Tuache Unafiki: Bashe alichukua hatua sahihi kumaliza tatizo la sukari. Hongera Dr. Tulia kwa kumlinda na kulinda maslahi ya nchi

Tuache Unafiki: Bashe alichukua hatua sahihi kumaliza tatizo la sukari. Hongera Dr. Tulia kwa kumlinda na kulinda maslahi ya nchi

Mzalendo Uchwara

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2020
Posts
4,437
Reaction score
13,836
Kwa miaka nenda rudi genge la wazalishaji wa sukari wamekuwa wakilichezea soko letu ili kupiga super profit.

Wanatengeneza uhaba wa sukari, wanaacha ipande bei, kisha wanapata vibali vya kuagiza nje na kuuza kwa bei ya juu. Tena wakati mwingine wanabadili vifungashio ili ionekane imezalishwa nchini.

Sukari ya nchi za nje kama vile Brazil na Maritius ni bei poa mno, kwahiyo hawa mabwana walikuwa na kila motisha ya kutafuta namna ya kutengeneza uhaba wa sukari ili wapewe vibali vya kuagiza..

Alichokifanya waziri Bashe sio tu ni uamizi sahihi bali ni uamizi wa kizalendo, nchi haiwezi kuwa inashikwa mateka na genge la watu wachache.

Alichokisema Luhaga juu watu wachache kuhodhi sukari: Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya

Going foward hii ndio iwe dawa, tuendelee kulilinda soko la wazalishaji wa ndani lakini pale kunapotokea uhaba basi yeyote mwenye uwezo apewe kibali cha kuagiza sukari haraka iwezekanavyo.

Hongera Mh. Bashe kwa kufikiri nje ya box na kuthubutu. Kwenye hili Mpina amechemka, yaani nchi ikose bidhaa muhimu kwasababu tu kuna wapuuzi wanajivutavuta kuagiza sukari? Thubutu!

=====

Kupata ushahidi na ufafanuzi wa Luhaga juu ya Mpina juu ya sakata la uhaba wa sukari soma:

- Luhaga Mpina: Waziri Bashe na Mwigulu walitengeneza uhaba wa sukari nchini, zilikuwa njama za kuiba mapato ya nchi

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia

- FULL TEXT: Maelezo ya Ushahidi wa Luhaga Mpina kwa Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson juu ya Waziri Hussein Bashe kusema Uongo Bungeni kuhusu Sukari
 
Mzalendo Mchwara.


Una akili kweli na inayofanya kazi??

Kilichokua kinahitajika, ndicho kilichoagizwa?? Kwann uagize Sukari nyingi kupita hitaji, maana yake Sukari yetu ya Ndani iloanzwa kuzalishwa mpaka mwezi 12 huko itakuaje ??.


MPINA anahoji, kwann uwape Tenda watu wasokua na SIFA?.. mfano, Itel, stationary,,, nikisema kwamba, hiyo Sukari ya ziada ni yahawa Mafisadi , na wao ndo walitoa Pesa kwenye vikampuni uchwara ili waagize Sukari kupitia vikampuni hivo ??.



Kwa uchache nirudie tu, hivi umetumia akili vizuri kweli???.
 
Kwa miaka nenda rudi genge la wazalishaji wa sukari wamekuwa wakilichezea soko letu ili kupiga super profit.

Wanatengeneza uhaba wa sukari, wanaacha ipande bei, kisha wanapata vibali vya kuagiza nje na kuuza kwa bei ya juu. Tena wakati mwingine wanabadili vifungashio ili ionekane imezalishwa nchini.

Sukari ya nchi za nje kama vile Brazil na Maritius ni bei poa mno, kwahiyo hawa mabwana walikuwa na kila motisha ya kutafuta namna ya kutengeneza uhaba wa sukari ili wapewe vibali vya kuagiza..

Alichokifanya waziri Bashe sio tu ni uamizi sahihi bali ni uamizi wa kizalendo, nchi haiwezi kuwa inashikwa mateka na genge la watu wachache.

Going foward hii ndio iwe dawa, tuendelee kulilinda soko la wazalishaji wa ndani lakini pale kunapotokea uhaba basi yeyote mwenye uwezo apewe kibali cha kuagiza sukari haraka iwezekanavyo.

Hongera Mh. Bashe kwa kufikiri nje ya box na kuthubutu. Kwenye hili Mpina amechemka, yaani nchi ikose bidhaa muhimu kwasababu tu kuna wapuuzi wanajivutavuta kuagiza sukari?? Thubutu!
Hapo unaweza kuta kule kijijini kwenu Wazazi wako wana maisha magumu sana na vitu kama Chai ni anasa kubwa sana kwao. Wewe uko mjini na usha undergo evolution na sasa unaushi kwa kulamba miguu wanaume wenzako na kujikomva komba kwao
 
1000011152.png
 
Mzalendo Mchwara.


Una akili kweli na inayofanya kazi??

Kilichokua kinahitajika, ndicho kilichoagizwa?? Kwann uagize Sukari nyingi kupita hitaji, maana yake Sukari yetu ya Ndani iloanzwa kuzalishwa mpaka mwezi 12 huko itakuaje ??.


MPINA anahoji, kwann uwape Tenda watu wasokua na SIFA?.. mfano, Itel, stationary,,, nikisema kwamba, hiyo Sukari ya ziada ni yahawa Mafisadi , na wao ndo walitoa Pesa kwenye vikampuni uchwara ili waagize Sukari kupitia vikampuni hivo ??.



Kwa uchache nirudie tu, hivi umetumia akili vizuri kweli???.
Kundi la majambazi Lina Nguvu kiongozi.kuteteana Kila Siku,usikute Huyu Ndio mwenye Hivi vikampuni uchwara.
 
Kwa miaka nenda rudi genge la wazalishaji wa sukari wamekuwa wakilichezea soko letu ili kupiga super profit.

Wanatengeneza uhaba wa sukari, wanaacha ipande bei, kisha wanapata vibali vya kuagiza nje na kuuza kwa bei ya juu. Tena wakati mwingine wanabadili vifungashio ili ionekane imezalishwa nchini.

Sukari ya nchi za nje kama vile Brazil na Maritius ni bei poa mno, kwahiyo hawa mabwana walikuwa na kila motisha ya kutafuta namna ya kutengeneza uhaba wa sukari ili wapewe vibali vya kuagiza..

Alichokifanya waziri Bashe sio tu ni uamizi sahihi bali ni uamizi wa kizalendo, nchi haiwezi kuwa inashikwa mateka na genge la watu wachache.

Going foward hii ndio iwe dawa, tuendelee kulilinda soko la wazalishaji wa ndani lakini pale kunapotokea uhaba basi yeyote mwenye uwezo apewe kibali cha kuagiza sukari haraka iwezekanavyo.

Hongera Mh. Bashe kwa kufikiri nje ya box na kuthubutu. Kwenye hili Mpina amechemka, yaani nchi ikose bidhaa muhimu kwasababu tu kuna wapuuzi wanajivutavuta kuagiza sukari?? Thubutu!
Una Akili Timamu Wewe???
 
Kwa miaka nenda rudi genge la wazalishaji wa sukari wamekuwa wakilichezea soko letu ili kupiga super profit.

Wanatengeneza uhaba wa sukari, wanaacha ipande bei, kisha wanapata vibali vya kuagiza nje na kuuza kwa bei ya juu. Tena wakati mwingine wanabadili vifungashio ili ionekane imezalishwa nchini.

Sukari ya nchi za nje kama vile Brazil na Maritius ni bei poa mno, kwahiyo hawa mabwana walikuwa na kila motisha ya kutafuta namna ya kutengeneza uhaba wa sukari ili wapewe vibali vya kuagiza..

Alichokifanya waziri Bashe sio tu ni uamizi sahihi bali ni uamizi wa kizalendo, nchi haiwezi kuwa inashikwa mateka na genge la watu wachache.

Going foward hii ndio iwe dawa, tuendelee kulilinda soko la wazalishaji wa ndani lakini pale kunapotokea uhaba basi yeyote mwenye uwezo apewe kibali cha kuagiza sukari haraka iwezekanavyo.

Hongera Mh. Bashe kwa kufikiri nje ya box na kuthubutu. Kwenye hili Mpina amechemka, yaani nchi ikose bidhaa muhimu kwasababu tu kuna wapuuzi wanajivutavuta kuagiza sukari?? Thubutu!
Njaa mbaya dogo!! Badilika utaolewa
 
Hapo unaweza kuta kule kijijini kwenue Wazazi wako wana masiaha magumu sana na vitu kana Chai ni anasa kubwa sana kwao. Wewe uko mjini na usha undergo evolution na sasa unaushi kwa kulamba miguu wanaume wenzako na kujikomva komba kwao
Kijana tumia ubongo wako vizuri, Mungu hakukupa hiyo cerebellum kwa ajili ya kuvikia barabara pekee.
 
Mzalendo Mchwara.


Una akili kweli na inayofanya kazi??

Kilichokua kinahitajika, ndicho kilichoagizwa?? Kwann uagize Sukari nyingi kupita hitaji, maana yake Sukari yetu ya Ndani iloanzwa kuzalishwa mpaka mwezi 12 huko itakuaje ??.


MPINA anahoji, kwann uwape Tenda watu wasokua na SIFA?.. mfano, Itel, stationary,,, nikisema kwamba, hiyo Sukari ya ziada ni yahawa Mafisadi , na wao ndo walitoa Pesa kwenye vikampuni uchwara ili waagize Sukari kupitia vikampuni hivo ??.



Kwa uchache nirudie tu, hivi umetumia akili vizuri kweli???.
Hao wanaoitwa "hawana vigezo" wameleta sukari au wameshindwa?? Kama wameweza kuleta unawaita vipi kuwa hawana uwezo??

Kuhusu kuagiza sukari nyingi kuliko takwimu za uhaba hilo mbona liko wazi kama unatumia akili vizuri!! Actually ningemshangaa Bashe kama wangeagiza exactly kiwango kinachotakiwa.

Iko hivi, uhaba ulikuwa ni wa kutengenezwa na wahuni, hata ukiagiza sukari kidogo basi wanainunua yote na kuificha ili uhaba uendelee kuwepo, ili kukomesha hilo unatakiwa kuagiza kuwango cha kutosha ku "flood the market", kwamba haitowezekana tena wahuni hao kuinunua na kuificha.

To answer your first question, Yes ninazo akili tena nyingi sana na nakielewa ninachokiandika kwa undani kuliko unavyodhani. Ninalifamau soko la sukari nchini sio kwa kusimuliwa bali kwa kushiriki :Clueless:
 
Mara ya kwanza nilikuwa upande wa Mpina lakini kadiri siku zinavyokwenda naanza kumkwepa
Wale walikuwa na vibali hawali vya kuagiza sukari nje walikuwa wanacheza michezo michafu na Bashe akawashtukia
Lakini alichokosea Bashe ni kuvipa tenda ya kuagiza sukari vikampuni vyao vya mfuko visivyokuwa na sifa.
Cha muhimu sukari tumepata na kazi inaendelea asante sana Bashe na itel maana wale (matycoon) walishindwa kutuletea sukari.
 
Hapo unaweza kuta kule kijijini kwenue Wazazi wako wana masiaha magumu sana na vitu kana Chai ni anasa kubwa sana kwao. Wewe uko mjini na usha undergo evolution na sasa unaushi kwa kulamba miguu wanaume wenzako na kujikomva komba kwao
Umeona namba ya simu au jina langu halisi hapo??? Acha kunivunjia heshima kijana.
 
Mzalendo Mchwara.


Una akili kweli na inayofanya kazi??

Kilichokua kinahitajika, ndicho kilichoagizwa?? Kwann uagize Sukari nyingi kupita hitaji, maana yake Sukari yetu ya Ndani iloanzwa kuzalishwa mpaka mwezi 12 huko itakuaje ??.


MPINA anahoji, kwann uwape Tenda watu wasokua na SIFA?.. mfano, Itel, stationary,,, nikisema kwamba, hiyo Sukari ya ziada ni yahawa Mafisadi , na wao ndo walitoa Pesa kwenye vikampuni uchwara ili waagize Sukari kupitia vikampuni hivo ??.



Kwa uchache nirudie tu, hivi umetumia akili vizuri kweli???.
Umesahau kuongeza bei kwa mlaji
 
Mara ya kwanza nilikuwa upande wa Mpina lakini kadiri siku zinavyokwenda naanza kumkwepa
Wale walikuwa na vibali hawali vya kuagiza sukari nje walikuwa wanacheza michezo michafu na Bashe akawashtukia
Lakini alichokosea Bashe ni kuvipa tenda ya kuagiza sukari vikampuni vyao vya mfuko visivyokuwa na sifa.
Bashe alitafuta mtu yeyote mwenye nia na uwezo wa kuleta sukari alete ili kuumaliza mchezo mchafu wa wale washenzi.

Na kweli wate walileta na tatizo likaisha. Tena sheria inakwenda kubadilisha, bodi ya sukari na wao watakuwa na mamlaka ya kuagizi. Hao waiinga hawatorudia kuleta upumbavu wa kutengeneza uhaba wa sukari nchini.
 
Wee Ni mshe z Sana pmj na Huyu Bashe wako

Siku nilivyo muona Bashe Ni kichaaa na akili zake Ni za kisomali Ni pale alivyotuambia kuwa sukari itapatikan kwa wingi kbl ya mwez mtukufu wa ramadhani nonsense kbsaa mdini mkubwaa
You took it out of context compadre. Bashe did the right thing.
 
Mzalendo Mchwara.


Una akili kweli na inayofanya kazi??

Kilichokua kinahitajika, ndicho kilichoagizwa?? Kwann uagize Sukari nyingi kupita hitaji, maana yake Sukari yetu ya Ndani iloanzwa kuzalishwa mpaka mwezi 12 huko itakuaje ??.


MPINA anahoji, kwann uwape Tenda watu wasokua na SIFA?.. mfano, Itel, stationary,,, nikisema kwamba, hiyo Sukari ya ziada ni yahawa Mafisadi , na wao ndo walitoa Pesa kwenye vikampuni uchwara ili waagize Sukari kupitia vikampuni hivo ??.



Kwa uchache nirudie tu, hivi umetumia akili vizuri kweli???.
Tunachohitaji ni sukari tena yenye bei nafuu mengine ni siasa za kubiashara
 
Back
Top Bottom