Tuache Unafiki: Bashe alichukua hatua sahihi kumaliza tatizo la sukari. Hongera Dr. Tulia kwa kumlinda na kulinda maslahi ya nchi

Tuache Unafiki: Bashe alichukua hatua sahihi kumaliza tatizo la sukari. Hongera Dr. Tulia kwa kumlinda na kulinda maslahi ya nchi

Kwa miaka nenda rudi genge la wazalishaji wa sukari wamekuwa wakilichezea soko letu ili kupiga super profit.

Wanatengeneza uhaba wa sukari, wanaacha ipande bei, kisha wanapata vibali vya kuagiza nje na kuuza kwa bei ya juu. Tena wakati mwingine wanabadili vifungashio ili ionekane imezalishwa nchini.

Sukari ya nchi za nje kama vile Brazil na Maritius ni bei poa mno, kwahiyo hawa mabwana walikuwa na kila motisha ya kutafuta namna ya kutengeneza uhaba wa sukari ili wapewe vibali vya kuagiza..

Alichokifanya waziri Bashe sio tu ni uamizi sahihi bali ni uamizi wa kizalendo, nchi haiwezi kuwa inashikwa mateka na genge la watu wachache.

Going foward hii ndio iwe dawa, tuendelee kulilinda soko la wazalishaji wa ndani lakini pale kunapotokea uhaba basi yeyote mwenye uwezo apewe kibali cha kuagiza sukari haraka iwezekanavyo.

Hongera Mh. Bashe kwa kufikiri nje ya box na kuthubutu. Kwenye hili Mpina amechemka, yaani nchi ikose bidhaa muhimu kwasababu tu kuna wapuuzi wanajivutavuta kuagiza sukari?? Thubutu!
Jitathimini ndugu.
Kama vipi wai kliniki ya afya ya ufahamu
 
Watanzania sijui huwa hawajielewi. Wamiliki wa viwanda huwa wanatengeneza mfumo wa kuadimika kwa sukari na kupandisha sana bei za sukari. Kama mimi ndo mzalishaji na ndo mwenye liseni ya kuagiza sukari kwa nn nisitengeneze mpango wa sukari kuadimika nipige hela?

Kama wafanyabiashara wamepewa vibali vya kuagiza sukari nje, na sukari ikaagizwa, ikaja kwa viwango vizuri vya kuweza kutumika na binadamu, na bei ya sukari ikawa chini, mwananchi wa kule kijijini akanunua sukari kwa bei ya chini na akapata ahueni ya maisha, sioni tatizo!!

Kama hiyo sukari iliyochukuliwa imefanya bei ya sukari kuwa juu zaidi hapo ndo penye shida.

Ila kama kelele zote ni kulindiana sijui maslahi viwanda vya ndani itakuwaje huu ni upumbavu!! Watengeneze mazingira ambayo yatakuwa competitive kwao kushindana na viwanda vya nje hata sukari ikiingizwa nchini ya kwao ndo iwe bei nafuu kuliko hiyo iliyokuwa imported!! Wananchi watakimbilia product yao, lakini siyo kumuumiza mtanzania kwa kigezo cha kipumbavu eti kulinda viwanda!! Washindane washinde!
 
Mzalendo Mchwara.


Una akili kweli na inayofanya kazi??

Kilichokua kinahitajika, ndicho kilichoagizwa?? Kwann uagize Sukari nyingi kupita hitaji, maana yake Sukari yetu ya Ndani iloanzwa kuzalishwa mpaka mwezi 12 huko itakuaje ??.


MPINA anahoji, kwann uwape Tenda watu wasokua na SIFA?.. mfano, Itel, stationary,,, nikisema kwamba, hiyo Sukari ya ziada ni yahawa Mafisadi , na wao ndo walitoa Pesa kwenye vikampuni uchwara ili waagize Sukari kupitia vikampuni hivo ??.



Kwa uchache nirudie tu, hivi umetumia akili vizuri kweli???.
Katumia m@tak0 huyo
 
Sio tu akili timamu, bali nazijui hizo mishe nje ndani, nilishakuwa mdau kwenye uzalishaji wa sukari zaidi ya miaka 10. Niulize chochote kuhusu Kilombero sugar, Mtibwa sugar au Kagera Sugar.
Ok, wewe unayeijua sekta hii vizuri tusaidie ufafanuzi wa hoja hii,

Wazalishaji wa sukari walimtaarifu waziri kwa barua juu ya uhaba wa sukari tangu mwezi novemba kutokana na uwepo wa elnino. Wakamkumbusha tena Desemba, akatoa vibali Februali akitaka sukari iwe imeingizwa ndani ya siku 14 jambo ambalo anajua haiwezekani. Hoja,

1.Je kati ya waziri na wazalishaji nani alisababisha uhaba wa sukari?

2. Kwa nini alichelewa kutoa vibali na baadae akavitoa akijua kwa muda huo wazalishaji hawataweza kuingiza sukari na badala yake akatengeneza kampuni zake za mfukoni zisizo na sifa kinyume na Sheria na kuzipa tenda ya kufanya biashara ambayo hawaijui na hawajawahi kuifanya?

3. Kwa nini hata kiwango cha sukari iliyopendekezwa na bodi kuingizwa tani laki 3 waziri alizidisha na kuingiza tani laki 4.1

4. Kwa nini Waziri mwenye vyombo vya dola alishindwa hata kutangaza rasmi na kusimamia bei elekezi hadi sukari hiyo hiyo iliyoagizwa kwa vibali vyake ikauzwa sh 10,000 kwa kg huku akiwa ametoa msamaha wa kodi kwa makampini hayo ya mfukoni hayo? Ni hasara kiasi gani taifa limepata au fedha kiasi gani hayo makampuni ya mfukoni (utakatishaji) wameifisidi serikali?

5. Je wewe unaonaje hali ya usalama kwa taifa kwa mtu asiyejua UBORA wa kitu chenyewe kupewa kazi hiyo hata bila kuthibitishwa na vyombo husika, kampuni za simu, stationary, store, nk zenye usajili tata na mtaji usiozidi 1,000,000. Huu ni utakatishaji wa fedha ulio dhahiri.
 
Mara ya kwanza nilikuwa upande wa Mpina lakini kadiri siku zinavyokwenda naanza kumkwepa
Wale walikuwa na vibali hawali vya kuagiza sukari nje walikuwa wanacheza michezo michafu na Bashe akawashtukia
Lakini alichokosea Bashe ni kuvipa tenda ya kuagiza sukari vikampuni vyao vya mfuko visivyokuwa na sifa.
Cha muhimu sukari tumepata na kazi inaendelea asante sana Bashe na itel maana wale (matycoon) walishindwa kutuletea sukari.
Sukari huko kwenu kilo shillingi ngapi?
 
Hii ndio mifano ya Gen - Z ya Tanganyika, machawa yasiyo na akili.
Achana na mambo ya kimarekani hayo ya gen z sijui. Kesho watataka muwe mashoga na mtakubali, kwanini vijana wa ki Afrika mnapenda kuigaiga mambo ya wazungu nyie??
 
Kwa miaka nenda rudi genge la wazalishaji wa sukari wamekuwa wakilichezea soko letu ili kupiga super profit.

Wanatengeneza uhaba wa sukari, wanaacha ipande bei, kisha wanapata vibali vya kuagiza nje na kuuza kwa bei ya juu. Tena wakati mwingine wanabadili vifungashio ili ionekane imezalishwa nchini.

Sukari ya nchi za nje kama vile Brazil na Maritius ni bei poa mno, kwahiyo hawa mabwana walikuwa na kila motisha ya kutafuta namna ya kutengeneza uhaba wa sukari ili wapewe vibali vya kuagiza..

Alichokifanya waziri Bashe sio tu ni uamizi sahihi bali ni uamizi wa kizalendo, nchi haiwezi kuwa inashikwa mateka na genge la watu wachache.

Going foward hii ndio iwe dawa, tuendelee kulilinda soko la wazalishaji wa ndani lakini pale kunapotokea uhaba basi yeyote mwenye uwezo apewe kibali cha kuagiza sukari haraka iwezekanavyo.

Hongera Mh. Bashe kwa kufikiri nje ya box na kuthubutu. Kwenye hili Mpina amechemka, yaani nchi ikose bidhaa muhimu kwasababu tu kuna wapuuzi wanajivutavuta kuagiza sukari?? Thubutu!
Sawa mmiliki wa stationery
 
Kwa miaka nenda rudi genge la wazalishaji wa sukari wamekuwa wakilichezea soko letu ili kupiga super profit.

Wanatengeneza uhaba wa sukari, wanaacha ipande bei, kisha wanapata vibali vya kuagiza nje na kuuza kwa bei ya juu. Tena wakati mwingine wanabadili vifungashio ili ionekane imezalishwa nchini.

Sukari ya nchi za nje kama vile Brazil na Maritius ni bei poa mno, kwahiyo hawa mabwana walikuwa na kila motisha ya kutafuta namna ya kutengeneza uhaba wa sukari ili wapewe vibali vya kuagiza..

Alichokifanya waziri Bashe sio tu ni uamizi sahihi bali ni uamizi wa kizalendo, nchi haiwezi kuwa inashikwa mateka na genge la watu wachache.

Going foward hii ndio iwe dawa, tuendelee kulilinda soko la wazalishaji wa ndani lakini pale kunapotokea uhaba basi yeyote mwenye uwezo apewe kibali cha kuagiza sukari haraka iwezekanavyo.

Hongera Mh. Bashe kwa kufikiri nje ya box na kuthubutu. Kwenye hili Mpina amechemka, yaani nchi ikose bidhaa muhimu kwasababu tu kuna wapuuzi wanajivutavuta kuagiza sukari?? Thubutu!
Mambo ni mengi kuelekea 2030
 
Ok, wewe unayeijua sekta hii vizuri tusaidie ufafanuzi wa hoja hii,

Wazalishaji wa sukari walimtaarifu waziri kwa barua juu ya uhaba wa sukari tangu mwezi novemba kutokana na uwepo wa elnino. Wakamkumbusha tena Desemba, akatoa vibali Februali akitaka sukari iwe imeingizwa ndani ya siku 14 jambo ambalo anajua haiwezekani. Hoja,

1.Je kati ya waziri na wazalishaji nani alisababisha uhaba wa sukari?

2. Kwa nini alichelewa kutoa vibali na baadae akavitoa akijua kwa muda huo wazalishaji hawataweza kuingiza sukari na badala yake akatengeneza kampuni zake za mfukoni zisizo na sifa kinyume na Sheria na kuzipa tenda ya kufanya biashara ambayo hawaijui na hawajawahi kuifanya?

3. Kwa nini hata kiwango cha sukari iliyopendekezwa na bodi kuingizwa tani laki 3 waziri alizidisha na kuingiza tani laki 4.1

4. Kwa nini Waziri mwenye vyombo vya dola alishindwa hata kutangaza rasmi na kusimamia bei elekezi hadi sukari hiyo hiyo iliyoagizwa kwa vibali vyake ikauzwa sh 10,000 kwa kg huku akiwa ametoa msamaha wa kodi kwa makampini hayo ya mfukoni hayo? Ni hasara kiasi gani taifa limepata au fedha kiasi gani hayo makampuni ya mfukoni (utakatishaji) wameifisidi serikali?

5. Je wewe unaonaje hali ya usalama kwa taifa kwa mtu asiyejua UBORA wa kitu chenyewe kupewa kazi hiyo hata bila kuthibitishwa na vyombo husika, kampuni za simu, stationary, store, nk zenye usajili tata na mtaji usiozidi 1,000,000. Huu ni utakatishaji wa fedha ulio dhahiri.
Unamwamini Mpina?? Hayo ni maelezo ya Mpina copy and paste. Mengi ni ya uongo. Na ndio maana anakwenda kula rungu zito kule bungeni.
 
Mara ya kwanza nilikuwa upande wa Mpina lakini kadiri siku zinavyokwenda naanza kumkwepa
Wale walikuwa na vibali hawali vya kuagiza sukari nje walikuwa wanacheza michezo michafu na Bashe akawashtukia
Lakini alichokosea Bashe ni kuvipa tenda ya kuagiza sukari vikampuni vyao vya mfuko visivyokuwa na sifa.
Cha muhimu sukari tumepata na kazi inaendelea asante sana Bashe na itel maana wale (matycoon) walishindwa kutuletea sukari.
Sawa Bashe tumekusikia. Wewe ni fisadi.
 
Back
Top Bottom