Kataa uchawaSio tu akili timamu, bali nazijui hizo mishe nje ndani, nilishakuwa mdau kwenye uzalishaji wa sukari zaidi ya miaka 10. Niulize chochote kuhusu Kilombero sugar, Mtibwa sugar au Kagera Sugar.
Kataa uchawaKijana tumia ubongo wako vizuri, Mungu hakukupa hiyo cerebellum kwa ajili ya kuvikia barabara pekee.
Unazidi kupotea.Mara ya kwanza nilikuwa upande wa Mpina lakini kadiri siku zinavyokwenda naanza kumkwepa
Wale walikuwa na vibali hawali vya kuagiza sukari nje walikuwa wanacheza michezo michafu na Bashe akawashtukia
Lakini alichokosea Bashe ni kuvipa tenda ya kuagiza sukari vikampuni vyao vya mfuko visivyokuwa na sifa.
Cha muhimu sukari tumepata na kazi inaendelea asante sana Bashe na itel maana wale (matycoon) walishindwa kutuletea sukari.
Kataa uchawa.Hao wanaoitwa "hawana vigezo" wameleta sukari au wameshindwa?? Kama wameweza kuleta unawaita vipi kuwa hawana uwezo??
Kuhusu kuagiza sukari nyingi kuliko takwimu za uhaba hilo mbona liko wazi kama unatumia akili vizuri!! Actually ningemshangaa Bashe kama wangeagiza exactly kiwango kinachotakiwa.
Iko hivi, uhaba ulikuwa ni wa kutengenezwa na wahuni, hata ukiagiza sukari kidogo basi wanainunua yote na kuificha ili uhaba uendelee kuwepo, ili kukomesha hilo unatakiwa kuagiza kuwango cha kutosha ku "flood the market", kwamba haitowezekana tena wahuni hao kuinunua na kuificha.
To answer your first question, Yes ninazo akili tena nyingi sana na nakielewa ninachokiandika kwa undani kuliko unavyodhani. Ninalifamau soko la sukari nchini sio kwa kusimuliwa bali kwa kushiriki
Eshimu wahenga wako kijana, tabia yako mbovu huku mitandaoni inawafedhehesha wazee wako nyumbani.Huwez kuwa baba ukawa na mawazo ya kipumbavu hivi
Wewe ni dogo tena dogo mavi
Upo chuo mwaka wa kwanza ?.Tunachohitaji ni sukari tena yenye bei nafuu mengine ni siasa za kubiashara
Chawa wa Bashe.Umeona namba ya simu au jina langu halisi hapo??? Acha kunivunjia heshima kijana.
Kamuulize Bashe Hilo swali.Wameleta sukari au hawajaleta???
Ningekuwa chawa basi ningekuwa nasifu chama fulani consistently, pia ungeona jina na namba ya simu hapo.Kataa uchawa.
Wameleta na tatizo limesha.Kamuulize Bashe Hilo swali.
Mnafiki mkubwa. Mnapenda kupindisha uongo ili kuwafurahisha mabwana zenu. Ukiambiwa umtaje muagizaji aliyekataa kuleta Sukari utaweza au kujiongeleasha tu.Wakuu kwa sukari bashe mtamuonea tuu...
Ipo hivi mahitaji ya ndani ya sukari ni Tani 420,000...na uwezo wa viwanda vya ndani uzalishaji wake ni tan 280,000 hapa kuna ombwe la tani 140,000 za sukari ambayo itabidi iagizwe nje ili kukidhi mahitaji...
Mwaka jana kukawa na uhaba wa sukari sababu wazalishaji wa ndan au viwanda vya ndani kudai mashamba yalijaa maji...hii ilipelekea uhaba wa sukari hivyo sukari ikaanza panda bei...baadhi ya maeneo ilifika mpaka kilo sh 7,000...waziri bashe akatoa vibali kwa viwanda vya ndani kuagiza sukari nje ili kuzuia mfumuko wa bei ya sukari.,
Sasa wafanya biashara wa ndani kwa njama zao hawakutii agizo kupelekea sukari kupanda zaidi...Bashe alivyo ona agizo halijafanyika akawafutia vibali hivi viwanda vya ndani .,
Maamuzi aliyo chukua ni kuwapa vibali wafanya biashara wenye uwezo wa kuagiza sukari nje ili tu kuzuia mfumuko wa bei ya sukari na hapa ndio tunaona mpaka makampuni ya simu yalipewa tender ya kuagiza sukar nje na bei tuliona zilirudi mahali pake...ingawa ni nje ya utaratibu lakini ilitibu tatizo...
Kama wewe ungekuwa bashe ungefanyaje??? Binafsi nampa maua yake...sijajua tatizo lake na mpina lakini kwenye hili mnyonge mnyongeni haki yake apewe..
Kwann hakutoa Vibali mapema, wakati Wenye Viwanda tayari walikua wameshapeleka Barua waliomba Vibali Kwan kutakua na upungufu wa Sukari.Wakuu kwa sukari bashe mtamuonea tuu...
Ipo hivi mahitaji ya ndani ya sukari ni Tani 420,000...na uwezo wa viwanda vya ndani uzalishaji wake ni tan 280,000 hapa kuna ombwe la tani 140,000 za sukari ambayo itabidi iagizwe nje ili kukidhi mahitaji...
Mwaka jana kukawa na uhaba wa sukari sababu wazalishaji wa ndan au viwanda vya ndani kudai mashamba yalijaa maji...hii ilipelekea uhaba wa sukari hivyo sukari ikaanza panda bei...baadhi ya maeneo ilifika mpaka kilo sh 7,000...waziri bashe akatoa vibali kwa viwanda vya ndani kuagiza sukari nje ili kuzuia mfumuko wa bei ya sukari.,
Sasa wafanya biashara wa ndani kwa njama zao hawakutii agizo kupelekea sukari kupanda zaidi...Bashe alivyo ona agizo halijafanyika akawafutia vibali hivi viwanda vya ndani .,
Maamuzi aliyo chukua ni kuwapa vibali wafanya biashara wenye uwezo wa kuagiza sukari nje ili tu kuzuia mfumuko wa bei ya sukari na hapa ndio tunaona mpaka makampuni ya simu yalipewa tender ya kuagiza sukar nje na bei tuliona zilirudi mahali pake...ingawa ni nje ya utaratibu lakini ilitibu tatizo...
Kama wewe ungekuwa bashe ungefanyaje??? Binafsi nampa maua yake...sijajua tatizo lake na mpina lakini kwenye hili mnyonge mnyongeni haki yake apewe..
Ukweli mtupu, watanzania ni watu wa ushabiki kwenye kila jambo. Ukitazama hii issue bila kuwa biased Bashe alichukua hatua sahihi kulinusuru taifa.Wakuu kwa sukari bashe mtamuonea tuu...
Ipo hivi mahitaji ya ndani ya sukari ni Tani 420,000...na uwezo wa viwanda vya ndani uzalishaji wake ni tan 280,000 hapa kuna ombwe la tani 140,000 za sukari ambayo itabidi iagizwe nje ili kukidhi mahitaji...
Mwaka jana kukawa na uhaba wa sukari sababu wazalishaji wa ndan au viwanda vya ndani kudai mashamba yalijaa maji...hii ilipelekea uhaba wa sukari hivyo sukari ikaanza panda bei...baadhi ya maeneo ilifika mpaka kilo sh 7,000...waziri bashe akatoa vibali kwa viwanda vya ndani kuagiza sukari nje ili kuzuia mfumuko wa bei ya sukari.,
Sasa wafanya biashara wa ndani kwa njama zao hawakutii agizo kupelekea sukari kupanda zaidi...Bashe alivyo ona agizo halijafanyika akawafutia vibali hivi viwanda vya ndani .,
Maamuzi aliyo chukua ni kuwapa vibali wafanya biashara wenye uwezo wa kuagiza sukari nje ili tu kuzuia mfumuko wa bei ya sukari na hapa ndio tunaona mpaka makampuni ya simu yalipewa tender ya kuagiza sukar nje na bei tuliona zilirudi mahali pake...ingawa ni nje ya utaratibu lakini ilitibu tatizo...
Kama wewe ungekuwa bashe ungefanyaje??? Binafsi nampa maua yake...sijajua tatizo lake na mpina lakini kwenye hili mnyonge mnyongeni haki yake apewe..
Ni ushauri tu, kataa uchawa. Kataa ktumika na Bashe.Ningekuwa chawa basi ningekuwa nasifu chama fulani consistently, pia ungeona jina na namba ya simu hapo.
Sio kila anayetoa mawazo tofauti ni chawa, open your mind.
Tatizo gani limeisha?. Mbona Sukari bei juu. Shida mnatumika kijinga, halafu Kwa Sasa uzalishaji umerudi.Wameleta na tatizo limesha.
Huna haja ya kuongea mengi. La muhimu wananchi tumeepukana na uhaba wa sukari uliotengenezwa na cartels. Hiyo sukari ya viwanda vya ndani inatusaidia nini kama inafichwa ili kutengeneza uhaba. Bashe, endelea kuwanyoosha hao cartels.Mzalendo Mchwara.
Una akili kweli na inayofanya kazi??
Kilichokua kinahitajika, ndicho kilichoagizwa?? Kwann uagize Sukari nyingi kupita hitaji, maana yake Sukari yetu ya Ndani iloanzwa kuzalishwa mpaka mwezi 12 huko itakuaje ??.
MPINA anahoji, kwann uwape Tenda watu wasokua na SIFA?.. mfano, Itel, stationary,,, nikisema kwamba, hiyo Sukari ya ziada ni yahawa Mafisadi , na wao ndo walitoa Pesa kwenye vikampuni uchwara ili waagize Sukari kupitia vikampuni hivo ??.
Kwa uchache nirudie tu, hivi umetumia akili vizuri kweli???.
Kasome kwanza kuhusu gap sugar ndio uje uropoke hapa. Tatizo hamsomi hata mzizi wa mgogoro huu mmebakia kusifia wanasiasa. Kafanye utafiti kuhusu muda ambao Sukari huadimika Tanzania. Kuna kipindi Cha Magufuli serikali ilitoa kubali Cha kuagiza Sukari kutoka Uganda.Watanzania sijui huwa hawajielewi. Wamiliki wa viwanda huwa wanatengeneza mfumo wa kuadimika kwa sukari na kupandisha sana bei za sukari. Kama mimi ndo mzalishaji na ndo mwenye liseni ya kuagiza sukari kwa nn nisitengeneze mpango wa sukari kuadimika nipige hela?
Kama wafanyabiashara wamepewa vibali vya kuagiza sukari nje, na sukari ikaagizwa, ikaja kwa viwango vizuri vya kuweza kutumika na binadamu, na bei ya sukari ikawa chini, mwananchi wa kule kijijini akanunua sukari kwa bei ya chini na akapata ahueni ya maisha, sioni tatizo!!
Kama hiyo sukari iliyochukuliwa imefanya bei ya sukari kuwa juu zaidi hapo ndo penye shida.
Ila kama kelele zote ni kulindiana sijui maslahi viwanda vya ndani itakuwaje huu ni upumbavu!! Watengeneze mazingira ambayo yatakuwa competitive kwao kushindana na viwanda vya nje hata sukari ikiingizwa nchini ya kwao ndo iwe bei nafuu kuliko hiyo iliyokuwa imported!! Wananchi watakimbilia product yao, lakini siyo kumuumiza mtanzania kwa kigezo cha kipumbavu eti kulinda viwanda!! Washindane washinde!
Kwan mkuu sukari ulipo kg 1 ni bei gan? Na hapo nyuma ilikuwa bei gani?Tatizo gani limeisha?. Mbona Sukari bei juu. Shida mnatumika kijinga, halafu Kwa Sasa uzalishaji umerudi.
Kataa uchawa , kataa kutumika na Bashe. Shida.Kwenye hili nasimama na bashe...alijitshidi sana...ugomvi wake na mpina sifaham may b ni personal issues..