- Thread starter
- #21
Fact Startimes in the coming years watakuwa ndio bora tanzania na africa
Startimes ipo poa sana,nilikuwa natumia cha 21000 kwa mwezi nikanogewa na kuanza kutumia cha 36000 kwa mwezi unaenjoy mpk basi
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app