katoro. Maana unavyoisema hiyo Geita mjini utafikiri sijui ni centre kubwa ya kila kitu.Hizo ni hadithi tu.
Practically kusema mtu wa Geita mjini ama Katoro atapanda ndege ashukie Chato kisha arudi Geita huo ni uongo wa asubuhi.
Kutoka Mwanza hadi Geita ni 110km, kutoka Chato hadi Geita mjini ni zaidi ya km 150.
Huo uwanja wa ndege ni white elephant project. Na kwa sasa usishangae wote waliojaa humo ni security agents kwa sababu mzee yuko huko.
Tusubiri akitoka huko utuletee taarifa hali itakavyokua.
Pinda alijenga kwao baadae uwanja ukawa wamama wanaanikia mihogo na mahindi, mbuzi 🐐 wakawa wanacheza humo.
Unacheza na wachimba madini? Dege nini banaaa! Chema jingine veve!!Aiseee Dege limejaa Kama lote abiria Ni wakumwaga tuache masikhara jamani. Wanaosema abiria hawatakuwepo Ni WAONGO Sana. Hapa nahisi nitakosa siti jamaniView attachment 1663486
Teh teh teh we nyau kweli subiri nikitua nitajiselfie nikutumie. Ila uache wivu hutaki tutue home na ndege?😁😁😁😁,huna lolote pakashume!Eti nitaweka picha wakati hata tiketi umeshindwa kuweka!Nyie ndio mnatumika kama matoilet paper huku wenzenu wakitusua!
Nakazia,safari hiyo ni ya kisiasa na humo ndabi watajazwa staff!Unaweza shangaa unakata tiketi leo halafu nafasi zinaendelea kubaki vilevile 3😁😁!
Only a fool can buy this crap!
Chato - Katoro 71kmHizo ni hadithi tu.
Practically kusema mtu wa Geita mjini ama Katoro atapanda ndege ashukie Chato kisha arudi Geita huo ni uongo wa asubuhi.
Kutoka Mwanza hadi Geita ni 110km, kutoka Chato hadi Geita mjini ni zaidi ya km 150.
Huo uwanja wa ndege ni white elephant project. Na kwa sasa usishangae wote waliojaa humo ni security agents kwa sababu mzee yuko huko.
Tusubiri akitoka huko utuletee taarifa hali itakavyokua.
Pinda alijenga kwao baadae uwanja ukawa wamama wanaanikia mihogo na mahindi, mbuzi 🐐 wakawa wanacheza humo.
Wewe mlozi unaloga watu mchawi kigagula mshika ndumba bulawayo ndochimantistina fungachosamanande
hahahahah bwana waoAcheni siasa kwenye kodi za watanzania! Mnamfurahisha nani?
Subirini JPM atoke huko ndio tutaongea lugha moja!Wateja potential ukanda huo kukwea pipa ni watu wa Buly na GGM,obviously wa GGM hawawezi kwenda Chato badala yake watashukia Mwanza!Wa Buly nao watagawanyika!Akili zako ni kwamba kila anaepanda ndege anaenda Geita Mjini. Geita ni kubwa bro na ina centre nyingi sana na zingine ziko mbali sana na Mwanza. Na kwa taarifa yako Geita mjini hakuja changamka kuliko Katoro. Maana unavyoisema hiyo Geita mjini utafikiri sijui ni centre kubwa ya kila kitu.
Chato - Katoro 71km
Chato - Geit
Unadharau sana wewe, nchi hii ni wa wapi wenye uwezo wa kupanda ndege? acha umajinuni wako ndege tutapanda tu licha ya roho zenu mbayaSubirini JPM atoke huko ndio tutaongea lugha moja!Wateja potential ukanda huo kukwea pipa ni watu wa Buly na GGM,obviously wa GGM hawawezi kwenda Chato badala yake watashukia Mwanza!Wa Buly nao watagawanyika!
Kwa wakazi wa Chato kama Chato,hawana mbavu za kupanda ndege na kuijaza walau mara moja kwa mwezi!Huo ndio ukweli!
Hao wanaoenda huko ni staff tu wa Magu!