Tuache siasa kwenye elimu ya Udaktari na Sheria. Jifunze kikwazo kilichopo Law School of Tanzania

Tuache siasa kwenye elimu ya Udaktari na Sheria. Jifunze kikwazo kilichopo Law School of Tanzania

Ujinga huu huu ulimponza Magufuri,Magufuri aliwapuuza na kuwadharau Wanasheria,Magufuri aliwapuuza na kuwadharau Madaktari,Magufuri aliwapuuza na kuwadharau Maaskofu,Magufuri aliuupuza Mfumo wa nchi ulioasisiwa tangu akiwa shuleni na kuudharau kabisa.matokeo yake ndiyo haya ameachia baadhi ya familia majonzi yasiyoisha

Huwezi kulinganisha udaktari na sheria at the same level bana!!
Kama hujui jambo jitahidi kutafuta uelewa badala ya kuja na kauli za baseless arrogance.Msingi wa Mleta mada wa kulinganisha Udaktari na Sheria unatoka kwenye nobility nature za hizi profession ambapo mwanasheria au daktari unahitaji kuwa na competence na very high ethical standard ili kutunza siri na maamuzi yao yana athari kubwa kwa wateja wao.Kwa mfano:Wakili anapokea siri za mteja hata kama ameua atamweleza ukweli ili am-defend au Judge anapotoa hukumu pengine kwenye murder case lazima awe ameiva na awe na integrity ya hali ya juu vinginenyo maamuzi yake yanaweza kuleta irreparable damage kwa victim wa hayo maamuzi.Kwa upande wa Daktari,vivyo hivyo mgonjwa anaji-submit kwake na kumueleza hata siri za maradhi ambazo hawezi kumueleza hata ndugu yake kama wakati ambapo mgonjwa wa kike anapofunguka kwa daktari wa kiume bila hofu yoyiote kwa sababu ya nobility nature ya profession akijua kuwa daktari yupo ethical na ana integrity.
Kumbuka kuwa kila fani ina uzito katika wakati husika,kwa mfano kipindi kile madaktari wa MOI walipotuhumiwa kumkata mguu mgonjwa kimakosa badala ya kufanya operation ya kichwa,ni ma-daktari hao hao walikimbilia na kuji-submit kwa wakili (Name withheld) ili awasaidie ku-defend case yao
 
Hawa madaktari wetu ni vichekesho: Kuna mtu alienda kulazwa akiwa na tatizo fulani, wakasema watamfanyia operation. Alivyoamka akakuta wamemkata mguu wakati hakuwa na tatizo la

Acha kufananisha udaktari na upuuzi mwingine, Udaktari ni taaluma hasa Sheria ni kama siasa tu!
Kama hujui jambo jitahidi kutafuta uelewa badala ya kuja na kauli za baseless arrogance.Msingi wa Mleta mada wa kulinganisha Udaktari na Sheria unatoka kwenye nobility nature za hizi profession ambapo mwanasheria au daktari unahitaji kuwa na competence na very high ethical standard ili kutunza siri na maamuzi yao yana athari kubwa kwa wateja wao.Kwa mfano:Wakili anapokea siri za mteja hata kama ameua atamweleza ukweli ili am-defend au Judge anapotoa hukumu pengine kwenye murder case lazima awe ameiva na awe na integrity ya hali ya juu vinginenyo maamuzi yake yanaweza kuleta irreparable damage kwa victim wa hayo maamuzi.Kwa upande wa Daktari,vivyo hivyo mgonjwa anaji-submit kwake na kumueleza hata siri za maradhi ambazo hawezi kumueleza hata ndugu yake kama wakati ambapo mgonjwa wa kike anapofunguka kwa daktari wa kiume bila hofu yoyiote kwa sababu ya nobility nature ya profession akijua kuwa daktari yupo ethical na ana integrity.
Kumbuka kuwa kila fani ina uzito katika wakati husika,kwa mfano kipindi kile madaktari wa MOI walipotuhumiwa kumkata mguu mgonjwa kimakosa badala ya kufanya operation ya kichwa,ni ma-daktari hao hao walikimbilia na kuji-submit kwa wakili (Name withheld) ili awasaidie ku-defend case yao
 
Kama hujui jambo jitahidi kutafuta uelewa badala ya kuja na kauli za baseless arrogance.Msingi wa Mleta mada wa kulinganisha Udaktari na Sheria unatoka kwenye nobility nature za hizi profession ambapo mwanasheria au daktari unahitaji kuwa na competence na very high ethical standard ili kutunza siri na maamuzi yao yana athari kubwa kwa wateja wao.Kwa mfano:Wakili anapokea siri za mteja hata kama ameua atamweleza ukweli ili am-defend au Judge anapotoa hukumu pengine kwenye murder case lazima awe ameiva na awe na integrity ya hali ya juu vinginenyo maamuzi yake yanaweza kuleta irreparable damage kwa victim wa hayo maamuzi.Kwa upande wa Daktari,vivyo hivyo mgonjwa anaji-submit kwake na kumueleza hata siri za maradhi ambazo hawezi kumueleza hata ndugu yake kama wakati ambapo mgonjwa wa kike anapofunguka kwa daktari wa kiume bila hofu yoyiote kwa sababu ya nobility nature ya profession akijua kuwa daktari yupo ethical na ana integrity.
Kumbuka kuwa kila fani ina uzito katika wakati husika,kwa mfano kipindi kile madaktari wa MOI walipotuhumiwa kumkata mguu mgonjwa kimakosa badala ya kufanya operation ya kichwa,ni ma-daktari hao hao walikimbilia na kuji-submit kwa wakili (Name withheld) ili awasaidie ku-defend case yao
Unajuaje kuwa ulivyoelezea wewe ndivyo mtoaji mada alimaanisha? Hapa hatuongelei nobility bali ugumu wa kozi husika. Wewe unaleta kitu tofauti ambacho huna uhakika kama mtoa mada alimaanisha.
 
Unajuaje kuwa ulivyoelezea wewe ndivyo mtoaji mada alimaanisha? Hapa hatuongelei nobility bali ugumu wa kozi husika. Wewe unaleta kitu tofauti ambacho huna uhakika kama mtoa mada alimaanisha.
ugumu una-determine vipi? Je umesoma kozi zote mbili na kujua zikoje?Je legal reasoning unaipima vipi na kulinganisha na udaktari? hakuna mahali mleta mada aliongelea ugumu nadhani hiyo ni misconception yako.Hayo mawazo ya Doctors kufikiria kozi yao ni ngumu kuliko kozi yoyote ndo yanafanya wawe over-ambitious na kukuta reality iko tofauti na kufanya baadhi huko vijijini kwenye vituo vya afya(Health facilities) kuwa frustrated na kubaki kugombana na ma-pharmacist katika kufungua maduka ya dawa kuganga njaa na kukosa focus ya taaluma yao
 
ugumu una-determine vipi? Je umesoma kozi zote mbili na kujua zikoje?Je legal reasoning unaipima vipi na kulinganisha na udaktari? hakuna mahali mleta mada aliongelea ugumu nadhani hiyo ni misconception yako
Kwa reasoning nyepesi tu, kozi ya miaka 5 huwezi kulinganisha na kozi ya miaka 3. Hata entry requirements, huwezi linganisha ugumu wa PCB na sijui HGK, HKE and the likes.
Chanzo cha mada hii ni mwendelezo wa mada mbalimbali ambazo zipo hapa zinahusu kufeli kwa wanafunzi wa shule ya sheria. Wengine wakisisitiza kuwa ni kozi ngumu, na wengine wakisema kuwa wanafunzi hawasomi bali ni vilaza. Hivyo nawe pia ni misconception yako kuanza kuleta mambo ya nobility ambayo ni totally nje ya mada ya mleta mada.
 
Kwa reasoning nyepesi tu, kozi ya miaka 5 huwezi kulinganisha na kozi ya miaka 3. Chanzo cha mada hii ni mwendelezo wa mada mbalimbali ambazo zipo hapa zinahusu kufeli kwa wanafunzi wa shule ya sheria. Wengine wakisisitiza kuwa ni kozi ngumu, na wengine wakisema kuwa wanafunzi hawasomi bali ni vilaza. Hivyo nawe pia ni misconception yako kuanza kuleta mambo ya nobility ambayo ni totally tofauti na mada ya mleta mada.
wewe ndo kilaza kabisa,kwenye developed world ambapo kuna facilities za kutosha,enzi za kupima ugumu wa kozi kwa longevity ya training imepitwa na wakati,sishangai ndo maana siku hizi kuna doctora feki wa aina yako ambao unaenda hospitali unashindwa kumtofautisha na clinical officer
 
wewe ndo kilaza kabisa,kwenye developed world ambapo kuna facilities za kutosha,enzi za kupima ugumu wa kozi kwa longevity ya training imepitwa na wakati,sishangai ndo maana siku hizi kuna doctora feki wa aina yako ambao unaenda hospitali unashindwa kumtofautisha na clinical officer
Imepitwa lini na wakati? Sisi ni developed world? Nafikiri wewe uliangalia magwanda ndo ukashindwa kutofautisha. Tofauti ipo kichwani, na si kwenye mavazi.
 
Imepitwa lini na wakati? Sisi ni developed world? Nafikiri wewe uliangalia magwanda ndo ukashindwa kutofautisha. Tofauti ipo kichwani, na si kwe
Imepitwa lini na wakati? Sisi ni developed world? Nafikiri wewe uliangalia magwanda ndo ukashindwa kutofautisha. Tofauti ipo kichwani, na si kwenye mavazi.
we baki unazubaa na u-kilaza wako hutaki kujua yanayoendelea huko developed world unaishi kwenye closed system,kwa taarifa yako,with ARTIFICIAL INTELLIGENCE udaktari ni among the 'dying cadre' hivyo hamjipangi ndo baadae mnaishia frustration
 
Imepitwa lini na wakati? Sisi ni developed world? Nafikiri wewe uliangalia magwanda ndo ukashindwa kutofautisha. Tofauti ipo kichwani, na si kwenye mavazi.
we baki unazubaa na u-kilaza wako hutaki kujua yanayoendelea huko developed world unaishi kwenye closed system,kwa taarifa yako,with ARTIFICIAL INTELLIGENCE udaktari ni among the 'dying cadre' hivyo hamjipangi ndo baadae mnaishia frustration
 
Gamboshi-

Usianze kubadilisha magoli na kuficha ukilaza wako kwa kuita wengine vilaza. Kubadilisha magoli ni tabia ya mtu aliyeshindwa hoja.
 
Waliosoma Law school na kufaulu watanielewa vizuri kwenye uzi huu.

Tusirudie makosa ya kulazimisha watoto wote wa shule ya msingi hata wasiojua kusoma na kuandika wafaulu kilazima na kujiunga na sekondari.

Matokeo yake tumeshaanza kuyaona, Hawa watoto hawawezi kushindana na watoto wa wakubwa waliosoma shule bora, Watoto wa kufaulu bila kujua kusoma na kuandika wataishia kutawaliwa daima.

Kuna kazi kila mtu anaweza kufanya, Lakini kuna kazi zinahitaji specialization.

Taasisi zinazosimamia udaktari na sheria hazipaswi kwenda na mfumo wa kuwaridhisha wanasiasa eti kuongeza idadi ya madaktari na mawakili bila kuangalia uwezo na ubora wa taaluma.

Shule ya sheria Tanzania haina tatizo, Tatizo lililo mbele ni mfumo wa elimu ya sheria vyuo vikuu.

1. Wanafunzi vyuo vikuu Tanzania wanasoma nadharia tu na kukariri mambo, Wanapojiunga law school kuna mambo wanahitajika kuyaweka kwenye mfumo kazi, yaani Practical.

Batch ya pili Law School mwaka 2009± pale Law school nilishuhudia kwa baadhi ya wanafunzi waliofeli na kutaka kuanza kuwaaminisha watu kuwa law school ni ngumu.

Mfano: Vyuoni wanafunzi wanajifunza mambo ya charge sheet kwa kuelezea what is charge sheet? Hii ni hati ya mashtaka na swali hili liliulizwa kwenye ile batch ya 2009±

Law school, Mwanafunzi anaambiwa aandae charge sheet /Hati ya mashtaka kitu ambacho hajawahi kukifanya, Tena anaambiwa with practical example and evidence, ule mwaka wengi waliofeli walishindwa kuaandaa charge sheet lakini wanajua kudefine charge sheet.

2. Exposure ya wanafunzi na vitu vinavyoendelea mahakamani ni mdogo sana, Mambo ya Mahakama yamefanywa siri Tanzania. Kesi hazioneshwi kwenye Television hasa zile zinazovuta umma, Wanafunzi wengi inakuwa ngumu kuelewa uhalisia wa mambo yanavyokwenda kwa mfumo wa kazi, yaani Practical.

Suluhisho
Mfumo wa elimu ni mbovu na ufumuliwe hasa elimu ya nadharia inayowekewa mkazo kwa asilimia 100% vyuo vikuu inabidi igawanywe kwa mfumo wa prolata base yaani 50% iwe practical na watu waende maeneo ambayo kuna kesi nyingi mfano Mahakama ya Kisutu.

Mwanafunzi akitoka chuo practical vizuri ni ngumu kushindwa law school.

2. Muda ni mfupi sana pale law school na sio law school hata mfumo wetu kwenye Board za uhasibu ni vichekesho Sana. Baadhi ya nchi Mwanafunzi anaruhusiwa kusoma chuo kikuu huku akisoma kwenye hizi regulatory schools kama lawa schools na Bodi za uhasibu.

Mwanafunzi anapoanza chuo kikuu anajisajili pia law schools kwenye baadhi ya nchi ili kupata muda mrefu wa kuyafahamu mambo.

Hapa Tanzania Law school imekuwa kwa watu mpaka wanapohitimu sheria, Mfumo huu haufai kwani unampa mwanafunzi muda kidogo wa kujifunza.
Unayafahamu Malengo ya kuanzishwa kwa LST ? Nina hakika kama ungeyajua usingeleta huu ujingabhapa Jukwaani
 
Kama ulivyosema tatizo ni mfumo wa elimu, mimi pia naunga mkono mfumo wa elimu ni shida na ni janga, na matokeo yake ndiyo haya. Baraza la mitihani kwa mtazamo wangu linaua sana viwango vya elimu ya nchi hii, ongea na walimu wanaoenda kusahihisha mitihani ya kidato Cha nne na sita wanafunzi wanalazimishwa kufaulu.

Miaka ya nyuma hakuna mtihani iliokuwa unatesa kama mtihani wa advance., kdato Cha sita, lakini kwa Sasa ndo mtihani ufaulu wake ni mkubwa kuliko mtihani wowote.

Kuna one nyingi na two nyingi ambazo hazikupaswa kuwepo na baadaye hawa ndo hudailiwa kujiunga na vyuo vikuu, nitoe mfano Mmoja halisi miaka ya nyuma nikiwa nasoma SAUT-Mwanza Kuna rafiki yangu tulikuwa tunasoma naye ,wakati huo alikuwa anamiliki tuition centre , Kuna dada Mmoja alikuwa anasoma Sheria, mdogo wake na dada huyo alikuwa anasoma kwenye tuition centre ya huyo rafiki yangu, siku Moja dada yule alimwandikia rafiki yangu barua ya kumjulisha kuwa amvumilie dogo asome pindi bodi wakiingiza Hela atamlipa, lakini hiyo barua dada aliandika kwa kiiengereza. Hicho kiingereza ndo kilimfanya rafiki yangu atutafute na kutuuliza kama huyu mtu ni mwanafunzi wa chuo kikuu, mbaya zaidi ni mwanafunzi wa LLB.

Shida ya elimu inaanza na elimu ya msingi Darasa la saba wengi wapo chini ya viwango, Sasa hivi Baraza wanawatumia walimu wa Sekondari kusimamia mitihani a Darasa la saba Ili kudhibiti mianya ya udanganyifu, walimu wamebana kweli, lakini inapokuja suala la kuchagua wanaotakiwa kujiunga na sekondari viwango vinashushwa sana kiasi kwamba ni sawa tu na kipindi udanganyifu ukiendelea.

Kuna mtihani wa kidato Cha pili ambao serikali inatumia pesa nyingi bila sababu, eti mtihani wote huo mtu anahitaji D mbili Ili afaulu. Sasa mtu aliyefaulu masomo mawili kwa kiwango Cha D tu anawezaje kusoma masomo yote ya kidato Cha tatu?

Law school isipewe lawama viwango vya ubora wa wahitimu kuanzia shule za msingi sekondari Hadi vyuo vimekuwa duni sana, na fani zote zingeweka mkazo kama law school matokeo yangekuwa haya haya.

Hoja ya kuwa wanafunzi waliofeli ni viaza ni uongo mtupu. Ukiangalia wamefaulu 4% kati ya watahiniwa 600 hivi, hiyo haiwezi kuwa shule na hakuna huo ugumu. Kama ni hivyo basi hata waalimu wana matatizo
 
Gamboshi-

Usianze kubadilisha magoli na kuficha ukilaza wako kwa kuita wengine vilaza. Kubadilisha magoli ni tabia ya mtu aliyeshindwa hoja.
Uzi wa kwanza alileta na conclusion ya kuwa wanafunzi wa LST ni vilaza. Anahamisha magoli sasa, si ajabu tume ikija na report inayoonesha udhaifu upo kwa LST na sio wanafunzi, si ajabu akaungana na report hiyo kwa kuja na suporting evidence kabisa.
Hawa ndo wanaojiita wasomi, cha ajabu hawana uhakika na msimamo wa kile wanachokiamini na kukisimamia.
 
Waliosoma Law school na kufaulu watanielewa vizuri kwenye uzi huu.

Tusirudie makosa ya kulazimisha watoto wote wa shule ya msingi hata wasiojua kusoma na kuandika wafaulu kilazima na kujiunga na sekondari.

Matokeo yake tumeshaanza kuyaona, Hawa watoto hawawezi kushindana na watoto wa wakubwa waliosoma shule bora, Watoto wa kufaulu bila kujua kusoma na kuandika wataishia kutawaliwa daima.

Kuna kazi kila mtu anaweza kufanya, Lakini kuna kazi zinahitaji specialization.

Taasisi zinazosimamia udaktari na sheria hazipaswi kwenda na mfumo wa kuwaridhisha wanasiasa eti kuongeza idadi ya madaktari na mawakili bila kuangalia uwezo na ubora wa taaluma.

Shule ya sheria Tanzania haina tatizo, Tatizo lililo mbele ni mfumo wa elimu ya sheria vyuo vikuu.

1. Wanafunzi vyuo vikuu Tanzania wanasoma nadharia tu na kukariri mambo, Wanapojiunga law school kuna mambo wanahitajika kuyaweka kwenye mfumo kazi, yaani Practical.

Batch ya pili Law School mwaka 2009± pale Law school nilishuhudia kwa baadhi ya wanafunzi waliofeli na kutaka kuanza kuwaaminisha watu kuwa law school ni ngumu.

Mfano: Vyuoni wanafunzi wanajifunza mambo ya charge sheet kwa kuelezea what is charge sheet? Hii ni hati ya mashtaka na swali hili liliulizwa kwenye ile batch ya 2009±

Law school, Mwanafunzi anaambiwa aandae charge sheet /Hati ya mashtaka kitu ambacho hajawahi kukifanya, Tena anaambiwa with practical example and evidence, ule mwaka wengi waliofeli walishindwa kuaandaa charge sheet lakini wanajua kudefine charge sheet.

2. Exposure ya wanafunzi na vitu vinavyoendelea mahakamani ni mdogo sana, Mambo ya Mahakama yamefanywa siri Tanzania. Kesi hazioneshwi kwenye Television hasa zile zinazovuta umma, Wanafunzi wengi inakuwa ngumu kuelewa uhalisia wa mambo yanavyokwenda kwa mfumo wa kazi, yaani Practical.

Suluhisho
Mfumo wa elimu ni mbovu na ufumuliwe hasa elimu ya nadharia inayowekewa mkazo kwa asilimia 100% vyuo vikuu inabidi igawanywe kwa mfumo wa prolata base yaani 50% iwe practical na watu waende maeneo ambayo kuna kesi nyingi mfano Mahakama ya Kisutu.

Mwanafunzi akitoka chuo practical vizuri ni ngumu kushindwa law school.

2. Muda ni mfupi sana pale law school na sio law school hata mfumo wetu kwenye Board za uhasibu ni vichekesho Sana. Baadhi ya nchi Mwanafunzi anaruhusiwa kusoma chuo kikuu huku akisoma kwenye hizi regulatory schools kama lawa schools na Bodi za uhasibu.

Mwanafunzi anapoanza chuo kikuu anajisajili pia law schools kwenye baadhi ya nchi ili kupata muda mrefu wa kuyafahamu mambo.

Hapa Tanzania Law school imekuwa kwa watu mpaka wanapohitimu sheria, Mfumo huu haufai kwani unampa mwanafunzi muda kidogo wa kujifunza.

Kuna mdau alisema hata mahakimu wakongwe wanapoenda Law school nao hukamatwa mara nyingi.
Je nao hawajui practical ya mahakamani?
 
Nawapongeza sana Law School kwa ku set standards, ukiona una kichwa cha kubebea mizigo , achana na mambo magumu kabebe mizigo kwa m'bichwa wako, mbona utapata tu pesa? Kuna msichana namfahamu ni graduate wa sheria Saut Mwanza, duh..... eti ana upper second kwenye cheti, kichwani hamna kitu kabisa. Nimefurahi sana Law School walivyosema arudie upya darasa la nne B

Hizo porojo ya HKL zina ugumu gani? Acha wanyanyasane wao kwa wao wala hakuna ugumu wowote
 
Hoja ya kuwa wanafunzi waliofeli ni viaza ni uongo mtupu. Ukiangalia wamefaulu 4% kati ya watahiniwa 600 hivi, hiyo haiwezi kuwa shule na hakuna huo ugumu. Kama ni hivyo basi hata waalimu wana matatizo
Kama umesoma unajua majukumu ya mwalimu na majukumu ya mwanafunzi katika kafaulu, kama ingelikuwa kwamba mwalimu akiwa mzuri lazima mfaulu basi Darasa Zima lingefaulu. Tupo makazini tunawapokea hao wenye one na two na digrii zao Bado hawakidhi viwango vya ubora. Unaweza usiwe kilaza lakini mfumo wa elimu ukakudhoofisha na kukufanya kuwa na viwango duni.

Kama mfumo huko nyuma haukukupima kisawasawa, ukafaulu kwa viwango vikubwa lakini kwa vipimo duni, vinavyojali wingi bila ubora ukifika hatua ambayo vipimo vinajali ubora kuliko wingi lazima ukwame au utoboe kwa juhudi kubwa sana tena mno.

Mimi na wewe inawezekana tumepita kwenye mfumo wetu wa elimu na pengine umetunufaisha lakini tusiutetee kwasabu huko mbele tumefeli au ndugu zetu wamefeli. Serikali inayosimamia huo mfumo wetu wa elimu inakiri Kuna shida na Kila kukicha Kuna midahalo na makongamano wa ubovu wa mfo wa elimu. Hao hao watoto wapo kwenye shule zinatoa elimu kwa mtindo tofauti. Law school na taasisi nyingine zunazoandaa wataalamu wa fani mbali mbali wasiingiliwe Wala siasa isiingilie Ili watoe mtaalamu kwa maana yake. Tukisema huyu ni daktari , mwanasheria, mfamasia, mhasibu, mwalimu wa biology, history hisabati, kemia, fizikia nk. Basi wawe na utaalamu kweli bila kubabaisha. Kumbuka elimu ya university ni kuwa wewe imekuwa universal unaweza kuonesha utaalamu wako popote humu duniani. Kama mtaakacwa elimu unataka watu wamaliza sekondari wakiwa wanaweza kuongea na kuandika kiingereza kwa ufasaha basi iwe hivyo. Tuache kujifariji kwa kujidanganya kiingereza ni lugha tu kama kiswahili.

Kweli Kuna waadhiri hudhani ni sifa kufelisha, lakini hii shida Huwa siioni sana kwa maprofesa na madokta. Tatizo Huwa lipo kwa wengine na vijana pengine hufelisha makusudi Ili kujipatia rushwa na kuwafanya mabinti wajiangushe kwenye penalty box.
 
Back
Top Bottom