Tuache utani Startimes ndio king'amuzi bora sana

Tuache utani Startimes ndio king'amuzi bora sana

There you're, Startimes imekamilika kila idara
Sioni haja ya kuangalia uchafu unaoitwa ligi ya Tanzania
Mechi mbili za kuangalia kwa msimu ndio ununue king'muzi?
Sasa Unawatangazia Watanzania Hicho kisimbuzi chako
Huku ukipondea Wanacho kipenda Ligi kuu ya Tanzania We Umerogwa
Kama Unapenda ww hiyo Startime kivyako
wengine Tunaona Kama Takataka tu
 
This is a shit joke.

Startimes ilianza kabla ya Azam lakini mpaka leo hakuna cha maana.
Kama azam alikuja 2013 na amekuja kumpita startimes hapohapo basi usitegemee mabadiliko yoyote kutoka kwao.

Nina king'amuzi cha startimes na azam lakini startimes imenishinda kwa maudhui mabovu na quality mbovu na wakati natumia Smart tv na hdmi lakini bado hakuna kitu.
Na uwezi kuongelea ubora wa kitu kwa kitu kimoja tu kama mpira huu ni ujinga.
Mimi huwezi kuniweka kwenye tv niangalie mpria bali kuna wapenda movies, music , documentaries, science na maudhui ya kidini considering azam ina maudhui ya dini zote unless wewe ni religious ignorant.

Hii mada imekaa kwenye chuki dhaifu na kijinga za dini, I know what I'm talking about.
Huyo jamaa mpuuzi kweli
Yupo kichuki chuki sijui Wakala wa Hilo likampuni basi anahisi wote Wapuuzi
Niache Azam nitie Hilo kha
 
Ukitoa Ligi ya mpira wa Bongo azam ni useless.

Seriously mkuu unadhani wote walionunua Azam ni kwa ajili ya Mpira?.
Unaacha Documentaries, Music, Movies za hollywood na ndani, Maudhui ya dini zote, News channels, Children's channels.
Na mimi huwezi nikuta mbele ya tv kama hakuna Documentaries au Movies.

You know what's useless mkuu? you'll figure out.
 
Nina king'amuzi cha dstv na star times ila star sijawahi kulipia toka 2018.

Mimi sio shabiki wa mpira so kwenye mpira wowote huwezi kunikuta, nilipenda dstv sababu ya programu zao.

Azam ni king'amuzi cha hovyo kuanzia bei hadi huduma. Juzi hapa nimewanunulia home azam eti 210k, nikauliza sababu, eti unalazimishwa ulipie vifurushi vya miezi 3 vya 35k bila kupenda.

Kile king'amuzi kimejaa maudhui ya dini ya kiislamu mwanzo mwisho. Bora wakiite Azam islamic media group.
 
Nina king'amuzi cha dstv na star times ila star sijawahi kulipia toka 2018.

Mimi sio shabiki wa mpira so kwenye mpira wowote huwezi kunikuta, nilipenda dstv sababu ya programu zao.

Azam ni king'amuzi cha hovyo kuanzia bei hadi huduma. Juzi hapa nimewanunulia home azam eti 210k, nikauliza sababu, eti unalazimishwa ulipie vifurushi vya miezi 3 vya 35k bila kupenda.

Kile king'amuzi kimejaa maudhui ya dini ya kiislamu mwanzo mwisho. Bora wakiite Azam islamic media group.
Burudani kwa wote kumbe Ni burudani ya kiislamu kwa wote
 
Muvi kwenye Mambo Moto au Mambo swahili tv na muvi yao chafu eti Mapochopocho.
 
Startimes ina kila aina ya burudani kaka na sio biased km wengine
Ok nimeelewa, hii wazi ni lugha ya biashara bila shaka wewe utakuwa wakala wa hao jamaa wa kichina, sababu kama ungekuwa mtu wa kawaida lazima ungepanic.
Na bila shaka hii mada itakuwa imejaa mawakala au wafanyakazi loyal wa hii company ya kichina Startimes.

Mimi ni mtumiaji wa startimes tangu miaka ya 2009 au 2010 kama sikosei na niliacha kuwa mtumiaji baada ya AZAMTV kuanza kazi miaka ya 2013, ukweli ni kwamba huduma zao ni mbovu hivyo nawashauri waboreshe Quality yao iwe HD kama Azam na waboreshe maudhui kwa kuweka channels kubwa za Movies duniani kama MBC2, MBC MAX na MBC ACTION again kama AzamTv na upande wa Documentaries wajaze zile channel pendwa duniani kama Discovery science, Natgeo na ID again kama AzamTv.

Good luck on your business.
 
Wengi hawajui hili ukitoa DStv ambayo ni worldwide Startimes ni king'muzi bora sana

Ukiwa na Startimes kwa shilingi 21,000 unaangalia
Ligi kubwa za ulaya
Lalita spain
Bundaslige ujerumani
Ligi uholanzi
Ligi ya mpira wa kikapu NBA USA

Chanel za watoto,tamlithilia, habari na vingine vingine kwa 21,000tu

Local channels bure kabisa

Kikubwa zaidi haina maudhui ya udini
Vipi wanaonyesha ligi za kibongo Ukitoa hizo lig ulizoziorodhesha?Kama wanaonyesha kesho nanunua king'amuz chao
 
Kwa upande wa football, ukitoa DSTV king'amuzi kinachofuata kwa kuonyesha mashindano mengi ya Football ni Startimes Tena kwa HD ya ubora, wanaonyesha Bundasiliga, Laliga, Chinese super league, Copa Italia, Copa delay, Mashindano ya Euro, Word cup qualify for Europe, Word cup qualify for Asian , Word cup, kwa upande wa Africa wanaonyesha ligi ya Kenya na Uganda Na pia wametangaza kwamba wataonyesha AFCON mechi zote 52, Mimi sipo kwenye udini nipo ki uharisia, mimi ni mtumiaji mzuri wa Startimes, nilitaka kununua king'amuzi cha azam family yangu imegoma kabisa, Ligi kuu Tanzania bara nimeamua niwe naangalia vibanda umiza
Kama hawana ligi ya bongo Ni bure tu.
Wakitaka wampiku Azam waweke lig ya Bongo lakin najua haiwezekan maana mwenye mkataba Ni Azam pekee
 
Nina king'amuzi cha dstv na star times ila star sijawahi kulipia toka 2018.

Mimi sio shabiki wa mpira so kwenye mpira wowote huwezi kunikuta, nilipenda dstv sababu ya programu zao.

Azam ni king'amuzi cha hovyo kuanzia bei hadi huduma. Juzi hapa nimewanunulia home azam eti 210k, nikauliza sababu, eti unalazimishwa ulipie vifurushi vya miezi 3 vya 35k bila kupenda.

Kile king'amuzi kimejaa maudhui ya dini ya kiislamu mwanzo mwisho. Bora wakiite Azam islamic media group.
Kama yapi hayo?
Na zile channels za dini ya kikristo ni waislamu wale?

Kuna tatizo gani muislamu mwenye company kubwa afrika kuweka maudhui ya kiislamu kwenye tv yake?

Una inferiority complex wewe na chuki za kidini grow up goddamnit.
 
Wengi hawajui hili ukitoa DStv ambayo ni worldwide Startimes ni king'muzi bora sana

Ukiwa na Startimes kwa shilingi 21,000 unaangalia
Ligi kubwa za ulaya
Lalita spain
Bundaslige ujerumani
Ligi uholanzi
Ligi ya mpira wa kikapu NBA USA

Chanel za watoto,tamlithilia, habari na vingine vingine kwa 21,000tu

Local channels bure kabisa

Kikubwa zaidi haina maudhui ya udini
Nina karibia miezi sita hivi sijalipia staataimz ila eatv,channel ten,safari tv,itv,startv,zbc,cloudz tv zote bureee
 
Azam tv ukitoa NBC Haina kitu kingine
Una miaka mingapi mkuu?

Ngoja nitabiri, wewe lazima utakuwa under20 kikawaida hivi vijamaa vinadhani opinions, perspective au mitazamo yao huwa ni kama fact kwa kila mtu hivyo vinakuwa vinaropoka jinsi vinajisikia vikidhani kila wanachokisema kitakuwa ni Fact na Ukweli kwa wote.

So it's not your fault just grow up first.
 
Sawa ila customer care ni mbovu mno
 
Back
Top Bottom