Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Tafuta hela ww
Usianze kusingizia udini hapa
Usianze kusingizia udini hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwezi kunidanganya boss nimetumia hiyo takataka tangu 2012 Chanel hovyo hovyo. TV ya chogo sasa natumia azam picha clear Chanel zenye akili.Startimes ni HD kaka labda kama unatumia chogo
Wee kweli ni teenager.Haina haja ya kuuliza umri wako. Kuwa kwanza ndo uje na hoja za kikubwa.Una miaka mingapi mkuu?
Ngoja nitabiri, wewe lazima utakuwa under20 kikawaida hivi vijamaa vinadhani opinions, perspective au mitazamo yao huwa ni kama fact kwa kila mtu hivyo vinakuwa vinaropoka jinsi vinajisikia vikidhani kila wanachokisema kitakuwa ni Fact na Ukweli kwa wote.
So it's not your fault just grow up first.
Ubora wa picha vipi?Wengi hawajui hili ukitoa DStv ambayo ni worldwide Startimes ni king'muzi bora sana
Ukiwa na Startimes kwa shilingi 21,000 unaangalia
Ligi kubwa za ulaya
Lalita spain
Bundaslige ujerumani
Ligi uholanzi
Ligi ya mpira wa kikapu NBA USA
Chanel za watoto,tamlithilia, habari na vingine vingine kwa 21,000tu
Local channels bure kabisa
Kikubwa zaidi haina maudhui ya udini
Ubora wa picha vipi?
Sasa Unawatangazia Watanzania Hicho kisimbuzi chako
Huku ukipondea Wanacho kipenda Ligi kuu ya Tanzania We Umerogwa
Kama Unapenda ww hiyo Startime kivyako
wengine Tunaona Kama Takataka tu
Seriously mkuu unadhani wote walionunua Azam ni kwa ajili ya Mpira?.
Unaacha Documentaries, Music, Movies za hollywood na ndani, Maudhui ya dini zote, News channels, Children's channels.
Na mimi huwezi nikuta mbele ya tv kama hakuna Documentaries au Movies.
You know what's useless mkuu? you'll figure out.
Kiko nyuma ndio,Azam ukiondoa NBC Hana jipyaa lingine
Azam tv ukitoa NBC Haina kitu kingine
Ila Azam Tv nafikiri kili walenga waislam tuu!
Vipi wanaonyesha ligi za kibongo Ukitoa hizo lig ulizoziorodhesha?Kama wanaonyesha kesho nanunua king'amuz chao
Kama hawana ligi ya bongo Ni bure tu.
Wakitaka wampiku Azam waweke lig ya Bongo lakin najua haiwezekan maana mwenye mkataba Ni Azam pekee
Sawa ila customer care ni mbovu mno
DStv na AZAM hivyo vingine hata unipe bure,Wengi hawajui hili ukitoa DStv ambayo ni worldwide Startimes ni king'muzi bora sana
Ukiwa na Startimes kwa shilingi 21,000 unaangalia
Ligi kubwa za ulaya
Lalita spain
Bundaslige ujerumani
Ligi uholanzi
Ligi ya mpira wa kikapu NBA USA
Chanel za watoto,tamlithilia, habari na vingine vingine kwa 21,000tu
Local channels bure kabisa
Kikubwa zaidi haina maudhui ya udini
Sio kweli aise star time iko mwishoWengi hawajui hili ukitoa DStv ambayo ni worldwide Startimes ni king'muzi bora sana
Ukiwa na Startimes kwa shilingi 21,000 unaangalia
Ligi kubwa za ulaya
Lalita spain
Bundaslige ujerumani
Ligi uholanzi
Ligi ya mpira wa kikapu NBA USA
Chanel za watoto,tamlithilia, habari na vingine vingine kwa 21,000tu
Local channels bure kabisa
Kikubwa zaidi haina maudhui ya udini
Ndio ukweli huo.Unataka kunambia king'amuzi cha Azam Jiko nyuma kuliko Startimes
Serie A ya wapi hiyo wanaonesha Azam?Skia sasa!!
Kwa buku 20 tuu, yaani mashuka mawili ya kimasai unaangalia..
NBC Premier league
Bundesliga
Ligue 1
Serial A
NBA
AFCON
CAFCL
ZANZIBAR league
#burudanikwawote