Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Umenena vemaUkitoa Ligi ya mpira wa Bongo azam ni useless.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena vemaUkitoa Ligi ya mpira wa Bongo azam ni useless.
Sasa Unawatangazia Watanzania Hicho kisimbuzi chakoThere you're, Startimes imekamilika kila idara
Sioni haja ya kuangalia uchafu unaoitwa ligi ya Tanzania
Mechi mbili za kuangalia kwa msimu ndio ununue king'muzi?
Huyo jamaa mpuuzi kweliThis is a shit joke.
Startimes ilianza kabla ya Azam lakini mpaka leo hakuna cha maana.
Kama azam alikuja 2013 na amekuja kumpita startimes hapohapo basi usitegemee mabadiliko yoyote kutoka kwao.
Nina king'amuzi cha startimes na azam lakini startimes imenishinda kwa maudhui mabovu na quality mbovu na wakati natumia Smart tv na hdmi lakini bado hakuna kitu.
Na uwezi kuongelea ubora wa kitu kwa kitu kimoja tu kama mpira huu ni ujinga.
Mimi huwezi kuniweka kwenye tv niangalie mpria bali kuna wapenda movies, music , documentaries, science na maudhui ya kidini considering azam ina maudhui ya dini zote unless wewe ni religious ignorant.
Hii mada imekaa kwenye chuki dhaifu na kijinga za dini, I know what I'm talking about.
Ukitoa Ligi ya mpira wa Bongo azam ni useless.
Kiko nyuma ndio,Azam ukiondoa NBC Hana jipyaa lingineUnataka kunambia king'amuzi cha Azam Jiko nyuma kuliko Startimes
Burudani kwa wote kumbe Ni burudani ya kiislamu kwa woteNina king'amuzi cha dstv na star times ila star sijawahi kulipia toka 2018.
Mimi sio shabiki wa mpira so kwenye mpira wowote huwezi kunikuta, nilipenda dstv sababu ya programu zao.
Azam ni king'amuzi cha hovyo kuanzia bei hadi huduma. Juzi hapa nimewanunulia home azam eti 210k, nikauliza sababu, eti unalazimishwa ulipie vifurushi vya miezi 3 vya 35k bila kupenda.
Kile king'amuzi kimejaa maudhui ya dini ya kiislamu mwanzo mwisho. Bora wakiite Azam islamic media group.
Azam tv ukitoa NBC Haina kitu kingineUkweli usemwe tu kwa bongo ukitoa dstv anayefuata kwa ubora ni azamtv
Ok nimeelewa, hii wazi ni lugha ya biashara bila shaka wewe utakuwa wakala wa hao jamaa wa kichina, sababu kama ungekuwa mtu wa kawaida lazima ungepanic.Startimes ina kila aina ya burudani kaka na sio biased km wengine
Vipi wanaonyesha ligi za kibongo Ukitoa hizo lig ulizoziorodhesha?Kama wanaonyesha kesho nanunua king'amuz chaoWengi hawajui hili ukitoa DStv ambayo ni worldwide Startimes ni king'muzi bora sana
Ukiwa na Startimes kwa shilingi 21,000 unaangalia
Ligi kubwa za ulaya
Lalita spain
Bundaslige ujerumani
Ligi uholanzi
Ligi ya mpira wa kikapu NBA USA
Chanel za watoto,tamlithilia, habari na vingine vingine kwa 21,000tu
Local channels bure kabisa
Kikubwa zaidi haina maudhui ya udini
Zuwenna we nimeipenda hiiHuyo jamaa mpuuzi kweli
Yupo kichuki chuki sijui Wakala wa Hilo likampuni basi anahisi wote Wapuuzi
Niache Azam nitie Hilo kha
Kama hawana ligi ya bongo Ni bure tu.Kwa upande wa football, ukitoa DSTV king'amuzi kinachofuata kwa kuonyesha mashindano mengi ya Football ni Startimes Tena kwa HD ya ubora, wanaonyesha Bundasiliga, Laliga, Chinese super league, Copa Italia, Copa delay, Mashindano ya Euro, Word cup qualify for Europe, Word cup qualify for Asian , Word cup, kwa upande wa Africa wanaonyesha ligi ya Kenya na Uganda Na pia wametangaza kwamba wataonyesha AFCON mechi zote 52, Mimi sipo kwenye udini nipo ki uharisia, mimi ni mtumiaji mzuri wa Startimes, nilitaka kununua king'amuzi cha azam family yangu imegoma kabisa, Ligi kuu Tanzania bara nimeamua niwe naangalia vibanda umiza
Kama yapi hayo?Nina king'amuzi cha dstv na star times ila star sijawahi kulipia toka 2018.
Mimi sio shabiki wa mpira so kwenye mpira wowote huwezi kunikuta, nilipenda dstv sababu ya programu zao.
Azam ni king'amuzi cha hovyo kuanzia bei hadi huduma. Juzi hapa nimewanunulia home azam eti 210k, nikauliza sababu, eti unalazimishwa ulipie vifurushi vya miezi 3 vya 35k bila kupenda.
Kile king'amuzi kimejaa maudhui ya dini ya kiislamu mwanzo mwisho. Bora wakiite Azam islamic media group.
Nina karibia miezi sita hivi sijalipia staataimz ila eatv,channel ten,safari tv,itv,startv,zbc,cloudz tv zote bureeeWengi hawajui hili ukitoa DStv ambayo ni worldwide Startimes ni king'muzi bora sana
Ukiwa na Startimes kwa shilingi 21,000 unaangalia
Ligi kubwa za ulaya
Lalita spain
Bundaslige ujerumani
Ligi uholanzi
Ligi ya mpira wa kikapu NBA USA
Chanel za watoto,tamlithilia, habari na vingine vingine kwa 21,000tu
Local channels bure kabisa
Kikubwa zaidi haina maudhui ya udini
Una miaka mingapi mkuu?Azam tv ukitoa NBC Haina kitu kingine
Siku hizi wana HDMI mkuuStartimes ni takataka kabisa, picha hazina ubora kabisa najuta kupoteza fedha kukinunua
Bora aiandike islamic mediaKama yapi hayo?
Na zile channels za dini ya kikristo ni waislamu wale?
Kuna tatizo gani muislamu mwenye company kubwa afrika kuweka maudhui ya kiislamu kwenye tv yake?
Una inferiority complex wewe na chuki za kidini grow up goddamnit.